Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,104
- 53,605
Sioni hilo likitokea.Yap.
Mechi ya West Ham inabidi apumzishe first eleven yote.
Sioni hilo likitokea.Yap.
Mechi ya West Ham inabidi apumzishe first eleven yote.
According to Fred Casemiro alikubali kuja Utd toka May, usajili wake ulikua hauhusiani na FDJ wala Rabiot.Mama yake Rabiot alisababisha tukampata casemiro asingeweka tamaa tungenasa kwa Rabiot Frenk De Jong ni mchezaj mzur ila tusingefika hapa tulipo bila ya kuwa na casemiro bado tunashukuru yule dogo kutupiga chini katuepusha na mabalaa
Leo tunasheherekea ubingwaView attachment 2531058
nguvu ya Casemiro injini ya timu
Spider anakutazama ile unafanya next move anakutamba tackle unaend hukoWale ambao walikua wana doubt AWB qualities, mmeona Allan saint Maximin alivyoekwa Mfukoni? Mtu ambaye kamtesa sana Dalot imebidi atolewe baada ya kucheza dakika kadhaa na AWB.






Ni safari ndefu ila kwa sasa tuna mtu sahihi. Hofu ipo kwa wamiliki tu.Hope, united tunaweza rudi