Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Some things are inevitable

#CarabaoCupFINAL
#Wembley
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
manchesterunited-20230226-0001.jpg
manchesterunited-20230226-0002.jpg
 
Huyu WERGHOST nadhani baada ya mechi analala amechoka sana. Kumbe anapangwa kimkakati sana haruhusu adui awe na mpira na ajipange kuanzisha mashambulizi au kutoa pasi ya maana, muda wote yuko mahali mpira ulipo. Anawapa shida sana wapinzani.
 
Huyu WERGHOST nadhani baada ya mechi analala amechoka sana. Kumbe anapangwa kimkakati sana haruhusu adui awe na mpira na ajipange kuanzisha mashambulizi au kutoa pasi ya maana, muda wote yuko mahali mpira ulipo. Anawapa shida sana wapinzani.
Ten hag ni genious, niambie ni kocha gani amewahi kusajili striker wa kufanya hivyo? Na mwanzo wengi wetu tulikua hatuoni umuhimu wa Werghost kwenye kikosi tukitaka awe anafunga tu
 
Back
Top Bottom