Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio kirahisi hivyo, kwa zile forward tulizonazo hakuna hata 1 anayefikia uwezo wa Greenwood kwenye finishing, Period
Tatizo hii issue haipo kwa Man U pekee yake , inahusu na wadhamini wa timu wanachukuliaje hili swala?
 
Nadhani zile namba muhimu kwenye kikosi tunahitaji wachezaji wawili wa uhakika. Midfield ni moja wapo.

Casemiro asipokuwepo kunakuwa na mtafutano sana uwanjani. Timu inaonekana imepwaya sana.

Tumtafute au kumtengeneza Casemiro mwingine. Anaweza asiwe 100% kama yeye ila akiwa uwanjani atapunguza madhara kwa kiasi kikubwa.

Sipati picha Casemiro akipata injury ya muda mrefu.
 
Tungekua hatujasajiri sijui ingekuwaje dah. Kama kuna kamkosi kameanza kutuandama.
 
Point tatu za damu na machoz !!!!!

Dah, baada ya red card game plan ilivurugika

Tulipigwa msako haswa,,, kidogo baada ya Marcel kuingia walau kukawa na ahuen !


Martinez nadhan Ajax wanatudai chenchi,,,,, hizi ndo damu za south America, kazi tu hakuna kuremba
Hawatudai tunakatana kwenye ile mia ya antony. Pesa ya kumchukua antony ilibidi ilipwe kwa martinez na ya martinez ilipwe kwa Anthony tukajichanganya hapo .
 
kocha wake anamjua kuliko sisi ,,,,kafanya nae kazi ajax ! Ana impact kubwa Sana kwenye mechi,,,,, ule upande anaocheza anasaidia Sana ! Usikariri magoli na assist ! Collectively Yuko vizuri sana

Angalia bruno anavyocheza now, siku hzi hafungi sana Wala assist,,,, Ni punguani pekee atakayesema Bruno amedrop !
kwnn ikfanywa sub anakuwa wakwanza yeye au werghost ajax na man timu mbili tofaut na ligi mbili tofauti pale tumepigwa kocha kabeti
 
Inaonekana unajua mpira kuliko Ten hag aliyemnunua na anayemchezesha kila siku, Kila kocha ana mbinu zake, na maelekezo aliyopewa Antony ni kulinda mpira, kutanua uwanja, na ku combine na wenzie nafac ikipatikana, na ndio maana unamuona anacheza vile na hauon akiwekwa benchi kwa kucheza vile
lukaku s aliyeonekana bora alikuja akashindwa tukalalama akaondoka na athony itakuwa hvo hvo kocha kumnunua mchezaj sio tatzo na haimainish wwrghost nae kaletwa na kocha huyo huyo mnaembeza tatzo ni mapenz mnaendekeza.
athony ni kiungo mshambuliaj anayetoka pemben kaz yke kuu ni kushambulia kuasist kupiga krosi kuingia na kudestroy safu ya uliza swala la kuzuia kila mchezaj anausika tukiwa atuna mpira mpka namb 9 lkn kila nafas ina main function yeye athony kaz yake kuu sio kushambulia yule ni mama tu mpira wake wa kibongo anapewa mali watu washafungua space nafaa ya kutoa pass anayo anapiga chenga anajigeuza kama kambale timu pizani wanacover space tunashindwa kuwafungua na huyo anacheza kwa mahaba ya kocha tu lakin sio mchezaj anayetufaa kwa ushindi labda kipind tumeshonda aingie kwajili ya burudani
 
Msimu huu antony martial amekosa mechi 20
Kuna mahala nimesoma Ten Hag majira ya kiangazi anapanga kuwaweka sokoni Martial, Bailly, Telles, Maguire na Van De Beek.

Kuna pressure kutoka ktk bodi kupunguza gharama za uendeshaji wa timu. Tayari internally washaweka salary ceilling (not more than 350k/weekly - bonus inclusive).
 
Erik Ten Hag is planning a summer clear-out at Manchester United to raise funds for new signings:

Harry Maguire
Scott McTominay
Anthony Martial
Donny van de Beek
Eric Bailly
Alex Telles

(Source: Steve Bates)

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230205_001626_126.jpg
 
Lisandro Martinez’s game by numbers vs. Crystal Palace:

92% pass accuracy
77 touches
61 passes completed
7 ball recoveries
5 clearances
3 aerial duels won
2/2 tackles won
2 ground duels won

The Butcher.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230205_001645_784.jpg
 
Back
Top Bottom