Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester united 4 vs Reading 0

Time
5.00 usiku

GGMU
1674897235595.jpg
 
Kuna moves za magoli au magoli mengine unaona kabisa the player could have done better to prevent the goal...Ila kuna mengine unafungwa we mwenyewe unakubali kabisa tulizidiwa....partey alipoteza kizembe ule mpira Rashid akaupata akafunga tokea mbali na alikuwa angeweza kufanya option nzuri zaidi...goli la pili kipa angefanya vzuri pia hcho Ndo nikichotaka kumaanisha au wewe ulifurahia Ile performance Kwa mpira WA kuvizia huku mbele mnamuweka Yule ngongoti wenu .....basi bwana mkuu case closed mlikuwa na performance nzuri
Upo sawa kichwani kweli!? Soma nilichokuuliza na ujibu tena pointi sio pumba,, Au wewe unaona umetoa booonge la jibu
 
| #mufc XI vs Reading: De Gea, Wan-Bissaka, Maguire, Lindelöf, Malacia, Casemiro, Eriksen, Antony, Fernandes, Rashford, Weghorst
 
Changes chache Sana,,,

Nilitegemea kuwaona kina

Mainoo, facundo n.k kupata more minutes,,,,

Jamaa hataki masikhara, wacha tuone au ako na plan ya kumaliza game mapema then second half anawaweka hao wengine !!!
 
Changes chache Sana,,,

Nilitegemea kuwaona kina

Mainoo, facundo n.k kupata more minutes,,,,

Jamaa hataki masikhara, wacha tuone au ako na plan ya kumaliza game mapema then second half anawaweka hao wengine !!!
Ukileta masihara unapigwa out timu inataka kombe
 
Back
Top Bottom