Waseme
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,617
- 4,142
Would like for him to score againWout is the best signing.
Jamaa anasaidia sana kwa jicho la rohoni

Would like for him to score againWout is the best signing.

Akitupia goli jingine anabeba kiatu cha ufungaji bora kwa sasa wakwanza analinga nae wote wana5 sema yeye yupo juu yake kwa sababu ya herufi za jinAnaliona goli aisee uyu raashid mpemba
Kama nilivyosema hapa. Sub imefanyika hivyoDalot ndio Fred hapana
Ten hag ni genious, niambie ni kocha gani amewahi kusajili striker wa kufanya hivyo? Na mwanzo wengi wetu tulikua hatuoni umuhimu wa Werghost kwenye kikosi tukitaka awe anafunga tuHuyu WERGHOST nadhani baada ya mechi analala amechoka sana. Kumbe anapangwa kimkakati sana haruhusu adui awe na mpira na ajipange kuanzisha mashambulizi au kutoa pasi ya maana, muda wote yuko mahali mpira ulipo. Anawapa shida sana wapinzani.![]()
Sikuhizi tunawaachia wamiliki mpira, ila swala la kuwafunga linabaki palepale.
Leo anajitahidi sana kumsaidia wan bissaka kukaba timu isipokuwa na mpiraAntony atoke mapema, kachoka sanaaaa