New Manager boost itahusika..Kama Everton na Sean Dyche walivyowakaba koo Arsenane.Leeds wamefukuza kocha
Tutarudi hapa baada ya hizo back to back gamesNew Manager boost itahusika..Kama Everton na Sean Dyche walivyowakaba koo Arsenane.
Leeds ni team ambayo siwajawahi kuiogopa tokea wapande daraja..nadhani tutaondoka na 3 point hapa.
Kinachoamua bei ya mchezaji sokoni ni uwepo wa timu iliyo tayari kulipa bei sokoni. Enzo, Antony na Mudryk walikuwa overpriced kwa ssb ya timing mbovu pamoja desperation ya viongozi husika.Kama Anthony , Mudryk na Enzo wameuzwa 100+ Osimhen wa Napoli hawezi kuuzwa chini ya 150 unless humjui boss wa Napoli.
Koulibaly mwenyewe alimweka sokoni kwa dau la 100 sembuse Osimhen
Mimi mwenyewe ujinga wa kumnyang'anya mtu points huo naonaga umekaa hovyo sana. Kuna watu walivuja jasho na walizipambania, jambo la busara ni kufungiwa kufanya sajiri kwa madirisha kadhaa tu.Siyo muumini kabisa wa ushindi wa mezani.
Kuna watu walitoka jasho kupata ubingwa huo.
Ni bora wapigwe faini tu kuwanyang'anya ubingwa ni maamuzi yasiyo na chembe ya haki hata kidogo.
It's unfair.
Mimi naona jambo jema ni wafungiwe kufanya sajiri tu kwa madirisha kadhaa ila sio kushushwa daraja au kupokwa points na mataji yao. Sio fair kwa wachezaji waliopambania kupata hayo matokeo.Hawa city washushwe daraja tu
Atakaemuongezea mkataba Phill Jones afungwe jiwe shingoni atupwe baharini.Sasa mkuu Phil Jones mkataba wake unaisha June, so hatuhusu, Labda tumuongezee mkataba
Kupokonywa points na kuvuliwa ubingwa kuna make sense.Mimi mwenyewe ujinga wa kumnyang'anya mtu points huo naonaga umekaa hovyo sana. Kuna watu walivuja jasho na walizipambania, jambo la busara ni kufungiwa kufanya sajiri kwa madirisha kadhaa tu.
Nazani kuanzia hapa wataanza kuelewa ulichokuwa unaongelea jana Pia nini maana ya Brand nakumbuka hata Yee (Kanye west) baada yakuleta mambo meusi Adidas walimkacha bila kujali umaarufu wala Pesa kiasi Gani kawatengenezea.Brand inalindwa kwa gharama yoyote ile no matter who you are
Dusan Vlahovic hawezi kuwa chaguo sahihi EPL, he is too niceKinachoamua bei ya mchezaji sokoni ni uwepo wa timu iliyo tayari kulipa bei sokoni. Enzo, Antony na Mudryk walikuwa overpriced kwa ssb ya timing mbovu pamoja desperation ya viongozi husika.
Antony mwezi 6 bei yake ilikuwa euro 50M, Enzo mwezi wa kwanza mwaka jana bei yake ilikuwa euro 18M, Mudryk kabla ya deal la Antony bei yake ilikuwa euro 40M. Viongozi wa United walitumia muda mwingi dirisha lililopita kukimbizana na De Jong walirudi Ajax kwa Antony muda mbovu.
Osimhem ana plan B yake sokoni incase De Laurentiis akileta bei isiyo na uhalisia. Kosa la viongozi wa United sio smart ku-strike deal kwa wakati sahihi. (Dusan Vlahovic - contingency plan)
Muda sahihi wa kununua wachezaji kwa bei sahihi ni wiki nne za mwanzo baada ya ligi kumalizika yaani kabla maandalizi mapya ya msimu mpya hayajanza(Tar 1 mwezi 6 mpaka tar 30). Nje ya muda huo usitumie head hunting strategy focus na scouting reports (e.g Ty Malacia, Malo Gusto, Kenneth Taylor)
Yes siyo kuwanyang'anya ubingwa it's unfairMimi mwenyewe ujinga wa kumnyang'anya mtu points huo naonaga umekaa hovyo sana. Kuna watu walivuja jasho na walizipambania, jambo la busara ni kufungiwa kufanya sajiri kwa madirisha kadhaa tu.
Umeongea point sn, hata mm sipendi wapokonywe points wala ubingwa but timu kama PSG, Newcastle et al zitakuwa hazijifunzi.Kupokonywa points na kuvuliwa ubingwa kuna make sense.
Ukiziachia timu zisajili kienyeji hautaleta fair competition.
Man City kukosea kwenye matumizi ya fedha kumewapa extra boost ya kuchukua points nyingi ambazo wasingweza zipata kirahisi.
Chukulia mfano leo Man Utd inunuliwe na waarabu waweke £3bn mezani ya usajili. Ulete mastaa wote unaowataka halafu uchukue makombe mfululizo back to back.
Adhabu ya kwanza inayo make sense ni kupokonywa points na kupokonywa makombe uliyochukua wakati unavunja sheria.
Ukiacha walipe faini, timu zitakuwa zinatorokea kichochoro hicho wakijua kuna faini za kulipa. Ila ukipokonywa points au kuvuliwa ubingwa kunawapa akili wengine kuwa adhabu ni kali wakifanya makosa kama hayo.
Naunga mkono.
Nakuelewa sana kona unayojaribu kusimamia hasa hasa kuleta funzo kwa wengine. Binafsi, naheshimu zaidi watu waliopambania kupata hayo mataji wao ni wahanga tu wa uhuni wa viongozi wa timu zao.Kupokonywa points na kuvuliwa ubingwa kuna make sense.
Ukiziachia timu zisajili kienyeji hautaleta fair competition.
Man City kukosea kwenye matumizi ya fedha kumewapa extra boost ya kuchukua points nyingi ambazo wasingweza zipata kirahisi.
Chukulia mfano leo Man Utd inunuliwe na waarabu waweke £3bn mezani ya usajili. Ulete mastaa wote unaowataka halafu uchukue makombe mfululizo back to back.
Adhabu ya kwanza inayo make sense ni kupokonywa points na kupokonywa makombe uliyochukua wakati unavunja sheria.
Ukiacha walipe faini, timu zitakuwa zinatorokea kichochoro hicho wakijua kuna faini za kulipa. Ila ukipokonywa points au kuvuliwa ubingwa kunawapa akili wengine kuwa adhabu ni kali wakifanya makosa kama hayo.
Naunga mkono.
Ten Hag juzi alisema tokea amefika hajafanya training session hata moja. Alisaini mkabata mpya feb,2019 mpaka june mwaka huu na amecheza michezo 19 tu ndani ya miaka minne.Atakaemuongezea mkataba Phill Jones afungwe jiwe shingoni atupwe baharini.
Muone huyu, kwahiyo Man Utd pekee ndo ambao hawana mechi ngumu na watashinda mechi zote.City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
Safi sana na tumeshinda mfululizo...akafie huko huko alipo.Msimu huu antony martial amekosa mechi 20
Mwaka wetu huu kaka tunaenda na quadrupleCity morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu



Mkiwa mnawaombea wenzenu vibaya na nyie nao mnauhakika WA kushinda mechi zijazo?City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
Hii ligi ina suprise kinyama kama za eveton Kwa arsenal ..jus lower ur expectations