Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Injuries za defenders wetu na ujio wa Lindelof & Maguire ni sababu kubwa Team kupoteza muelekeo.

New season lazima tusajili center back 2 ,lazima tusajili viungo 2 wa viwango vya juu.

Team lazima iondokane na wachezaji wabovu wafuatao.
1. Mangure
2. Dalot
3. Jones
4. Fred
5. Mactomary
6. Sancho
8. Martial
9. Elanga
Hivi Magure hata tukiweka sokoni kuna Timu zitanunua kweli? Beki kila siku linachoma hili.
 
Maguire hawezi kucheza mchezo wa leo, amekuwa suspended
Maguire na De Gea wamegeuka kuwa changamoto kubwa sana kwetu.

Yawezekana timu ina mapungufu ya kiufundi machache lakini hawa mabwana makosa yao binafsi yanatufanya tuonekane timu dhaifu sana.

Kuna wakati timu ikiwa na mpira inakuwa sawa na kutokuwa nao tu, tunakuwa kwenye hatari kubwa sana ya kufungwa mpira ukiwa kwa De Gea au Maguire.
 
Mechi na Sevilla tungeweza kushinda vizuri tu kama makosa mawili ya wale mabwana yasingetutoa mchezoni.
 
Spurs wanaua huko wanapiga kama mwizi
IMG-20230423-WA0001.jpg
 
Kuna watu walikuwa wanasema EtH ni kocha wa kawaida tu kwasababu ligi aliyotoka kocha yoyote akipewa Ajax anabeba ligi.

Leo Ajax wanapokea kipigo kizito kutoka kwa PSV na huenda wakakosa Champions League msimu ujao.

Hiyo ni tofauti ya mwaka mmoja tu tayari Ajax wamepoteana.
 
Kuna watu walikuwa wanasema EtH ni kocha wa kawaida tu kwasababu ligi aliyotoka kocha yoyote akipewa Ajax anabeba ligi.

Leo Ajax wanapokea kipigo kizito kutoka kwa PSV na huenda wakakosa Champions League msimu ujao.

Hiyo ni tofauti ya mwaka mmoja tu tayari Ajax wamepoteana.
Kila kocha mpya hua anakuja na falsafa yake pia hao Ajax wameuza wachezaji wangapi tegemezi kwenye kikosi chao cha kwanza?
 
Toa Erickson weka Fred. Naona Sabitzer anapasha kule nje, huyu kocha anataka kutuletea majanga tena.
 
Back
Top Bottom