Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nakuuliza huo umri sijui anakuja anakuja ya sister piiii umesaidia nini? Hata akija halafu?
3-0
IMG_20230421_170808.jpg
 
Huoni Aibu kuongelea Carabao

Arteta with £0m alibeba FA & CS

7 Hag with €250m , Carabao

Sasa kama timu haina hela za kumpa ulitaka wampe mawe? Mbona huna logic hapa kutokusajili sio tatizo letu wala la kocha ni ubahili wa timu yako
 
Nimeamin kwann Pogba alisema Mashabiki wengi wa Manjesta hawajui mpira


UNAMTETEA ANTHONY?

Ulimtetea Sancho,Magwaya hukomi tu

Kwani pogba ndio injini ya kichwa changu kumbe nyie akili zenu zimenaswa na wachezaj wa arsenal wakisema vua nguo mpigane miti mnafanya
 
Back
Top Bottom