Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten Heisenberg
20230226_090725.jpg
 
Mama yake Rabiot alisababisha tukampata casemiro asingeweka tamaa tungenasa kwa Rabiot Frenk De Jong ni mchezaj mzur ila tusingefika hapa tulipo bila ya kuwa na casemiro bado tunashukuru yule dogo kutupiga chini katuepusha na mabalaa

Leo tunasheherekea ubingwa
IMG_3907.jpg

nguvu ya Casemiro injini ya timu
 
Na katolewa sasa

Wewe ndio hujui mpira
Atakutukana na wewe, sema jamaa ana mahaba tu na fred tangu muda ndio maana ukimgusa anamtetea kila siku humu.

Wazo la kumtoa fred sio kwamba kacheza vibaya leo ila kwa kasi ya mchezo uwezekano wa kula njano ya pili ulikua mkubwa.
 
Back
Top Bottom