Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Matokeo ya mpira..[emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20230204_195918_All%20Goals.jpg
 
mnamaha san na athony kisa ni mshabik wa man u anaenda kucheza cheza ujinga anamsababishia card casemiro ya kijinga ona itakavyokuja kutugarimu pengo kubwa sana athony sio mchezaj kabisa gernacho kaingia tu katoa mchango wa goli la pili mapema tu yeye anaenda kucheza kweny chaki ifike time ata kam ww ni man u ukubali athony anachelewesha ushindi
Mkuu hivi unaona Antony anavyoludi kuzui au wewe unaangalia magoli tu?
 
Point tatu za damu na machoz !!!!!

Dah, baada ya red card game plan ilivurugika

[emoji36]Tulipigwa msako haswa,,, kidogo baada ya Marcel kuingia walau kukawa na ahuen !


Martinez nadhan Ajax wanatudai chenchi,,,,, hizi ndo damu za south America, kazi tu hakuna kuremba
 
Back
Top Bottom