Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,559
- 6,562
Summer mtanunua defenders wa ukweli🤣4 dhidi ya brentford
6 dhidi ya manchester city
7 dhidi ya liverpool
Mechi 3 tumeruhusu magoli 17
Summer mtanunua defenders wa ukweli🤣4 dhidi ya brentford
6 dhidi ya manchester city
7 dhidi ya liverpool
Mechi 3 tumeruhusu magoli 17
Martinez yupi huyo


NjaaHii game tunashinda
Huyu alikuwa anaenda kumkaba nani? Hahaha. Ila mpira raha sana.
Kufungwa ni kufungwa tu hata iwe 12.Kufungwa sio ishu, ishu ni 7
Huyu anaekimbia majukumu yake



HahahaaaaMimi na Kocha wangu Potato siwezi kupigwa 4 bila na Livakuku.
Salah pekeake katufunga sio chini ya goli 10 kwa mech 5 vs liverpool qmnn Daah acha tutafte kibonde anaefata Soton tumpige kama tulivyompiga zile 9 sijui 8 msimu ule enzi za PogbaKipondo kizito mno...duh!,poleni mashetani wekundu.
Watu wanafikiria hii mechi Man anafungwa watakuwa wanakosea sana


nacheka lakin naogopaTupo vibonde Chelsea FC tunasubiri kwa hamu ili Harry Potter afukuzweSaba ni nyingi mno hii combo ya varane na licha lilikua suala la mda tu...sema kipigo kama hiki unawakumbuka wachezaji wote waliobench mfano hii game angewekwa Sabitzer,AWB,Gernacho,Lindelof aisee inauma sanaa Case kavuruga Leo ni basi tu Rashford kacheza kama yule wa msimu ulioisha butuabutua tu Werghost daah,,Dalot wanamshushia lawama ila kajitahidi sana tu..DDG ivi kwanini kipa ni mmoja game zote waisa?? Wallah 7 ni nyingi mnoo GakpoSalah pekeake katufunga sio chini ya goli 10 kwa mech 5 vs liverpool qmnn Daah acha tutafte kibonde anaefata Soton tumpige kama tulivyompiga zile 9 sijui 8 msimu ule enzi za Pogba
Tumeloaaaa
#GGMU