Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,156
- 18,831
Write your reply... Manchester United mechi ambazo Casemiro atakuwepo uwanjani ( Barcelona na Newcastle) mtapoteza zote Ila zile ambazo hatakuwepo mtashinda.Mark my words.
Sawa mtabiri tumekusikia, tabiri basi leo mimi nakula nini mchanaWrite your reply... Manchester United mechi ambazo Casemiro atakuwepo uwanjani ( Barcelona na Newcastle) mtapoteza zote Ila zile ambazo hatakuwepo mtashinda.Mark my words.
Bado zinawezekana Arsenal anauwezekano wa kudrop point dhidi ya Man city, Liverpool na Chelsea.Zile hesabu zetu za ubingwa bado zinawezekana?![]()
Kama Anthony , Mudryk na Enzo wameuzwa 100+ Osimhen wa Napoli hawezi kuuzwa chini ya 150 unless humjui boss wa Napoli.Bei yake ni €115M. Hakutakuwa na ushindani sokoni majira ya kiangazi labda tusimtake. United ndio timu pekee inayoweza ku-afford gharama zake.
PSG wana Mbappe, City wana Halaand, Chelsea hawezi kufuzu UEFA msimu ujao - hivyo FFP itawabana kwenye usajili wa majira ya kiangazi. Madrid wanamlenga Bellingham lazima kibubu hapa kipasuke.
Amka ndotoni, unawanga mchanaWrite your reply... Manchester United mechi ambazo Casemiro atakuwepo uwanjani ( Barcelona na Newcastle) mtapoteza zote Ila zile ambazo hatakuwepo mtashinda.Mark my words.
May be kwa ChelseaBado zinawezekana Arsenal anauwezekano wa kudrop point dhidi ya Man city, Liverpool na Chelsea.
UtaliwaSawa mtabiri tumekusikia, tabiri basi leo mimi nakula nini mchana
Hivi nyie mpira mnaangalia kweli au hua mnasimuliwa na Ramadhani Simbaulanga?Bado zinawezekana Arsenal anauwezekano wa kudrop point dhidi ya Man city, Liverpool na Chelsea.
Wewe ndo unasimuliwa sasa huangalii Mimi nimeangalia sana game za Liva misimu iliopita na huu tuliopo kwakweli kusema Alison yupo kwenye kiwango ni kunajisi wanamichezo na wapenzi wa mpira....Kuanzia World cup alivuruga sana na sasa magoli anayofungwa mengne wala sio makosa ya beki lakini pia LUIS DIAZ ni mchezaji alieishape sana liva bahati mbaya injury znamwandama ila DIAZ alisaidia sanaaMay be kwa Chelsea
Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!
City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !
Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!
Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
City hawajawahi kufanya vizuri misimu mitatu mfululizo EPL, hizo sababu zingine sidhani kama zina ukweli.May be kwa Chelsea
Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!
City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !
Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!
Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA







️
️
#Juventus 



City hawana tatizo lolote wanazidiwa kimbinu tu na timu zingine.May be kwa Chelsea
Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!
City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !
Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!
Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
Arsenal wanavyocheza hawawezi kumfunga Man city kirahisi hivyo.May be kwa Chelsea
Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!
City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !
Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!
Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
Arsenal wanavyocheza hawawezi kumfunga Man city kirahisi hivyo.May be kwa Chelsea
Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!
City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !
Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!
Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
Maandishi yako tu yanajidhirihisha ulivyo mjinga.Hivi nyie mpira mnaangalia kweli au hua mnasimuliwa na Ramadhani Simbaulanga?View attachment 2508179