adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,092
- 35,451
Umepotea jukwaa nenda Ktk uzi wa wanyama..[/QUOTE]Vipi wakuu si tunarudi kwenye title race ama?View attachment 2507664
Umepotea jukwaa nenda Ktk uzi wa wanyama..[/QUOTE]Vipi wakuu si tunarudi kwenye title race ama?View attachment 2507664
Wewe ni kumerMpira wenyewe unaangalizia LivescoreView attachment 2507666
[/QUOTE]Sawa chiefUmepotea jukwaa nenda Ktk uzi wa wanyama..
Makidee haina haja ya matusi, humu tunataniana na kutambiana ili kunogosha tu ile ladha ya ushabiki.Wewe ni kumer
Yes, Guimaraes. Fanali ya Carabao atakuwa amemaliza adhabu yake ya michezo mitatu.Kwani Bruno ama adhabu??
Bei yake ni €115M. Hakutakuwa na ushindani sokoni majira ya kiangazi labda tusimtake. United ndio timu pekee inayoweza ku-afford gharama zake.Manchester haiwezi kumsajili Osimhen kwanza bei yake tu ni kufuru.
Kama Napoli walimsajili kwa millioni 80 unadhani sasa hivi wanaweza kumwachia kwa pesa ndefu kiasi gani ?
Napoli hawawezi kumwachia chini 150-200.
Yani nyiee!!😂😂😂Bei yake ni €115M. Hakutakuwa na ushindani sokoni majira ya kiangazi labda tusimtake. United ndio timu pekee inayoweza ku-afford gharama zake.
PSG wana Mbappe, City wana Halaand, Chelsea hawezi kufuzu UEFA msimu ujao - hivyo FFP itawabana kwenye usajili wa majira ya kiangazi. Madrid wanamlenga Bellingham lazima kibubu hapa kipasuke.
Tangu mugongwe na Everton mumeanza kuwa na adabu, jinga nyie.Yani nyiee!!
Ngoja nilale tu maana ya dunia mengi!
Aendelee kuomba Miungu yakeJamaa kasema tusubiriView attachment 2507593
Walicheza fainali wakapigwa 2 kwa 1 etoo sijui na nani yuleTimu tokea kuumbwa mbingu na nchi haijawahi kucheza fainali ya Uefa hata mara nihamie huko kwende kufanya nini?
Yaani Flano mimi niwe mshika ukuta wa London kweli?
Hebu Carrasco putin nitake radhi aisee.
Sawa mtabiri tumekusikia, tabiri basi leo mimi nakula nini mchanaWrite your reply... Manchester United mechi ambazo Casemiro atakuwepo uwanjani ( Barcelona na Newcastle) mtapoteza zote Ila zile ambazo hatakuwepo mtashinda.Mark my words.
Bado zinawezekana Arsenal anauwezekano wa kudrop point dhidi ya Man city, Liverpool na Chelsea.Zile hesabu zetu za ubingwa bado zinawezekana?![]()
Kama Anthony , Mudryk na Enzo wameuzwa 100+ Osimhen wa Napoli hawezi kuuzwa chini ya 150 unless humjui boss wa Napoli.Bei yake ni €115M. Hakutakuwa na ushindani sokoni majira ya kiangazi labda tusimtake. United ndio timu pekee inayoweza ku-afford gharama zake.
PSG wana Mbappe, City wana Halaand, Chelsea hawezi kufuzu UEFA msimu ujao - hivyo FFP itawabana kwenye usajili wa majira ya kiangazi. Madrid wanamlenga Bellingham lazima kibubu hapa kipasuke.
Amka ndotoni, unawanga mchanaWrite your reply... Manchester United mechi ambazo Casemiro atakuwepo uwanjani ( Barcelona na Newcastle) mtapoteza zote Ila zile ambazo hatakuwepo mtashinda.Mark my words.