Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,558
- 21,508
WivuWatu wanasajili nyie mnaleta Ghost kwa Mali Kauli
Mnaimba mnataka epl ,Hata Carabao hamna timu ya kumfunga Newcastle
Miaka 6 inaenda bila taji lolote
Kafanye kazi we Jobless
WivuWatu wanasajili nyie mnaleta Ghost kwa Mali Kauli
Mnaimba mnataka epl ,Hata Carabao hamna timu ya kumfunga Newcastle
Miaka 6 inaenda bila taji lolote
kumbuka mshono wa Jumapili iliyopita bado haujakaukaManchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester united 4 vs Reading 0
Time
5.00 usiku
GGMUView attachment 2498138
Upo sawa kichwani kweli!? Soma nilichokuuliza na ujibu tena pointi sio pumba,,Kuna moves za magoli au magoli mengine unaona kabisa the player could have done better to prevent the goal...Ila kuna mengine unafungwa we mwenyewe unakubali kabisa tulizidiwa....partey alipoteza kizembe ule mpira Rashid akaupata akafunga tokea mbali na alikuwa angeweza kufanya option nzuri zaidi...goli la pili kipa angefanya vzuri pia hcho Ndo nikichotaka kumaanisha au wewe ulifurahia Ile performance Kwa mpira WA kuvizia huku mbele mnamuweka Yule ngongoti wenu.....basi bwana mkuu case closed mlikuwa na performance nzuri
![]()
Au wewe unaona umetoa booonge la jibuPunguza ujuha na ushangingi si nimesema case closed mlikuwa na performance nzuri kama unavyotaka kujiaminisha au unataka nnUpo sawa kichwani kweli!? Soma nilichokuuliza na ujibu tena pointi sio pumba,,Au wewe unaona umetoa booonge la jibu
?Tatizo wakiwa kwenye senior team wanazinguaNamuangalia amad diallo game ya fulham na sunderland dogo yupo vizuri sana aisee

Ukileta masihara unapigwa out timu inataka kombeChanges chache Sana,,,
Nilitegemea kuwaona kina
Mainoo, facundo n.k kupata more minutes,,,,
Jamaa hataki masikhara, wacha tuone au ako na plan ya kumaliza game mapema then second half anawaweka hao wengine !!!
We kenge nyie si mlilombwa mkatokaNyie matakataka munakipiga leo..kweli hii timu imekuwa ya hovyo sana kama QPR tu vile
Naona umetoka saizi ndugu kesi yako umeshinda niniNyie matakataka munakipiga leo..kweli hii timu imekuwa ya hovyo sana kama QPR tu vile


Jamaa(EtH) anamaanisha, hataki mchezoUkileta masihara unapigwa out timu inataka kombe