Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
Na alikaribia sana kufunga leo.Super assist "WHERGHOST"
Na alikaribia sana kufunga leo.Super assist "WHERGHOST"
Analiona goli aisee uyu raashid mpembaIla wazee huyu Rashford ni kama alimtoa kafara Bibi Elizabeth maana kila wiki lazima akinukishe
GGMU
Goli la pili wameka Own Goal. Wamemkatili Rashford.Analiona goli aisee uyu raashid mpemba
Dalot ndio Fred hapanaFred na Dalot wapumzike aingie Wan Bissaka na Sabitzer. Game itakua imeisha.
Sikuhizi hatuna muda wa kumiliki, kazi yetu sisi ni kuchukua ushindi na kuwaacha midomo wazi mkiulizana , iliwezejanaje.Mpaka dk hii ya 18 Newcastle wamemanage kutawala kiungo
Would like for him to score againWout is the best signing.

Akitupia goli jingine anabeba kiatu cha ufungaji bora kwa sasa wakwanza analinga nae wote wana5 sema yeye yupo juu yake kwa sababu ya herufi za jinAnaliona goli aisee uyu raashid mpemba
Kama nilivyosema hapa. Sub imefanyika hivyoDalot ndio Fred hapana