OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Yani kama ni mbususu basi ya manjestaa inawaka moto asaivi..iteni faya tuipooze 🤣🤣🤣
Licha ya kipigo takatifu bado una nguvu ya ku coment!Game ya Real Madrid na hawa wageni wetu wa alhamis pale OT Real Betis imeisha kwa 0 - 0
Jamaa wazuri sana na wana speed sana
Game yetu itakuwa nzuri na Ngumu
GGMU
Ndo' SABA kweli?United all the way!
Haya ni matokeo ya mpira tu.
The progress we have made so far is substantial.
Hawa Loserfools kutufunga goli 7, haiondoi maendeleo ya timu.
Na leo inaweza kuwa ni matokeo ya uchovu wa mechi nyingi toka Februari.
We will bounce back stronger.
GGMU
Ndio tatizo lenu hili...Hii mechi droo.
Arrogance ndio imewaua manu hii mechi... walikua na dharau sana kuelekea hii mechi, kuanzia mashaiki hadi kocha. Hata ETH alipohojiwa alijibu kwa dharau kuwa pitch ni ile ile, ball size ni ileile, sijui nini na nini... hii ni mechi kubwa kuliko zote england. Alitakiwa kuiheshimu, kaidharau sababu ya kushinda mechi kadhaa mfululizo na kujifanya kwenda toe to toe na timu ambayo iko nyumbani na ni mpinzani wao mkubwa wa jadi ambaye katoka kujeruhiwa mechi zilizopita... ni wazi watakuja na mzuka mkubwa dhidi ya mahasimu wao kurejesha imani kwa mashabiki...Liver walikua na hasira sana na nyie kisa maneno yenu ya porojo.
Ukiwaangalia liver kbs unawaona wanacheza kuwahaibisha.
Kazi mnayo mkikaa vby mnaweza kula goal tena.
VAR nyingi sanaHivi kule juu mlifikaje?
Au ndio hongo mnatoa?
Hakuna timu ya top 4 hapo, mlistahili mrudi tu no. 7
Sie tupo Carrington na tumefocus na next gameLicha ya kipigo takatifu bado una nguvu ya ku coment!
Au una hisa MAN U?
I hope usiku wenu ulijaa mauza uza kama yote
Saba unadhani mchezo??






