NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,965
- 12,757
Una weweseka pumbavu wewe, sasa huku kwenye hili jukwaa unatafuta nini
Leo baada ya kuchukua taji letu la Carabao mashabiki wa Chelsea na Liverpool mtakuwa na jukumu la kuwarudisha nyumbani mashabiki wa Man United, wale wa Arsenal ole wenu tukifika banda umiza tukute viti vichafu, haiwezekani muje kuona mechi yetu halafu tusiwape kazi, tumewaita?View attachment 2530599




United 2 newcastle 0
Nachukua nafasi ya mtu leo
Angelambwa red kizembe.Dalot ndio Fred hapana
Mganga wa kienyeji kutoka mkoa gani?United 2 newcastle 0
Nachukua nafasi ya mtu leo
Uchizi huoKila kheri Newcastle