Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sawa kweli yule wa chelsea yupo kwenye 24 upo sahihi hata patei alikuja akiwa na 20
Kaangalie mkataba aliopewa Gorginho , utaelewa yupo pale ku cover Kipind kifup ,summer anakuja Rice ,nk ,21-25 yrs

Sasa 7 hag uti wa timu Wana miaka 31,32

Mbele Kuna kina Sancho na Anthony
 
Hatukuwasajili wakiwa na 30 Kama nyie ,

Kaangalie average ya miaka ya Arsenal na manjesta


Unamtetea Anthony ,hata Sancho ulikuwa unamtetea hivi hivi

Anthony mmepigwa

Kocha pale huna

Sasa ww unatesekw kwa lipi hapo kupigwa kwao? Kuna hata mia yako umetoa pale?

Hiyo miaka imekusaidia nini ikiwa wapo chini ya 24? Hadi muda huu arsenal hana chochote hebu weka mezani hiyo faida ya 24 halafu hasara ya 30?
 
Kaangalie mkataba aliopewa Gorginho , utaelewa yupo pale ku cover Kipind kifup ,summer anakuja Rice ,nk ,21-25 yrs

Sasa 7 hag uti wa timu Wana miaka 31,32

Mbele Kuna kina Sancho na Anthony

Nakuuliza huo umri sijui anakuja anakuja ya sister piiii umesaidia nini? Hata akija halafu?
 
Nimemaliza kufuturu sasa nimetupia uzi wangu wa Arsenal naelekea banda umiza kuangalia mpira mzuri wa Arteta

Habari za nyumbu zimeishia kwa Sevilla
 
Nakuuliza huo umri sijui anakuja anakuja ya sister piiii umesaidia nini? Hata akija halafu?
3-0
IMG_20230421_170808.jpg
 
Huoni Aibu kuongelea Carabao

Arteta with £0m alibeba FA & CS

7 Hag with €250m , Carabao

Sasa kama timu haina hela za kumpa ulitaka wampe mawe? Mbona huna logic hapa kutokusajili sio tatizo letu wala la kocha ni ubahili wa timu yako
 
Back
Top Bottom