The greater man
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 237
- 190
lukaku s aliyeonekana bora alikuja akashindwa tukalalama akaondoka na athony itakuwa hvo hvo kocha kumnunua mchezaj sio tatzo na haimainish wwrghost nae kaletwa na kocha huyo huyo mnaembeza tatzo ni mapenz mnaendekeza.Inaonekana unajua mpira kuliko Ten hag aliyemnunua na anayemchezesha kila siku, Kila kocha ana mbinu zake, na maelekezo aliyopewa Antony ni kulinda mpira, kutanua uwanja, na ku combine na wenzie nafac ikipatikana, na ndio maana unamuona anacheza vile na hauon akiwekwa benchi kwa kucheza vile
athony ni kiungo mshambuliaj anayetoka pemben kaz yke kuu ni kushambulia kuasist kupiga krosi kuingia na kudestroy safu ya uliza swala la kuzuia kila mchezaj anausika tukiwa atuna mpira mpka namb 9 lkn kila nafas ina main function yeye athony kaz yake kuu sio kushambulia yule ni mama tu mpira wake wa kibongo anapewa mali watu washafungua space nafaa ya kutoa pass anayo anapiga chenga anajigeuza kama kambale timu pizani wanacover space tunashindwa kuwafungua na huyo anacheza kwa mahaba ya kocha tu lakin sio mchezaj anayetufaa kwa ushindi labda kipind tumeshonda aingie kwajili ya burudani