Acha mambo ya ajabu bhana timu yenye malengo inafunga magoli ya set piece tu. Ndio maana tuliwachakaza na hata EUFA pia mlipigwa na legue mlichukua tu kwa uzembe wa man city la sivyo mngeondoka patupu tu. Hivyo msijisifu sana mkadhani mmekamilika.Ni kweli ilichukua misimu mingi ila kulikuwa na nidhamu ya usajili pamoja na malengo yanayo onekana.
Je malengo yenu ni yapi msimu huu? Kushiriki au kushinda?
Man utd mna mashabiki vilaza sana km huyu..Mkuu wewe timi gani kwani maan msimu uliopita Carrick kawaparaza big six wote na kikosi kile na alichukua point nyingi kulikobkocha yoyoye EPL maana yake tungefukuza Amorim mapema huenda tungebeba ubingwa, mpira sio maneno ni data.
Kwa kofupi malengo yetu yalikuwa kuchukua ndoo ndiyo tukaibeba. Sijui unashabikia nini lakini mara ya mwisho kucheki goli ni goli hakuna nusu goli.Acha mambo ya ajabu bhana timu yenye malengo inafunga magoli ya set piece tu. Ndio maana tuliwachakaza na hata EUFA pia mlipigwa na legue mlichukua tu kwa uzembe wa man city la sivyo mngeondoka patupu tu. Hivyo msijisifu sana mkadhani mmekamilika.
Ana nafasi ya kujifunza na kuacha mihemko. Dunia nzima mashabiki wanalalamika hakuna sajili lakini yeye anaona poa .Man utd mna mashabiki vilaza sana km huyu..
Kwahiyo hesabu zako zinakwambia km Amorim angefukuzwa mapema mngechukua ubingwa au sio?
Serious kabisa? From your conscious!? 😂
Wanahitaji maombi ili wapate tajiri kijana mwenye akili , maono na njaa ya mafanikio.Fanyeni usajili wa kueleweka, sio inafika October mnaanza kuomba kocha afukuzwe
Tumia basi akili yako vizuri, toka Carrick achukue timu kuna kocha yeyote aliyemzidi point EPL? Sasa hiyo ishara yake nini?Man utd mna mashabiki vilaza sana km huyu..
Kwahiyo hesabu zako zinakwambia km Amorim angefukuzwa mapema mngechukua ubingwa au sio?
Serious kabisa? From your conscious!? 😂