Kufungwa sio ishu, ishu ni 7Sina nachoilaumu timu yangu nachojua uwezi kushinda kila siku.View attachment 2538457
Kufungwa sio ishu, ishu ni 7Sina nachoilaumu timu yangu nachojua uwezi kushinda kila siku.View attachment 2538457
Katika game ambazo Ten Hag anazipenda ni game kama hii ya leo ili awaonyeshe ni jinsi gani hamjui



Nani hajuiKatika game ambazo Ten Hag anazipenda ni game kama hii ya leo ili awaonyeshe ni jinsi gani hamjui

Dah aisee wametumia pakti 2 za ndom ..yaan jamaa wamemaliza bao sita lkn bado dushelele imesimama ...sare ya DERA au,nyinyi ni MACHOKO tu ndio maana Paketi nzima ya DUME Condom imeshatumika *****,mkichomoa lazima na kinyesi kitoke kwenye MKUYENGE![]()


..Poleni bhaana ndiyo mpira, wenzenu blues tushajizoelea maumivu hata hatushtuki tena..!!
Ila tuache utani 7 nyingi mno..!!
Nani kawekwaKuonyesha kwamba livakuku hamna kitu leo weghost ndio atawaweka.



Nashukuru Mungu kwa sasa mpira wa miguu haunipi tena maumivu makali.Poleni bhaana ndiyo mpira, wenzenu blues tushajizoelea maumivu hata hatushtuki tena..!!
Ila tuache utani 7 nyingi mno..!!
Na njaa 😆😆😆Hii game tunashinda
Yatapita tu ndugu zetu..!!Sana yaani utadhani golini kulikua na pazia badala ya goalkeeper
Hapa Arsenal anahusikaje au kuchanganyikiwa
Poleni sana Mashabiki wa Man Utd.Msiogope United fans bado tupo vizuri tumecheza mechi nyingi mno uzuri tupo pale pale goal 7 nyingi ila zinatukumbusha tuludi imara.
View attachment 2538487


Liverpoool wamekuwa WAGNER, wameua shetani, maiti wanasafirisha wenyewe.Msiba wa shoga hauna matanga tunazika leoleo kmmmk![]()
Summer mtanunua defenders wa ukweli🤣4 dhidi ya brentford
6 dhidi ya manchester city
7 dhidi ya liverpool
Mechi 3 tumeruhusu magoli 17
Martinez yupi huyo


NjaaHii game tunashinda
Huyu alikuwa anaenda kumkaba nani? Hahaha. Ila mpira raha sana.