Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni kweli ilichukua misimu mingi ila kulikuwa na nidhamu ya usajili pamoja na malengo yanayo onekana.

Je malengo yenu ni yapi msimu huu? Kushiriki au kushinda?
Acha mambo ya ajabu bhana timu yenye malengo inafunga magoli ya set piece tu. Ndio maana tuliwachakaza na hata EUFA pia mlipigwa na legue mlichukua tu kwa uzembe wa man city la sivyo mngeondoka patupu tu. Hivyo msijisifu sana mkadhani mmekamilika.
 
Mkuu wewe timi gani kwani maan msimu uliopita Carrick kawaparaza big six wote na kikosi kile na alichukua point nyingi kulikobkocha yoyoye EPL maana yake tungefukuza Amorim mapema huenda tungebeba ubingwa, mpira sio maneno ni data.
Man utd mna mashabiki vilaza sana km huyu..
Kwahiyo hesabu zako zinakwambia km Amorim angefukuzwa mapema mngechukua ubingwa au sio?

Serious kabisa? From your conscious!? 😂
 
Acha mambo ya ajabu bhana timu yenye malengo inafunga magoli ya set piece tu. Ndio maana tuliwachakaza na hata EUFA pia mlipigwa na legue mlichukua tu kwa uzembe wa man city la sivyo mngeondoka patupu tu. Hivyo msijisifu sana mkadhani mmekamilika.
Kwa kofupi malengo yetu yalikuwa kuchukua ndoo ndiyo tukaibeba. Sijui unashabikia nini lakini mara ya mwisho kucheki goli ni goli hakuna nusu goli.


Ni kweli mlituchakaza sikatai and thats football.
Uzembe wa mancity ( kwanini sio uzembe wenu? au chelsea?


Basi kaka nishajua lengo lako.

Yalikuwa mabishano ya kujenga uelewa kama unaenda mwenye banter kila la kheri kaka.

Ila kumbuka kikosi huna mashindano ni siku 3 kupumzika siku 4. Kati ya siku saba. Kila la kheri.
 
Man utd mna mashabiki vilaza sana km huyu..
Kwahiyo hesabu zako zinakwambia km Amorim angefukuzwa mapema mngechukua ubingwa au sio?

Serious kabisa? From your conscious!? 😂
Ana nafasi ya kujifunza na kuacha mihemko. Dunia nzima mashabiki wanalalamika hakuna sajili lakini yeye anaona poa .

Nakumbuka kipindi arsenal hayuko Uefa wala Europa (artetas 1st full) ,kabla ya season nilikuwa na matumaini ya kubeba ndoo nikiamini kwamba kutakuwa na muda mwingi wa kupumzika kwa wachezaji. Ila i was humbled.


EPL ngumu tuache masihara. Unatakiwa uwe fully fit kwa 90 min. Na kwa sasa hakuna kujiangusha yangu macho.
 
Man utd mna mashabiki vilaza sana km huyu..
Kwahiyo hesabu zako zinakwambia km Amorim angefukuzwa mapema mngechukua ubingwa au sio?

Serious kabisa? From your conscious!? 😂
Tumia basi akili yako vizuri, toka Carrick achukue timu kuna kocha yeyote aliyemzidi point EPL? Sasa hiyo ishara yake nini?
 
Back
Top Bottom