Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Niliiamini na kuliunga mkono lile wazo la Ralf Rangnick la kuuza wachezaji wote na kuanza upya.

Kuna wachezaji niliwakatia tamaa kabisa. Nilitaka wauzwe wote ila leo wamegeuzwa kuwa key players.

Nilimshangaa Ten Hag alivyosema wachezaji wanamfaa. Leo kawageuza wote kuwa lulu.

Ten Hag ni genious. Huyu jamaa angepata wachezaji wazuri anaowataka msimu huu, tungechukua Quadruple kilaini kabisa.
Baada ya World Cup Wan Bissaka has earned my respect back.

Binafsi nilishtuka sana Ten Hag aliposema anaona potential kubwa sana na kikosi kilichopo.
 
Baada ya World Cup Wan Bissaka has earned my respect back.

Binafsi nilishtuka sana Ten Hag aliposema anaona potential kubwa sana na kikosi kilichopo.
Ile break ya World Cup alitumia muda mwingi na wachezaji.

Hapo ndo tumeona improvement kubwa sana kwa baadhi ya wachezaji.

Tukifanikiwa kuondoa ile mizigo na kuleta wengine wapya kama wanne hivi, tutatisha sana.
 
Lisandro Martinez’s game by numbers vs. Newcastle United:

82% pass accuracy
4 clearances
3 tackles won
3/4 ground duels won
2 blocks
1 clean sheet
0 times dribbled

The Butcher.

#CarabaoCupFINAL
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2531024
Huyu mwamba ni mtata sana
 
Ten Hag
"Leo tumeshinda taji la kwanza. Hii inatupa imani zaidi kwamba tunaweza kufanya zaidi."

"Bado tuko mwanzoni mwa kujaribu kuirejesha Manchester United"

"Nataka tu kushinda. Tuliwekeza tangu mwanzo wa msimu na wafanyakazi pamoja na wachezaji. Wako pamoja, pamoja na mashabiki. Kuna hamu na njaa ya mataji."
Screenshot_20230227_110555.jpg
Screenshot_20230227_110444.jpg
 
Back
Top Bottom