kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,902
- 18,061
May be kwa ChelseaBado zinawezekana Arsenal anauwezekano wa kudrop point dhidi ya Man city, Liverpool na Chelsea.
Liva imeoza,,,, pale mchezaji naemuona kiwango vile vile Ni kipa wao tu !!
City sijui wamekumbwa na Nini, wachezaji hawana morali ya kupambana ,,,, Kuna tetesi kocha amepoteza dressing room ! Seniors kama kina Kyle, kdb, gundo na cancelo unaambiwa hawana maelewano vzr na pep !
Ndo chanzo Cha cancelo kuondoka pia ,,,, ! Mechi na Spurs unamuacha kdb na gundo kweli ? City ukiwabana vzr viuongo wao haaland akikosa malisho Hana madhara !!!! Arsenal wakikaza Wana nafasi ya kumfunga Tena asubuhi tu!
Utd kuwaza ubingwa Ni too much expectation,, tupambanie top 4 ili tuwe na uhakika wa kushiriki UEFA






️
️
#Juventus
Erik Ten Hag is planning a summer clear-out at Manchester United to raise funds for new signings:
Harry Maguire