Ukileta masihara unapigwa out timu inataka kombeChanges chache Sana,,,
Nilitegemea kuwaona kina
Mainoo, facundo n.k kupata more minutes,,,,
Jamaa hataki masikhara, wacha tuone au ako na plan ya kumaliza game mapema then second half anawaweka hao wengine !!!
We kenge nyie si mlilombwa mkatokaNyie matakataka munakipiga leo..kweli hii timu imekuwa ya hovyo sana kama QPR tu vile
Naona umetoka saizi ndugu kesi yako umeshinda nini[emoji1787][emoji1787]Nyie matakataka munakipiga leo..kweli hii timu imekuwa ya hovyo sana kama QPR tu vile
Jamaa(EtH) anamaanisha, hataki mchezoUkileta masihara unapigwa out timu inataka kombe
Makyuma kama hawa msiwe mnawajib.. mnawapa airtym tuu achana nae hajui mpiraWe kenge nyie si mlilombwa mkatoka
Kinachonshangaza gemu na man city rashford alikua offside wakat pass inapigwa ila kwa kuwa hakugusa mpira ikawa onside.. ila hapa weghost alkua offside wakat pass inapgwa ila hakuugusa mpira, aliyegusa mpira ni beki wa reading ndo mpira ukamkuta weghost akatoa assist ila imechukuliwa ni offsideduh! Offside eti. VAR ni shida.