Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,875
- 16,442
Makidee haina haja ya matusi, humu tunataniana na kutambiana ili kunogosha tu ile ladha ya ushabiki.Wewe ni kumer
Mtu yoyote anaetukana hovyo hua anaudhaifu fulani ambao hua anajaribu kuufichia kwenye kutukana, ila kinyume chake matusi hua yanauanika wazi huo upungufu mtu anaojaribu kuuficha.
Waungwana hua tunataniana, tunatambiana, tunakejeliana lakini sio kutukanana.