Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dalot ajipange aise ule upande wake Kuna wapeleka moto hatari
1677425528237.jpg
 
Rooney hapana.

Hao wengine ni sawa.

Mbona timu kama Real Madrid hawana upuuzi kama huu?

Hao wakina Neville wanajiona ni first class fans.
Kila watu wana tabia kulingana na jamii watokayo. Kiujumla Waingereza ni watu wa swaga. Ndiyo maana hata ligi yao ni maarufu licha ya kutokuwa bora but are making big business out of it
 
Back
Top Bottom