Mpira wa sasa hivi una jasusi mwingi na MANCHESTER United ndio muhanga mkubwaMaguire ni jasusi wa Man City operation ni kuhakikisha UTD hawapati kombe ndio maana City walitutega kama wanamtaka Maguire ila Man U waingie chaka na walivyopanda dau tu wakakimbia.
Tena wewe ndio ulikuwa umetawala jukwaa lao kama kwenu vile 😀😀😀Pambaneni na arsenyani sasa, mmewatoa mapangoni.
Lord of the 7 kingdom😂😂😂
Hii timu ilishajifia ni ngumu kurudi tena , tatizo kubwa ina wajuaji wengi full stop

| NEW: Erik ten Hag wants a No. 1 who is better with his feet. [@TelegraphDucker]

