D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
wengi wao wanatembea kwenye miaka 7 hadi 25.Huwa wanaongea sana. Msimu huu ni kheri City achukue ndoo patulie. City hivi ina mashabiki watu wazima kweli hapa bongo (umri juu ya 18)?
Mimi ndo maana nimesema siwezi kumlaumu kocha wala mchezeajiJinsi tulivyoumia leo kwangu ni ishara Ten Hag anafanya kazi kubwa sana. Nikikumbuka miezi 6 tulipokuwa na hapa tulipo. Nani angeweza kufikiri hata tukifungwa mechi 3 mfululizo bado tupo top 4?
Binafsi I'm very grateful so far, Arsenal, City na L'pool hizi ni timu ambazo benchi la ufundi lipo kwa zaidi ya misimu mitatu. Hatuwezi kujilinganisha nao kwa sasa, benchi letu la ufundi ndio kwanza wana miezi 6 tu.
Naona mwanga ndani ya msimu ujao. Msimu huu top 4 na kikombe kimoja yatakuwa mafaniko makubwa sana na mahala tulipotoka msimu mmoja nyuma. Japokuwa nilianza kujipa moyo wa kufanya kitu ila Arsenal wapo serious msimu huu.
Sure Jombaa. Wengi wameanza kushabikia City kocha akiwa Roberto Mancini.wengi wao wanatembea kwenye miaka 7 hadi 25.
Hata elano hawamkumbuki
Haaland hali cake ana kisukari. 😂Arsenal ni kama cake ya birthday, kila mtu atapata
COYG🔥🔥🔥🔥
Mashabiki wa city wengi ni mashabiki wapya 😄Sure Jombaa. Wengi wameanza kushabikia City kocha akiwa Roberto Mancini.
Kabisa Jombaa. Tuwe na shukrani, Ten Hag kafanya kazi kubwa mno mpaka sasa. Miezi 6 iliyopita hakuna hata mtu mmoja aliyebashiri United tunaweza kushindania kumaliza nafasi nne za juu. Plus chance of winning something (Carabao).Mimi ndo maana nimesema siwezi kumlaumu kocha wala mchezeaji
Maana msimu huu kigogo mwenye ajachapika kwetu ni Chelsea tu wote hao tumewalamba.
Kwangu naona ten hag anaonyesha mwanga maana ndo msimu wake wa kwanza tu ila timu ipo vizuri tu.
Arsenal ana mechi mbili za lig na man cityHuwa wanaongea sana. Msimu huu ni kheri City achukue ndoo patulie. City hivi ina mashabiki watu wazima kweli hapa bongo (umri juu ya 18)?
Wacha we mtabiri uyuLeo tunawafunga goli 3 lakini De Gea atakua man of the match
Kabisa, mimi nakumbuka City ya Kevin Keegan miaka ya 2000 ~ 2005 ilikuwa kama Wolves tu.Mashabiki wa city wengi ni mashabiki wapya 😄
Pia tukumbuke mzunguko wa kwanza tuliwapiga, tupunguze makasiriko yasiyo na maana na wao walitaka kushinda.Tujipange kwa mechi zijazo. Kuteleza sio kuanguka. Naamini kocha atajipanga vizuri na kurekebisha makosa yake.
Win or loose...We are United!!
GGMU
Utatulia tuRashhhhhhfoooooood
I love youMan u mnazingua bora niswitch to al nassir nimungalie cr7 mara ya mwsho mwsho b4 kuretire