Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

𝐌𝐏𝐘𝐀:

Joel na Avram Glazer wanazidi kujiamini kupata uwekezaji kutoka nje ambao utawawezesha kubaki kama wamiliki wa Manchester United na uwezekano wa kuongeza maradufu ya thamani ya klabu katika muongo mmoja ujao.

Licha ya ofa zilizothibitishwa kutoka kwa Sheikh Jassim na Ratcliffe, kupitia kundi lake la INEOS, Joel na Avram wanaamini kwamba uwezekano wa ongezeko la watu kwa miaka ijayo unaweza kuifanya Manchester United kuwa na thamani ya angalau £10 bilioni.

KIFUPI GRAZERS WANATAKA KUBAKI MAN UNITED KWA MIAKA 10 TENA
FB_IMG_1682086644951.jpg
 
UTAPELI WA 7 HAG KWA FAMILIA YA MAREHEMU GRAZA

7hag : Nataka kupress ,kucheza mpira mzuri Ni project ya muda mrefu


GRAZA FAMILY: Haya chukua €250m za usajili, tunakupa na nguvu ya maamuzi kwenye Usajili


Alichofanya 7 hag Sasa

Casemiro miaka 32 ,€70m

Anthony (average player /championship material) kwa €100m

Malacia (average player mwenye mentality za championship)

Werghost (average player ambaye hata championship Burney hakufaa)



HALAFU KUNA MASHABIKI UCHWARA WANAKWAMBIA SUBIRI MSIMU UJAO APEWE WATU ANAOWATAKA



make kwanza Nicheke
FB_IMG_1682086644951.jpg
 
UTAPELI WA 7 HAG KWA FAMILIA YA MAREHEMU GRAZA

7hag : Nataka kupress ,kucheza mpira mzuri Ni project ya muda mrefu


GRAZA FAMILY: Haya chukua €250m za usajili, tunakupa na nguvu ya maamuzi kwenye Usajili


Alichofanya 7 hag Sasa

Casemiro miaka 32 ,€70m

Anthony (average player /championship material) kwa €100m

Malacia (average player mwenye mentality za championship)

Werghost (average player ambaye hata championship Burney hakufaa)



HALAFU KUNA MASHABIKI UCHWARA WANAKWAMBIA SUBIRI MSIMU UJAO APEWE WATU ANAOWATAKA



make kwanza Nicheke
View attachment 2595279
Kule jukwaa la Arsenyanus mbona umetelekeza uchambuzi na kula kona vipi kulikoni ?
 
7 hag amesajili matakataka ,atatimuliwa atakuja kocha mwingine atapata tabu kuwatimua kina Anthony,Malacia na wazee wala pension kina Casemiro


Yale Yale kama anavyopata tabu kuwatimua Average player kama Sancho


HII NI KAMA CLOSED CIRCUIT
 
Nasubiri kituko Cha usajili wa kipa mpya ndani ya manjesta

7 hag alivyo mzee wa kusajili maboko tutegemee kuletwa Kipa pazia


Kufikia December, 7 hag atakuwa anachezea vipigo vya aibu

7-0

6-0
 
Back
Top Bottom