Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nike have confirmed that their previous statement in relation to Mason Greenwood remains applicable now. It read: "Mason Greenwood is no longer a Nike athlete."

#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |
IMG_20230206_164727_348.jpg
 
Oooh Martinez ni andunje hawezi kukaa beki yule pale tumepigwa atachomesha sana yule kama Maguire.
Mwana anapiga kazi kichizi
Jamaa anapiga kazi sio powa mkuu,,,, spirit iko juu Sana !

Kama sio ETh angekuwa arsenal now ,,,,!

Eth aliwahi kusema kuwa last summer kidogo tu jamaa aende arsenal, licha akampigia simu akamuambia anatamani kuja EPL na anadhan atasain arsenal, akamwambia Kama unanihitaji nitakuja utd,,,, !!! Na ikawa hivyo !

What a player
 
Nike have confirmed that their previous statement in relation to Mason Greenwood remains applicable now. It read: "Mason Greenwood is no longer a Nike athlete."

#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |View attachment 2508548
Brand inalindwa kwa gharama yoyote ile no matter who you are
 
Kama Anthony , Mudryk na Enzo wameuzwa 100+ Osimhen wa Napoli hawezi kuuzwa chini ya 150 unless humjui boss wa Napoli.

Koulibaly mwenyewe alimweka sokoni kwa dau la 100 sembuse Osimhen
Kinachoamua bei ya mchezaji sokoni ni uwepo wa timu iliyo tayari kulipa bei sokoni. Enzo, Antony na Mudryk walikuwa overpriced kwa ssb ya timing mbovu pamoja desperation ya viongozi husika.

Antony mwezi 6 bei yake ilikuwa euro 50M, Enzo mwezi wa kwanza mwaka jana bei yake ilikuwa euro 18M, Mudryk kabla ya deal la Antony bei yake ilikuwa euro 40M. Viongozi wa United walitumia muda mwingi dirisha lililopita kukimbizana na De Jong walirudi Ajax kwa Antony muda mbovu.

Osimhem ana plan B yake sokoni incase De Laurentiis akileta bei isiyo na uhalisia. Kosa la viongozi wa United sio smart ku-strike deal kwa wakati sahihi. (Dusan Vlahovic - contingency plan)

Muda sahihi wa kununua wachezaji kwa bei sahihi ni wiki nne za mwanzo baada ya ligi kumalizika yaani kabla maandalizi mapya ya msimu mpya hayajanza(Tar 1 mwezi 6 mpaka tar 30). Nje ya muda huo usitumie head hunting strategy focus na scouting reports (e.g Ty Malacia, Malo Gusto, Kenneth Taylor)
 
Siyo muumini kabisa wa ushindi wa mezani.

Kuna watu walitoka jasho kupata ubingwa huo.

Ni bora wapigwe faini tu kuwanyang'anya ubingwa ni maamuzi yasiyo na chembe ya haki hata kidogo.

It's unfair.
Mimi mwenyewe ujinga wa kumnyang'anya mtu points huo naonaga umekaa hovyo sana. Kuna watu walivuja jasho na walizipambania, jambo la busara ni kufungiwa kufanya sajiri kwa madirisha kadhaa tu.
 
Back
Top Bottom