





Ni safari ndefu ila kwa sasa tuna mtu sahihi. Hofu ipo kwa wamiliki tu.Hope, united tunaweza rudi
Baada ya World Cup Wan Bissaka has earned my respect back.Niliiamini na kuliunga mkono lile wazo la Ralf Rangnick la kuuza wachezaji wote na kuanza upya.
Kuna wachezaji niliwakatia tamaa kabisa. Nilitaka wauzwe wote ila leo wamegeuzwa kuwa key players.
Nilimshangaa Ten Hag alivyosema wachezaji wanamfaa. Leo kawageuza wote kuwa lulu.
Ten Hag ni genious. Huyu jamaa angepata wachezaji wazuri anaowataka msimu huu, tungechukua Quadruple kilaini kabisa.
Mwarabu apewe timuNi safari ndefu ila kwa sasa tuna mtu sahihi. Hofu ipo kwa wamiliki tu.
Ile break ya World Cup alitumia muda mwingi na wachezaji.Baada ya World Cup Wan Bissaka has earned my respect back.
Binafsi nilishtuka sana Ten Hag aliposema anaona potential kubwa sana na kikosi kilichopo.
Huyu mwamba ni mtata sanaLisandro Martinez’s game by numbers vs. Newcastle United:
82% pass accuracy
4 clearances
3 tackles won
3/4 ground duels won
2 blocks
1 clean sheet
0 times dribbled
The Butcher.
#CarabaoCupFINAL
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2531024
Hapana mkuuMwandiko wa PTER, ni wewe mkuu?