Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimeamin kwann Pogba alisema Mashabiki wengi wa Manjesta hawajui mpira


UNAMTETEA ANTHONY?

Ulimtetea Sancho,Magwaya hukomi tu

Kwani pogba ndio injini ya kichwa changu kumbe nyie akili zenu zimenaswa na wachezaj wa arsenal wakisema vua nguo mpigane miti mnafanya
 
Hapo nakuonesha Kocha huna


Si umeona 3-0 za Jana


Pale kocha hunaView attachment 2595458

We si ulinyukwa na brighton?
IMG_3306.jpg

Hapo hamkuwa na kocha?
 
Kwenye Table mpo wapi ?

Mnaongoza ligi au ndio mwapambania kucheza UCL?

Hilo swali mbona la kichovu yaani hujui hadi muda huu kama timu yako nayo ipo kwenye harakati za kupigania kucheza uefa? Timu yenyewe haina uhakika wa kubeba kombe unapiga kelele tu hapa
 
Back
Top Bottom