Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe ndo unasimuliwa sasa huangalii Mimi nimeangalia sana game za Liva misimu iliopita na huu tuliopo kwakweli kusema Alison yupo kwenye kiwango ni kunajisi wanamichezo na wapenzi wa mpira....Kuanzia World cup alivuruga sana na sasa magoli anayofungwa mengne wala sio makosa ya beki lakini pia LUIS DIAZ ni mchezaji alieishape sana liva bahati mbaya injury znamwandama ila DIAZ alisaidia sanaa
At least ndiye anaeonekana walau ana ahueni ! Kina Trent, fabinho , mo, Gakpo, Nunez, Thiago, vvd(before injury) Nani alikuwa na kiwango Bora ? Mpira Ni mchezo wa wazi kila mtu anaona !
 
Erik Ten Hag is planning a summer clear-out at Manchester United to raise funds for new signings:

Harry Maguire
Scott McTominay
Anthony Martial
Donny van de Beek
Eric Bailly
Alex Telles

(Source: Steve Bates)

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2506531
Bado wanamwacha Phil Jones? Kenge maji kweli
 
Maandishi yako tu yanajidhirihisha ulivyo mjinga.
Cry
d1255055620f0e6a.jpg
 
Point tatu za damu na machoz !!!!!

Dah, baada ya red card game plan ilivurugika

Tulipigwa msako haswa,,, kidogo baada ya Marcel kuingia walau kukawa na ahuen !


Martinez nadhan Ajax wanatudai chenchi,,,,, hizi ndo damu za south America, kazi tu hakuna kuremba
Oooh Martinez ni andunje hawezi kukaa beki yule pale tumepigwa atachomesha sana yule kama Maguire.
Mwana anapiga kazi kichizi
 
Oooh Martinez ni andunje hawezi kukaa beki yule pale tumepigwa atachomesha sana yule kama Maguire.
Mwana anapiga kazi kichizi
Jamaa anapiga kazi sio powa mkuu,,,, spirit iko juu Sana !

Kama sio ETh angekuwa arsenal now ,,,,!

Eth aliwahi kusema kuwa last summer kidogo tu jamaa aende arsenal, licha akampigia simu akamuambia anatamani kuja EPL na anadhan atasain arsenal, akamwambia Kama unanihitaji nitakuja utd,,,, !!! Na ikawa hivyo !

What a player
 
Back
Top Bottom