Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
Man U bado wanatatizo la namba 9
Huwezi Jenga timu tishio kwa kumleta Anthony Mpaka rangi kwa €100m na average Malacia
Rashidi Makame Nalihinga, hahahahHii timu akiumia rashidi makame shughuli inaishia hapa
Man u watajikuta wanapiga marktime Hata ukimleta LewandowiskiMan U bado wanatatizo la namba 9
Injury moja muhimu ,msimu unaishia hapo hapoTatizo kubwa la Man U msimu huu ni kwamba wanacheza mechi nyingi (3) kwa wiki. Hii kitu inawagharimu sana
Hakuna marudioMechi ya marudio OT itakuwa nyepesi.
Yapo ni home n away
kweli jamaa atapata magoli kwa tabu sana hapati service hata kidogoNipo nacheki gemu apa mpk dk hii... huyu weghost hana shida wadau shida ni winga zetu anthony na rashford wabinafsi sn hawamlishi mipira
Jamaa anajiposition vizur tu na movement zke nzur
Trh 1 mzee
Weghost sio striker mbaya anahitaji muda, shida ni kwamba Manchester haiitaji muda inataka deliverer,inataka goalgeter.....Paul Merson says Manchester United should try to sign Harry Kane as soon as possible if they want to have any chance of winning the Premier League.
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2495753