Hivi huwa unasoma na kuelewa unachokiandika?TUNAKUMBUSHANA TU
THAMAN YA KOMBE LA CARABAO
NI £100k sawa na Million Kama 250 za kitanzania
NBC premier league Million 500 plus Million 500 TV rights (Jumla 1Billions)View attachment 2595343
Nakubaliana na wewe kwa 99% kasoro kwa Sabitzer pekee, jamaa yuko vzr kwenye kufunga tumpe muda ni namba 10 mzr waliobaki wote ni takataka plus Rashidi.Henderson
Williams
Telles
Bissaka
Mejbri
Bailly
Jones
Tuanzebe
Sancho
Martial
Maguire
Lindelöf
McTominay
Fred
Elanga
van de Beek
Weghorst
Sabitzer
Hizo zote ni takataka
Tatizo lako muoga pia hujiaminiManjesta na Project uchwara
Casemiro miaka 32
Eriksen miaka 33
Malacia average player(championship material)
Anthony €100m( Average player )
Weghost (Bora Baleke )




Nakubaliana na wewe kwa 99% kasoro kwa Sabitzer pekee, jamaa yuko vzr kwenye kufunga tumpe muda ni namba 10 mzr waliobaki wote ni takataka plus Rashidi.
Manjesta na Project uchwara
Casemiro miaka 32
Eriksen miaka 33
Malacia average player(championship material)
Anthony €100m( Average player )
Weghost (Bora Baleke )

kuna yule katoka chelsea yupo na 20?
Hivi hao wamesajiliwa wakiwa wazee wa pensheni?Xhaka na patei wana 25 et?kuna yule katoka chelsea yupo na 20?
Kama unaona antony kafeli hujui mpira
Hivi hao wamesajiliwa wakiwa wazee wa pensheni?
Arsenal ina average ya umri miaka 24
Hatukuwasajili wakiwa na 30 Kama nyie ,Sawa kweli yule wa chelsea yupo kwenye 24 upo sahihi hata patei alikuja akiwa na 20
Kaangalie mkataba aliopewa Gorginho , utaelewa yupo pale ku cover Kipind kifup ,summer anakuja Rice ,nk ,21-25 yrsSawa kweli yule wa chelsea yupo kwenye 24 upo sahihi hata patei alikuja akiwa na 20



Hatukuwasajili wakiwa na 30 Kama nyie ,
Kaangalie average ya miaka ya Arsenal na manjesta
Unamtetea Anthony ,hata Sancho ulikuwa unamtetea hivi hivi
Anthony mmepigwa
Kocha pale huna
Kaangalie mkataba aliopewa Gorginho , utaelewa yupo pale ku cover Kipind kifup ,summer anakuja Rice ,nk ,21-25 yrs
Sasa 7 hag uti wa timu Wana miaka 31,32
Mbele Kuna kina Sancho na Anthony![]()