GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Uchovu umechangia sana.Tulikuwa tuna loose possession hatari.
Toka tulipocheza Feb 1 hadi leo hapo kati tumecheza mechi 6.
Including Barcelona away na home.
Huku Newcastle wamecheza mechi 3 tuu.
Kwhy sijashangaa NU kumiliki mpira namna hiyo.
Licha ya umiliki wote huo, wame manage 2 Shoots on Target.







