Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,571
- 52,728
Anthony tumepigwa
Antony anhitaji proper coaching. Bado ana utoto mwingi
Anthony tumepigwa
Anthony remind me Nicolaus PepeSancho is back anakuja kivingine kijana alikuwa anapikwa huko zamu ya Antony sasa nae utoto umemzidi lazima akapikwe upya.View attachment 2497665
Bro unawashwa sn...huyu Anthony muache kila muda unamtajaAnthony remind me Nicolaus Pepe
Acha makasirikioBro unawashwa sn...huyu Anthony muache kila muda unamtaja
Nyie hela ya pepe imewauma sana sisi kumwaga hela Kawaida tulimwaga kwa.Anthony remind me Nicolaus Pepe
Pepe tulishamuondoa, tutavunja benk kwa mchezaji anayestahili , bila Chelsea kuingilia dili la MUDRKY ,tulikuwa tumlete kwa €95mNyie hela ya pepe imewauma sana sisi kumwaga hela Kawaida tulimwaga kwa.
Lukaku
Pogba
Sancho
Di maria
Maguire
Kwaiyo sisi kumwaga hela ni kama utamaduni wetu sio kama huko kwenu mmetoa kapaundi 70 tu lakini mnalialia mpaka leo.
Kiufupi kimkwanja sisi sio level yenu timu ijawai kusajili mchezaji hata wa paundi 80 ni timu nayo iyo.
Pole kwa kuaga jana mkuu hafu kumbuka FA ndo kombe lako na ndo umeaga kwaiyo tuonane mwakani bila kombe lolote.Hamuna timu ya kuifunga Newcastle mkienda fainali Hakuna kikombe mtachukua kwa kumtegemea makame na mchezaji wa yutubeView attachment 2497964
We mpuuzi, inaonekana una hasira sana na Man United, huu sio upinzani bali ni hasira iliyopitiliza.Watu wanasajili nyie mnaleta Ghost kwa Mali Kauli
Mnaimba mnataka epl ,Hata Carabao hamna timu ya kumfunga Newcastle
Miaka 6 inaenda bila taji lolote
WivuWatu wanasajili nyie mnaleta Ghost kwa Mali Kauli
Mnaimba mnataka epl ,Hata Carabao hamna timu ya kumfunga Newcastle
Miaka 6 inaenda bila taji lolote
kumbuka mshono wa Jumapili iliyopita bado haujakaukaManchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester united 4 vs Reading 0
Time
5.00 usiku
GGMUView attachment 2498138
Upo sawa kichwani kweli!? Soma nilichokuuliza na ujibu tena pointi sio pumba,,Kuna moves za magoli au magoli mengine unaona kabisa the player could have done better to prevent the goal...Ila kuna mengine unafungwa we mwenyewe unakubali kabisa tulizidiwa....partey alipoteza kizembe ule mpira Rashid akaupata akafunga tokea mbali na alikuwa angeweza kufanya option nzuri zaidi...goli la pili kipa angefanya vzuri pia hcho Ndo nikichotaka kumaanisha au wewe ulifurahia Ile performance Kwa mpira WA kuvizia huku mbele mnamuweka Yule ngongoti wenu.....basi bwana mkuu case closed mlikuwa na performance nzuri
![]()
Au wewe unaona umetoa booonge la jibuPunguza ujuha na ushangingi si nimesema case closed mlikuwa na performance nzuri kama unavyotaka kujiaminisha au unataka nnUpo sawa kichwani kweli!? Soma nilichokuuliza na ujibu tena pointi sio pumba,,Au wewe unaona umetoa booonge la jibu
?