Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mwisho wa msimu ndio maana hua tunamaliza na GD 0.
Liverpool ni timu isiyokua na utu hata kidogo kila inapokutana na Man Utd.
Watu wasahaulifu nyie, mshasahau raundi ya kwanza man u walishinda
 
Timu ukiona haiwez kukaa na mpira usije ukaiamini

Brighton ya Di zerbi inajua kukaa na Mali , Liverpool mechi zote anateseka
 
King Charles III ametangaza siku 3 za maombelezo, ameamrisha bendera zote zishushwe nusu mlingoti na pia amehimiza iundwe mara moja kamati ya maridhiano baina ya Man Utd na Liverpool.
Mfalme Charles ameendelea kusema
"Ndani ya misimu miwili ya Epl kufungwa magoli 17-2 huu ni zaidi ya unyanyasaji wa kijinsia, anazishangaa mahakama za Uk zikilifumbia macho suala hili kama vile hawaoni kinachoendelea huku wakiendelea kuwasumbua watoto wadogo(Greenwood) kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu."

Mimi kama shabiki lialia wa Man utd naungana na King Charles.
 
Watu wanashindwa kuelewa, ile ni fatigue, mentally na physically.
Screenshot_20230306_072610_Twitter.jpg
 
Saba ni nyingi mno hii combo ya varane na licha lilikua suala la mda tu...sema kipigo kama hiki unawakumbuka wachezaji wote waliobench mfano hii game angewekwa Sabitzer,AWB,Gernacho,Lindelof aisee inauma sanaa Case kavuruga Leo ni basi tu Rashford kacheza kama yule wa msimu ulioisha butuabutua tu Werghost daah,,Dalot wanamshushia lawama ila kajitahidi sana tu..DDG ivi kwanini kipa ni mmoja game zote waisa?? Wallah 7 ni nyingi mnoo GakpoSalah pekeake katufunga sio chini ya goli 10 kwa mech 5 vs liverpool qmnn Daah acha tutafte kibonde anaefata Soton tumpige kama tulivyompiga zile 9 sijui 8 msimu ule enzi za Pogba

Tumeloaaaa
#GGMU
hii gemu ilimuhitaji malacia, AWB na sabtzer



Anyway me bado nipo na Turst the process GGMU
 
Yaan ilikua puuh puuu goli, walitukamia sana
Wala hamkukamiwa kila siku tunasema hii timu bado ,mech ngap mnashinda kimanyaunyau?




Sio kwamba liverpool wanatisha sana hapana wamekutana na team ambayo inacheza huku ikiwa haijui inachezaje



Kivipi!? United sio wazuri kwa kumiliki mpira wao wakipata mpira wanacheza direct football wote nyuma wanaacha mianya ambayo salah hawezi kukuacha salama hata nunez anamikimbio mizur sana
 
Wala hamkukamiwa kila siku tunasema hii timu bado ,mech ngap mnashinda kimanyaunyau?




Sio kwamba liverpool wanatisha sana hapana wamekutana na team ambayo inacheza huku ikiwa haijui inachezaje



Kivipi!? United sio wazuri kwa kumiliki mpira wao wakipata mpira wanacheza direct football wote nyuma wanaacha mianya ambayo salah hawezi kukuacha salama hata nunez anamikimbio mizur sana
Huo mpira ndo umenifanya nipo top 3
 
Wala hamkukamiwa kila siku tunasema hii timu bado ,mech ngap mnashinda kimanyaunyau?




Sio kwamba liverpool wanatisha sana hapana wamekutana na team ambayo inacheza huku ikiwa haijui inachezaje



Kivipi!? United sio wazuri kwa kumiliki mpira wao wakipata mpira wanacheza direct football wote nyuma wanaacha mianya ambayo salah hawezi kukuacha salama hata nunez anamikimbio mizur sana
Mkuu Jana kichwa kimeniuma sana na bora ningeenda kuangalia mpira bandani ila nikasema nilipie niangalie burudani nyumbani,
Najutia pesa yangu....
 
Kosa kubwa alilolifanya Ten Hag ni kutosikilia ushauri wangu, siku moja kabla ya mechi nilimpigia simu na kumshauri game Vs Liverpool asithubutu kuwachezesha Rafael Varane na Casemiro maana Liverpool wakiwaona uwanjani ni kama vile umekua umewatonesha kile kidonda cha kufungwa na Madrid, vyovyote itavyokua wataforce kupiga comeback ili wasonge mbele kwenye Uefa.
Jamani Liverpool sisi hata siku moja hatujawahi kuwa na ugomvi na nyie, haya maugomvi yenu na Madrid tunaomba muwe mnamalizana wenyewe kwa wenyewe, kutuingiza sisi kwenye maugomvi yenu ni kama vile mnatuonea bure tu.
Sijapenda kwa kweli jinsi mlivyotufanyia.
 
Back
Top Bottom