Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester jana mmeonyesha ushetwani wenu halisi; tena ule haukuwa ushetwani bali MAPEPO. Jana mmetolewa jumla ya mapepo 7. I hope sasa mmepona kabisa aisee!!
 
Kosa kubwa alilolifanya Ten Hag ni kutosikilia ushauri wangu, siku moja kabla ya mechi nilimpigia simu na kumshauri game Vs Liverpool asithubutu kuwachezesha Rafael Varane na Casemiro maana Liverpool wakiwaona uwanjani ni kama vile umekua umewatonesha kile kidonda cha kufungwa na Madrid, vyovyote itavyokua wataforce kupiga comeback ili wasonge mbele kwenye Uefa.
Jamani Liverpool sisi hata siku moja hatujawahi kuwa na ugomvi na nyie, hata maugomvi yenu na Madrid tunaomba muwe mnamalizana wenyewe kwa wenyewe, kutuingiza sisi kwenye maugomvi yenu ni kama vile mnatuonea bure tu.
Sijapenda kwa kweli jinsi mlivyotufanyia.
Vile tunawacheck😂
 

Attachments

  • JamiiForums1454504646.jpeg
    JamiiForums1454504646.jpeg
    93.5 KB · Views: 12
Mkuu Jana kichwa kimeniuma sana na bora ningeenda kuangalia mpira bandani ila nikasema nilipie niangalie burudani nyumbani,
Najutia pesa yangu....
Usijali mkuu. Taabu na misukosuko ndiyo hukomaza akili
 
Tafsri ya kufungwa ni kufungwa tu iwe saba au laaah! Tumeshudia wiki kadhaa zilizopita Liverpool akistruggle na kufungwa na timu za kawaida tu na hata majuzi alipokea kipigo kutoka kwa Madrid ambaye naye alipokea kipigo kutoka kwa Barca ambaye sisi tulimfunga.
Timu yetu imeonekana kuwa na uchovu mno timu kushindania makombe yote sio mchezo, hata mechi na Westham tuliponea chupu chupu sasa unapiongia kweny mechi ya dabi na timu kama Liver lolote laweza kukutokea.
Madrid kafungwa saba? Barca mlimfunga saba? Tunakubali kufungwa kupo ila sio kufungwa 7.
Timu iliyo timamu haiwezi kuruhusu rundo la magoli
 
Madrid kafungwa saba? Barca mlimfunga saba? Tunakubali kufungwa kupo ila sio kufungwa 7.
Timu iliyo timamu haiwezi kuruhusu rundo la magoli
Katika mabao saba
Hata angekuwa Manula,angepangua japo mawili.

Ndugu yetu De Gea kama pazia tu
Yupo anaabudu sijui pale chini
Screenshot_20230305-214222.jpg
 
Tafsri ya kufungwa ni kufungwa tu iwe saba au laaah! Tumeshudia wiki kadhaa zilizopita Liverpool akistruggle na kufungwa na timu za kawaida tu na hata majuzi alipokea kipigo kutoka kwa Madrid ambaye naye alipokea kipigo kutoka kwa Barca ambaye sisi tulimfunga.
Timu yetu imeonekana kuwa na uchovu mno timu kushindania makombe yote sio mchezo, hata mechi na Westham tuliponea chupu chupu sasa unapiongia kweny mechi ya dabi na timu kama Liver lolote laweza kukutokea.
Hivi mko serious mnagombea EPL au top four?
 
Me sijawahi ona united tukifungwa goli 7 au zaidi.Au me mdogo wakuu? Maana sijawahi ona
 
Back
Top Bottom