😂😂😂😂😂😂 Anacho oress sikioni mbonaWataalamu wa mpira wanakwambia ni "presser" mzuri.
😂😂😂😂😂😂 Anacho oress sikioni mbonaWataalamu wa mpira wanakwambia ni "presser" mzuri.
Hawatudai tunakatana kwenye ile mia ya antony. Pesa ya kumchukua antony ilibidi ilipwe kwa martinez na ya martinez ilipwe kwa Anthony tukajichanganya hapoPoint tatu za damu na machoz !!!!!
Dah, baada ya red card game plan ilivurugika
Tulipigwa msako haswa,,, kidogo baada ya Marcel kuingia walau kukawa na ahuen !
Martinez nadhan Ajax wanatudai chenchi,,,,, hizi ndo damu za south America, kazi tu hakuna kuremba
. 

Mkuu nimecheka mpaka basi.Mganga amezimia baada ya shughuli ndefu
ahaha eti kuzuia yan nicheki kaz ya kiungo mshambuliaj ni kuzuiaMkuu hivi unaona Antony anavyoludi kuzui au wewe unaangalia magoli tu?
kwnn ikfanywa sub anakuwa wakwanza yeye au werghost ajax na man timu mbili tofaut na ligi mbili tofauti pale tumepigwa kocha kabetikocha wake anamjua kuliko sisi ,,,,kafanya nae kazi ajax ! Ana impact kubwa Sana kwenye mechi,,,,, ule upande anaocheza anasaidia Sana ! Usikariri magoli na assist ! Collectively Yuko vizuri sana
Angalia bruno anavyocheza now, siku hzi hafungi sana Wala assist,,,, Ni punguani pekee atakayesema Bruno amedrop !
lukaku s aliyeonekana bora alikuja akashindwa tukalalama akaondoka na athony itakuwa hvo hvo kocha kumnunua mchezaj sio tatzo na haimainish wwrghost nae kaletwa na kocha huyo huyo mnaembeza tatzo ni mapenz mnaendekeza.Inaonekana unajua mpira kuliko Ten hag aliyemnunua na anayemchezesha kila siku, Kila kocha ana mbinu zake, na maelekezo aliyopewa Antony ni kulinda mpira, kutanua uwanja, na ku combine na wenzie nafac ikipatikana, na ndio maana unamuona anacheza vile na hauon akiwekwa benchi kwa kucheza vile
Kuna mahala nimesoma Ten Hag majira ya kiangazi anapanga kuwaweka sokoni Martial, Bailly, Telles, Maguire na Van De Beek.Msimu huu antony martial amekosa mechi 20
Mtu anaandika "wanambrock" mtaelewana naye vipi?Nadhani hatuwezi kuelewana kabisa.
Madrid hawawezi kumwachia bora tuende kwa Rodrigo Bentacur au Piotr Zielinsky
Bonge moja la transformation hawajamaa wakiondolewa hususan Maguire.Kuna mahala nimesoma Ten Hag majira ya kiangazi anapanga kuwaweka sokoni Martial, Bailly, Telles, Maguire na Van De Beek.
Kuna pressure kutoka ktk bodi kupunguza gharama za uendeshaji wa timu. Tayari internally washaweka salary ceilling (not more than 350k/weekly - bonus inclusive).
Hahahaa Ten Hag ni mjanja sana anapo-deal na waandishi wa habari. Usiamini kauli zake kirahisi rahisi umesahau alichokuwa anasema kuhusu Ronaldo mbele ya camera?Inaonekana Erik anampenda sana cause press conference zake nyingi anapo muongelea martial anaonekana kuwa ni mchezaji aliye katika mipango yake.
Labda ziwe mind games
Let's wait
Huyu mreno huwaga anakichafua balaa katikati.Kuna jamaa yupo fulham pale ,,,,palinha(mreno),,, dah anakichafua Sana aisee, huyu mwamba hastahili kuchezea timu ndogo !
Hatufai,???? ,, kuendelea kuwakumbatia kina tominay na kumtegemea Casemiro pekee,,,akipata injury ya muda mrefu au red card Kama Jana inakuwa disaster kwetu !!!!
Chief-Mkwawa
Darmian