Asernal is a stupid wasting our timeHapo umepuyanga Arsenal kacheza fainal Uefa 2006 vs Barcelona.
We are not in eitherVipi wakuu si tunarudi kwenye title race ama?View attachment 2507664
Umepotea jukwaa nenda Ktk uzi wa wanyama..[/QUOTE]Vipi wakuu si tunarudi kwenye title race ama?View attachment 2507664
Wewe ni kumerMpira wenyewe unaangalizia LivescoreView attachment 2507666
[/QUOTE]Sawa chiefUmepotea jukwaa nenda Ktk uzi wa wanyama..
Makidee haina haja ya matusi, humu tunataniana na kutambiana ili kunogosha tu ile ladha ya ushabiki.Wewe ni kumer
Yes, Guimaraes. Fanali ya Carabao atakuwa amemaliza adhabu yake ya michezo mitatu.Kwani Bruno ama adhabu??
Bei yake ni €115M. Hakutakuwa na ushindani sokoni majira ya kiangazi labda tusimtake. United ndio timu pekee inayoweza ku-afford gharama zake.Manchester haiwezi kumsajili Osimhen kwanza bei yake tu ni kufuru.
Kama Napoli walimsajili kwa millioni 80 unadhani sasa hivi wanaweza kumwachia kwa pesa ndefu kiasi gani ?
Napoli hawawezi kumwachia chini 150-200.
Yani nyiee!!😂😂😂Bei yake ni €115M. Hakutakuwa na ushindani sokoni majira ya kiangazi labda tusimtake. United ndio timu pekee inayoweza ku-afford gharama zake.
PSG wana Mbappe, City wana Halaand, Chelsea hawezi kufuzu UEFA msimu ujao - hivyo FFP itawabana kwenye usajili wa majira ya kiangazi. Madrid wanamlenga Bellingham lazima kibubu hapa kipasuke.
Tangu mugongwe na Everton mumeanza kuwa na adabu, jinga nyie.Yani nyiee!!
Ngoja nilale tu maana ya dunia mengi!
Aendelee kuomba Miungu yakeJamaa kasema tusubiriView attachment 2507593
Walicheza fainali wakapigwa 2 kwa 1 etoo sijui na nani yuleTimu tokea kuumbwa mbingu na nchi haijawahi kucheza fainali ya Uefa hata mara nihamie huko kwende kufanya nini?
Yaani Flano mimi niwe mshika ukuta wa London kweli?
Hebu Carrasco putin nitake radhi aisee.