Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

“WE’RE MAN UTD AND WE’RE NEVER GONNA STOP!”


#CarabaoCupFINAL
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230226_214150_121.jpg
 
Hii ndiyo Man Utd ninayoijua mimi sasa.

Mara oooh goli la kwanza offside, toa la kwanza weka la pili iwe Man Utd 1 - 0 New Castle.

Hongereni Wazee kwa kuwa na timu yenye mipango na kubeba kombe la carabao.

Kombe la Europa linawasubiri pia.

Chelsea Fans tunawakaribisha kutupatia pole kwa kuwa na Kocha kimeo

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mngekuwa na bao tatu
Fernandez alikuwa mchoyo pale mwisho kutaka sifa ya kufunga yeye wakati angempasia mwenzie lingekuwa bao.
 
Kuimaliza hii game haraka namna hii licha ya kufululiza kucheza mechi za kimashindano (ambazo ni ngumu kwelikweli), sioni shida kusema kuwa Man Utd imekuwa bora sana chini ya Ten Hag.

Hakuna anaetukabiri akiwa na uhakika wa kushinda tena.
 
Back
Top Bottom