Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na katolewa sasa

Wewe ndio hujui mpira
Atakutukana na wewe, sema jamaa ana mahaba tu na fred tangu muda ndio maana ukimgusa anamtetea kila siku humu.

Wazo la kumtoa fred sio kwamba kacheza vibaya leo ila kwa kasi ya mchezo uwezekano wa kula njano ya pili ulikua mkubwa.
 
Passion

#CarabaoCupFINAL
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230226_223953_284.jpg
 
Uchovu umechangia sana.

Toka tulipocheza Feb 1 hadi leo hapo kati tumecheza mechi 6.
Including Barcelona away na home.

Huku Newcastle wamecheza mechi 3 tuu.

Kwhy sijashangaa NU kumiliki mpira namna hiyo.
Licha ya umiliki wote huo, wame manage 2 Shoots on Target.
Tupumzike hata week 1.

Hii fatigue itakuja kutuumiza siku moja.
 
Back
Top Bottom