Eng Inc
JF-Expert Member
- Feb 3, 2017
- 631
- 946
Ten hag ni genious, niambie ni kocha gani amewahi kusajili striker wa kufanya hivyo? Na mwanzo wengi wetu tulikua hatuoni umuhimu wa Werghost kwenye kikosi tukitaka awe anafunga tuHuyu WERGHOST nadhani baada ya mechi analala amechoka sana. Kumbe anapangwa kimkakati sana haruhusu adui awe na mpira na ajipange kuanzisha mashambulizi au kutoa pasi ya maana, muda wote yuko mahali mpira ulipo. Anawapa shida sana wapinzani.![]()


Time
Stadium

