Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bei yake ni €115M. Hakutakuwa na ushindani sokoni majira ya kiangazi labda tusimtake. United ndio timu pekee inayoweza ku-afford gharama zake.

PSG wana Mbappe, City wana Halaand, Chelsea hawezi kufuzu UEFA msimu ujao - hivyo FFP itawabana kwenye usajili wa majira ya kiangazi. Madrid wanamlenga Bellingham lazima kibubu hapa kipasuke.
Kama Anthony , Mudryk na Enzo wameuzwa 100+ Osimhen wa Napoli hawezi kuuzwa chini ya 150 unless humjui boss wa Napoli.

Koulibaly mwenyewe alimweka sokoni kwa dau la 100 sembuse Osimhen
 
Bado zinawezekana Arsenal anauwezekano wa kudrop point dhidi ya Man city, Liverpool na Chelsea.
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
 
Bado zinawezekana Arsenal anauwezekano wa kudrop point dhidi ya Man city, Liverpool na Chelsea.
Hivi nyie mpira mnaangalia kweli au hua mnasimuliwa na Ramadhani Simbaulanga?
d1255055620f0e6a.jpg
 
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
Wewe ndo unasimuliwa sasa huangalii Mimi nimeangalia sana game za Liva misimu iliopita na huu tuliopo kwakweli kusema Alison yupo kwenye kiwango ni kunajisi wanamichezo na wapenzi wa mpira....Kuanzia World cup alivuruga sana na sasa magoli anayofungwa mengne wala sio makosa ya beki lakini pia LUIS DIAZ ni mchezaji alieishape sana liva bahati mbaya injury znamwandama ila DIAZ alisaidia sanaa
 
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
City hawajawahi kufanya vizuri misimu mitatu mfululizo EPL, hizo sababu zingine sidhani kama zina ukweli.
 
kayachoma ndugu yenu.

Juventus deny stories and rumours reporting intention of terminating Paul Pogba's contract. It's not even a possibility considered by the club at this stage, as they're waiting for him. #Juventus

Pogba has still zero minutes since he joined in July due to injuries.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230206_132923_186.jpg
 
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
City hawana tatizo lolote wanazidiwa kimbinu tu na timu zingine.

Man city hufungwa kwa namna inayofanana ukijua namna ya kumfunga utashinda ni hakika kikubwa ujue pia na namna ya kumzuia.
 
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
Arsenal wanavyocheza hawawezi kumfunga Man city kirahisi hivyo.

Hata mechi yao ya kombe la FA nilisema Arsenal anavyocheza hawezi kumfunga Man City.
 
May be kwa Chelsea

Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!

City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !

Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!

Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA
Arsenal wanavyocheza hawawezi kumfunga Man city kirahisi hivyo.

Hata mechi yao ya kombe la FA nilisema Arsenal anavyocheza hawezi kumfunga Man City.
 
Back
Top Bottom