Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Paul Merson says Manchester United should try to sign Harry Kane as soon as possible if they want to have any chance of winning the Premier League. [emoji848][emoji471]


#TrustTheProcessETH[emoji1179]
#GlazerOUT[emoji469]
#GGMU[emoji123][emoji41]

man utd |View attachment 2495753
Weghost sio striker mbaya anahitaji muda, shida ni kwamba Manchester haiitaji muda inataka deliverer,inataka goalgeter.....

MANCHESTER UNITED inataka mtu a parform, naona ni muda sahihi wa HARRY KANE kutua Carrington..sababu ni striker anaekupa uhakika wa magoli kumi + kwa msimu, haijalishi majeraha yanayomuandama
 
Hata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.

Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga
 
Hata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.

Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga
Daah siku hizi mna mdomo nyie ole wenu mlikose tutaanguaje kicheko
 
Hata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.

Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga
Pumba
 
Back
Top Bottom