Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sancho is back anakuja kivingine kijana alikuwa anapikwa huko zamu ya Antony sasa nae utoto umemzidi lazima akapikwe upya.
20220405_060904.jpg
 
Anthony remind me Nicolaus Pepe
Nyie hela ya pepe imewauma sana sisi kumwaga hela Kawaida tulimwaga kwa.

Lukaku
Pogba
Sancho
Di maria
Maguire

Kwaiyo sisi kumwaga hela ni kama utamaduni wetu sio kama huko kwenu mmetoa kapaundi 70 tu lakini mnalialia mpaka leo.

Kiufupi kimkwanja sisi sio level yenu timu ijawai kusajili mchezaji hata wa paundi 80 ni timu nayo iyo.
 
Nyie hela ya pepe imewauma sana sisi kumwaga hela Kawaida tulimwaga kwa.

Lukaku
Pogba
Sancho
Di maria
Maguire

Kwaiyo sisi kumwaga hela ni kama utamaduni wetu sio kama huko kwenu mmetoa kapaundi 70 tu lakini mnalialia mpaka leo.

Kiufupi kimkwanja sisi sio level yenu timu ijawai kusajili mchezaji hata wa paundi 80 ni timu nayo iyo.
Pepe tulishamuondoa, tutavunja benk kwa mchezaji anayestahili , bila Chelsea kuingilia dili la MUDRKY ,tulikuwa tumlete kwa €95m

Nyie mnaongoza kupigwa ,hivi Sancho yupo wapi
IMG_20230109_005214.jpg
 
Watu wanasajili nyie mnaleta Ghost kwa Mali Kauli
Mnaimba mnataka epl ,Hata Carabao hamna timu ya kumfunga Newcastle
Miaka 6 inaenda bila taji lolote
 
Hamuna timu ya kuifunga Newcastle mkienda fainali Hakuna kikombe mtachukua kwa kumtegemea makame na mchezaji wa yutube
IMG_20221204_101612.jpg
 
ETH " still there's potential in this squad " wana man u kama una bando pitia YouTube muangalie AMAD DIALLO, dogo anajua na nadhan akikomaa atatusaidia sn.
 
Watu wanasajili nyie mnaleta Ghost kwa Mali Kauli
Mnaimba mnataka epl ,Hata Carabao hamna timu ya kumfunga Newcastle
Miaka 6 inaenda bila taji lolote
We mpuuzi, inaonekana una hasira sana na Man United, huu sio upinzani bali ni hasira iliyopitiliza.

Hata nje ya hapa inaonekana hauko vizuri kiakili.
 
Kuna moves za magoli au magoli mengine unaona kabisa the player could have done better to prevent the goal...Ila kuna mengine unafungwa we mwenyewe unakubali kabisa tulizidiwa....partey alipoteza kizembe ule mpira Rashid akaupata akafunga tokea mbali na alikuwa angeweza kufanya option nzuri zaidi...goli la pili kipa angefanya vzuri pia hcho Ndo nikichotaka kumaanisha au wewe ulifurahia Ile performance Kwa mpira WA kuvizia huku mbele mnamuweka Yule ngongoti wenu .....basi bwana mkuu case closed mlikuwa na performance nzuri
Upo sawa kichwani kweli!? Soma nilichokuuliza na ujibu tena pointi sio pumba,, Au wewe unaona umetoa booonge la jibu
 
Back
Top Bottom