Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
Man u Kesho kutwa anacheza FA afu leo kaweka mziki mzima
Huwezi Jenga timu tishio kwa kumleta Anthony Mpaka rangi kwa €100m na average Malacia
Rashidi Makame Nalihinga, hahahahHii timu akiumia rashidi makame shughuli inaishia hapa
Man u watajikuta wanapiga marktime Hata ukimleta LewandowiskiMan U bado wanatatizo la namba 9
Injury moja muhimu ,msimu unaishia hapo hapoTatizo kubwa la Man U msimu huu ni kwamba wanacheza mechi nyingi (3) kwa wiki. Hii kitu inawagharimu sana