Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hatupoi
IMG_20230227_002813.jpg


Sent from my OPPO F1S using JamiiForums mobile app
 
Niliiamini na kuliunga mkono lile wazo la Ralf Rangnick la kuuza wachezaji wote na kuanza upya.

Kuna wachezaji niliwakatia tamaa kabisa. Nilitaka wauzwe wote ila leo wamegeuzwa kuwa key players.

Nilimshangaa Ten Hag alivyosema wachezaji wanamfaa. Leo kawageuza wote kuwa lulu.

Ten Hag ni genious. Huyu jamaa angepata wachezaji wazuri anaowataka msimu huu, tungechukua Quadruple kilaini kabisa.
Baada ya World Cup Wan Bissaka has earned my respect back.

Binafsi nilishtuka sana Ten Hag aliposema anaona potential kubwa sana na kikosi kilichopo.
 
Baada ya World Cup Wan Bissaka has earned my respect back.

Binafsi nilishtuka sana Ten Hag aliposema anaona potential kubwa sana na kikosi kilichopo.
Ile break ya World Cup alitumia muda mwingi na wachezaji.

Hapo ndo tumeona improvement kubwa sana kwa baadhi ya wachezaji.

Tukifanikiwa kuondoa ile mizigo na kuleta wengine wapya kama wanne hivi, tutatisha sana.
 
Back
Top Bottom