Mungu na awe upande wetu leo. Hii mechi tukitolewa itaniuma sana kushinda mechi ya 7 - 0. Tumefika hatua ambayo sisi ndiyo favourites wa kubeba UEL. Sevilla wameshatuonea sana kwenye UCL & UEL leo ndiyo siku ya kulipa kisasi na kuwaonjesha dawa yao wenyewe.
#GGMU![]()

































Hahahah! Ulikuwa unasubiri United tufungwe ndo urudi.7 hag anatengeneza Project
Casemiro miaka 31
Eriksen miaka 32
Anthony kupigwa kwa €100m
Degea kuongezewa mkataba mrefu
Malacia Average player
PROJECT UCHWARA HII
Nyie kufungwa mmezoea ,si mna kocha wakawaidaHahahah! Ulikuwa unasubiri United tufungwe ndo urudi.
"Namuona kama Robben, kwa mfano, Arjen Robben mara nyingi na kila mara walisema ana chenga moja tu kwenda pembeni na kuingia ndani, lakini katika chenga hiyo moja alikuwa na kipaji sana. Hakuna aliyeweza kumzuia.Kocha UWEZO mdogoBinafsi kwa kikosi chetu sioni matumaini kabisa 10hag asipofanya usajili wa maana na kuuza takataka zake hizo tutabaki hivi hivi.