Ni mwehu tu mwenye wasi wasi na genius Klopp
Sijui niende kibanda umiza kumaliza keleleLeo tunakesha hapaa
Ina pain kinyamaa.7 up![]()
Hivi Numbie hali ya ndugu yako unajua ipoje kweli Leo..??ðŸ¤Kabisa jamaa kawabeba sana,bado ana mbinu kali
Wiki hii atatembea Kifua mbeleNa uzi wenu utapamba moto,klopp atapumzika madongo kwa muda wa kutosha![]()




.





Huu mpira nimeutazama leo banda umiza, yaani nimecheka mno..!! Kuna wadau wana maneno mule balaa..!!Sijui niende kibanda umiza kumaliza kelele
Najuta kutokwenda kibanda umizaHuu mpira nimeutazama leo banda umiza, yaani nimecheka mno..!! Kuna wadau wana maneno mule balaa..!!
Nilikuwa nafuatilia hii mechi nikiwa pamoja na washkaji, mwenye tv ni fans wa manchester united kama mimi.😂😂😂
Hivi Numbie hali ya ndugu yako unajua ipoje kweli Leo..??ðŸ¤
Man week fcHahaha daaah,,,, siis tupo na nyie week nzimanawaonea mpka huruma
Man saba



Poleni bhaana ndiyo mpira, wenzenu blues tushajizoelea maumivu hata hatushtuki tena..!!Leo tupo pamoja kwenye maumivu duh saba nyingi sana
Easy goals ,, game mfululizo zmechangia fatigue ,,,hongera livapool