Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aseno wengi watakufa likitokea hili
20230206_165441.jpg
 
Kama Anthony , Mudryk na Enzo wameuzwa 100+ Osimhen wa Napoli hawezi kuuzwa chini ya 150 unless humjui boss wa Napoli.

Koulibaly mwenyewe alimweka sokoni kwa dau la 100 sembuse Osimhen
Kinachoamua bei ya mchezaji sokoni ni uwepo wa timu iliyo tayari kulipa bei sokoni. Enzo, Antony na Mudryk walikuwa overpriced kwa ssb ya timing mbovu pamoja desperation ya viongozi husika.

Antony mwezi 6 bei yake ilikuwa euro 50M, Enzo mwezi wa kwanza mwaka jana bei yake ilikuwa euro 18M, Mudryk kabla ya deal la Antony bei yake ilikuwa euro 40M. Viongozi wa United walitumia muda mwingi dirisha lililopita kukimbizana na De Jong walirudi Ajax kwa Antony muda mbovu.

Osimhem ana plan B yake sokoni incase De Laurentiis akileta bei isiyo na uhalisia. Kosa la viongozi wa United sio smart ku-strike deal kwa wakati sahihi. (Dusan Vlahovic - contingency plan)

Muda sahihi wa kununua wachezaji kwa bei sahihi ni wiki nne za mwanzo baada ya ligi kumalizika yaani kabla maandalizi mapya ya msimu mpya hayajanza(Tar 1 mwezi 6 mpaka tar 30). Nje ya muda huo usitumie head hunting strategy focus na scouting reports (e.g Ty Malacia, Malo Gusto, Kenneth Taylor)
 
Siyo muumini kabisa wa ushindi wa mezani.

Kuna watu walitoka jasho kupata ubingwa huo.

Ni bora wapigwe faini tu kuwanyang'anya ubingwa ni maamuzi yasiyo na chembe ya haki hata kidogo.

It's unfair.
Mimi mwenyewe ujinga wa kumnyang'anya mtu points huo naonaga umekaa hovyo sana. Kuna watu walivuja jasho na walizipambania, jambo la busara ni kufungiwa kufanya sajiri kwa madirisha kadhaa tu.
 
Mimi mwenyewe ujinga wa kumnyang'anya mtu points huo naonaga umekaa hovyo sana. Kuna watu walivuja jasho na walizipambania, jambo la busara ni kufungiwa kufanya sajiri kwa madirisha kadhaa tu.
Kupokonywa points na kuvuliwa ubingwa kuna make sense.

Ukiziachia timu zisajili kienyeji hautaleta fair competition.

Man City kukosea kwenye matumizi ya fedha kumewapa extra boost ya kuchukua points nyingi ambazo wasingweza zipata kirahisi.

Chukulia mfano leo Man Utd inunuliwe na waarabu waweke £3bn mezani ya usajili. Ulete mastaa wote unaowataka halafu uchukue makombe mfululizo back to back.

Adhabu ya kwanza inayo make sense ni kupokonywa points na kupokonywa makombe uliyochukua wakati unavunja sheria.

Ukiacha walipe faini, timu zitakuwa zinatorokea kichochoro hicho wakijua kuna faini za kulipa. Ila ukipokonywa points au kuvuliwa ubingwa kunawapa akili wengine kuwa adhabu ni kali wakifanya makosa kama hayo.

Naunga mkono.
 
Kinachoamua bei ya mchezaji sokoni ni uwepo wa timu iliyo tayari kulipa bei sokoni. Enzo, Antony na Mudryk walikuwa overpriced kwa ssb ya timing mbovu pamoja desperation ya viongozi husika.

Antony mwezi 6 bei yake ilikuwa euro 50M, Enzo mwezi wa kwanza mwaka jana bei yake ilikuwa euro 18M, Mudryk kabla ya deal la Antony bei yake ilikuwa euro 40M. Viongozi wa United walitumia muda mwingi dirisha lililopita kukimbizana na De Jong walirudi Ajax kwa Antony muda mbovu.

Osimhem ana plan B yake sokoni incase De Laurentiis akileta bei isiyo na uhalisia. Kosa la viongozi wa United sio smart ku-strike deal kwa wakati sahihi. (Dusan Vlahovic - contingency plan)

Muda sahihi wa kununua wachezaji kwa bei sahihi ni wiki nne za mwanzo baada ya ligi kumalizika yaani kabla maandalizi mapya ya msimu mpya hayajanza(Tar 1 mwezi 6 mpaka tar 30). Nje ya muda huo usitumie head hunting strategy focus na scouting reports (e.g Ty Malacia, Malo Gusto, Kenneth Taylor)
Dusan Vlahovic hawezi kuwa chaguo sahihi EPL, he is too nice
 
Kupokonywa points na kuvuliwa ubingwa kuna make sense.

Ukiziachia timu zisajili kienyeji hautaleta fair competition.

Man City kukosea kwenye matumizi ya fedha kumewapa extra boost ya kuchukua points nyingi ambazo wasingweza zipata kirahisi.

Chukulia mfano leo Man Utd inunuliwe na waarabu waweke £3bn mezani ya usajili. Ulete mastaa wote unaowataka halafu uchukue makombe mfululizo back to back.

Adhabu ya kwanza inayo make sense ni kupokonywa points na kupokonywa makombe uliyochukua wakati unavunja sheria.

Ukiacha walipe faini, timu zitakuwa zinatorokea kichochoro hicho wakijua kuna faini za kulipa. Ila ukipokonywa points au kuvuliwa ubingwa kunawapa akili wengine kuwa adhabu ni kali wakifanya makosa kama hayo.

Naunga mkono.
Umeongea point sn, hata mm sipendi wapokonywe points wala ubingwa but timu kama PSG, Newcastle et al zitakuwa hazijifunzi.
 
Kupokonywa points na kuvuliwa ubingwa kuna make sense.

Ukiziachia timu zisajili kienyeji hautaleta fair competition.

Man City kukosea kwenye matumizi ya fedha kumewapa extra boost ya kuchukua points nyingi ambazo wasingweza zipata kirahisi.

Chukulia mfano leo Man Utd inunuliwe na waarabu waweke £3bn mezani ya usajili. Ulete mastaa wote unaowataka halafu uchukue makombe mfululizo back to back.

Adhabu ya kwanza inayo make sense ni kupokonywa points na kupokonywa makombe uliyochukua wakati unavunja sheria.

Ukiacha walipe faini, timu zitakuwa zinatorokea kichochoro hicho wakijua kuna faini za kulipa. Ila ukipokonywa points au kuvuliwa ubingwa kunawapa akili wengine kuwa adhabu ni kali wakifanya makosa kama hayo.

Naunga mkono.
Nakuelewa sana kona unayojaribu kusimamia hasa hasa kuleta funzo kwa wengine. Binafsi, naheshimu zaidi watu waliopambania kupata hayo mataji wao ni wahanga tu wa uhuni wa viongozi wa timu zao.
 
Back
Top Bottom