Nimeona post yako muda umeenda nikajua mechi imeisha huihitaji tenaKamanda nimekuomba link ile unayotumua kuangalia mechi
Lord of the 7 kingdomslord Maguire 😂😂
Nataka kuihifadhi kwa matumizi ya dharura huko mbeleniNimeona post yako muda umeenda nikajua mechi imeisha huihitaji tena
Rebuild imeanza upya. Tatizo kubwa la United ni kwenye kusajili. Miaka iliyopita wako radhi watumie £80m kwa mchezaji mmoja wakati hiyo pesa ingeweza kutumika kuboresha eneo zaidi ya moja.Hiv rebuild ya man utd itaisha lini kama kila msimu tunanunua wachezaji 2-3 halafu mmoja ndio anafit kwenye mfumo?
Mbaya zaidi timu ikipata afadhali kwenye kiungo beki zinakuwa ovyo kuliko maelezo,ukipatia beki idara ya ushambuliaji inatetemeka kama imekatika sentabolti.
Jana Sevilla walijua udhaifu wa centerbacks wetu ndio maana wakaongeza presha kwa pressing ya kutosha na ikawalipa,hawakutoa mguu kwenye pressing hadi man utd ikaonekana timu ya championship.
Man of the Match😁Mwamba wa kaskaziniView attachment 2595006
Nataka kuihifadhi kwa matumizi ya dharura huko mbeleni
Wewe jamaa ni muoga sana aise.Hii timu bila Rashford ilikuwa iwe nafasi ya 10
Rashford Ni maji kupwa maji kujaa ,hawezi kurudia hii form yake msimu ujao ,amekuwa akifanya hivi miaka yote
7 hag ajiandae msimu ujao December kutimuliwa kwa aibu
Mchambuzi Nguli nimeongea
Mpira wa sasa hivi una jasusi mwingi na MANCHESTER United ndio muhanga mkubwaMaguire ni jasusi wa Man City operation ni kuhakikisha UTD hawapati kombe ndio maana City walitutega kama wanamtaka Maguire ila Man U waingie chaka na walivyopanda dau tu wakakimbia.
Tena wewe ndio ulikuwa umetawala jukwaa lao kama kwenu vile 😀😀😀Pambaneni na arsenyani sasa, mmewatoa mapangoni.