allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
Kufungwa ni kufungwa tu hata iwe 12.Kufungwa sio ishu, ishu ni 7
Kufungwa ni kufungwa tu hata iwe 12.Kufungwa sio ishu, ishu ni 7
Huyu anaekimbia majukumu yake


HahahaaaaMimi na Kocha wangu Potato siwezi kupigwa 4 bila na Livakuku.
Salah pekeake katufunga sio chini ya goli 10 kwa mech 5 vs liverpool qmnn Daah acha tutafte kibonde anaefata Soton tumpige kama tulivyompiga zile 9 sijui 8 msimu ule enzi za PogbaKipondo kizito mno...duh!,poleni mashetani wekundu.
Watu wanafikiria hii mechi Man anafungwa watakuwa wanakosea sana


nacheka lakin naogopaTupo vibonde Chelsea FC tunasubiri kwa hamu ili Harry Potter afukuzweSaba ni nyingi mno hii combo ya varane na licha lilikua suala la mda tu...sema kipigo kama hiki unawakumbuka wachezaji wote waliobench mfano hii game angewekwa Sabitzer,AWB,Gernacho,Lindelof aisee inauma sanaa Case kavuruga Leo ni basi tu Rashford kacheza kama yule wa msimu ulioisha butuabutua tu Werghost daah,,Dalot wanamshushia lawama ila kajitahidi sana tu..DDG ivi kwanini kipa ni mmoja game zote waisa?? Wallah 7 ni nyingi mnoo GakpoSalah pekeake katufunga sio chini ya goli 10 kwa mech 5 vs liverpool qmnn Daah acha tutafte kibonde anaefata Soton tumpige kama tulivyompiga zile 9 sijui 8 msimu ule enzi za Pogba
Tumeloaaaa
#GGMU
Kumsimanga majeruhi ni dhambi
Hapo ni 8 kwa 2,maana yake ni 6 kwa 0Tunacho shukuru Liverpool mjavunja hii record tu.View attachment 2538520