Yeah ni kweli, kuna mechi unatakiwa upumzishe baadhi ya watu muhimu kwaajili ya kuwatumia kwenye mechi muhimu. Mfano aseno kuna watu wakikosekana hata kwenye mechi za kawaida inakuwa shida. Gabrieli,saliba,rice,odegard, eze(hawa wakiwa nje aseno lazima atastrago kupata matokeo)
Manchester sasa hivi wana cunha(rashford),mbeumo(Sesko)Amad(Lacey), Bruno(Zirkzee), Shida ya manchester miaka yote CM,Dm now kuna Baleba(Santos), Tilemans(mainoo) kuna hawa akina fletcher wanaweza kucheza carabao.
Shida ya sasa man utd ni backs, Left back, LCB Martinez,Magure,De light hizi zote injury, wakati wanamtengeneza heaven watafute LB na LCB mmoja.
Aseno wametuzidi kwenye beki tu na attacking line yetu zile beki zinafunguka vizuri tu😂