Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bado zinawezekana Arsenal anauwezekano wa kudrop point dhidi ya Man city, Liverpool na Chelsea.
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
 
Bado zinawezekana Arsenal anauwezekano wa kudrop point dhidi ya Man city, Liverpool na Chelsea.
Hivi nyie mpira mnaangalia kweli au hua mnasimuliwa na Ramadhani Simbaulanga?
d1255055620f0e6a.jpg
 
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
Wewe ndo unasimuliwa sasa huangalii Mimi nimeangalia sana game za Liva misimu iliopita na huu tuliopo kwakweli kusema Alison yupo kwenye kiwango ni kunajisi wanamichezo na wapenzi wa mpira....Kuanzia World cup alivuruga sana na sasa magoli anayofungwa mengne wala sio makosa ya beki lakini pia LUIS DIAZ ni mchezaji alieishape sana liva bahati mbaya injury znamwandama ila DIAZ alisaidia sanaa
 
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
City hawajawahi kufanya vizuri misimu mitatu mfululizo EPL, hizo sababu zingine sidhani kama zina ukweli.
 
kayachoma ndugu yenu.

Juventus deny stories and rumours reporting intention of terminating Paul Pogba's contract. It's not even a possibility considered by the club at this stage, as they're waiting for him. #Juventus

Pogba has still zero minutes since he joined in July due to injuries.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230206_132923_186.jpg
 
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
City hawana tatizo lolote wanazidiwa kimbinu tu na timu zingine.

Man city hufungwa kwa namna inayofanana ukijua namna ya kumfunga utashinda ni hakika kikubwa ujue pia na namna ya kumzuia.
 
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
Arsenal wanavyocheza hawawezi kumfunga Man city kirahisi hivyo.

Hata mechi yao ya kombe la FA nilisema Arsenal anavyocheza hawezi kumfunga Man City.
 
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
Arsenal wanavyocheza hawawezi kumfunga Man city kirahisi hivyo.

Hata mechi yao ya kombe la FA nilisema Arsenal anavyocheza hawezi kumfunga Man City.
 
Wewe ndo unasimuliwa sasa huangalii Mimi nimeangalia sana game za Liva misimu iliopita na huu tuliopo kwakweli kusema Alison yupo kwenye kiwango ni kunajisi wanamichezo na wapenzi wa mpira....Kuanzia World cup alivuruga sana na sasa magoli anayofungwa mengne wala sio makosa ya beki lakini pia LUIS DIAZ ni mchezaji alieishape sana liva bahati mbaya injury znamwandama ila DIAZ alisaidia sanaa
At least ndiye anaeonekana walau ana ahueni ! Kina Trent, fabinho , mo, Gakpo, Nunez, Thiago, vvd(before injury) Nani alikuwa na kiwango Bora ? Mpira Ni mchezo wa wazi kila mtu anaona !
 
Erik Ten Hag is planning a summer clear-out at Manchester United to raise funds for new signings:

Harry Maguire
Scott McTominay
Anthony Martial
Donny van de Beek
Eric Bailly
Alex Telles

(Source: Steve Bates)

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2506531
Bado wanamwacha Phil Jones? Kenge maji kweli
 
Back
Top Bottom