Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kitendo cha PENDU kumsema vibaya ETH
Naona january asepe tu ETH kamvumilia sana alikataa kuingia sub dhid ya spurs
Akapewa ukapteni bado mpira wake mbovu juzi dhid ya villa tukafungwa 3 yeye akuwepo ndani bila msaada sasa naelewa kwanini florentino perez aliuza hii flop kwa juve
Wakati anaenda Juve hakua flop nakupinga kwa hilo
 
Kuna mtu anakwambia Ronaldo ni taasisi.

Siku aondoke Man Utd uone kama kuna timu ya maana itamtaka.
Utd ndio imemtengeneza Ronaldo, angekuwa Chelsea ama Arsenal angekuwa tu kama kina Saka.

kuanzia enzi za Kina Charlton, Law, Best, Cantona, Beckham etc united imetengeneza Global superstar,

United Pekee mtu kama Depay, Bastian, Martial etc anaingia top 3 ya mauzo ya Jezi.

Hata leo ukiangalia Fanboy wengi wa Ronaldo wanatoka Man U.
 
Lazima amkubali Scholes kwa sababu ndiye alikuwa anaendana na Mpira waliokuwa wacheza Barcelona.
Scholes Mpira wake ni vice versa ya Barcelona, kifupi timu zinazo posses zinapata tabu kucheza na Midfield Design ya kina Scholes (Mzee) , Pirlo, Alonso etc wachezaji ambao wanahamisha uwanja na hawana time na kuminyana kuminyana.
 
Cristiano Ronaldo ”I remember before one match, Ole Gunnar Solskjaer didn’t do a team talk in the dressing room. He just put on a video of his goal in the 1999 Champions League final. We lost 5-0.”
Kabla ya Ole Ronaldo alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, tuliomuona Ronaldo 2003-2006 tunajua, hakua akijua kupiga vichwa, mashuti na skills nyingi za Striker, ole anastaafu na kupewa Ukocha wa Maforward ndio akaanza kuwafua Forward wetu mpaka tunaona 2006-2009 tuna fluid front line,

Ole kamfundisha Haaland ambaye watu kibao walisema hawezi toboa kama Mchezaji, Ole amewafanya Martial, Rashford na Greenword kufunga Goli nyingi kuliko Salah, Mane na Firminho,

Hivyo Ole ameprove talent yake ya kufundisha striker,
 
Ronaldo " Haiwezekani Magwaya anaye ongoza kutumalizia chakula kwa kula matonge makubwa kwa kasi, mmempa unahodha mimi nisiyeshiba mkaninyima"
 
Kabla ya Ole Ronaldo alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, tuliomuona Ronaldo 2003-2006 tunajua, hakua akijua kupiga vichwa, mashuti na skills nyingi za Striker, ole anastaafu na kupewa Ukocha wa Maforward ndio akaanza kuwafua Forward wetu mpaka tunaona 2006-2009 tuna fluid front line,

Ole kamfundisha Haaland ambaye watu kibao walisema hawezi toboa kama Mchezaji, Ole amewafanya Martial, Rashford na Greenword kufunga Goli nyingi kuliko Salah, Mane na Firminho,

Hivyo Ole ameprove talent yake ya kufundisha striker,
Alafu anamdiss duh
 
Kabla ya Ole Ronaldo alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, tuliomuona Ronaldo 2003-2006 tunajua, hakua akijua kupiga vichwa, mashuti na skills nyingi za Striker, ole anastaafu na kupewa Ukocha wa Maforward ndio akaanza kuwafua Forward wetu mpaka tunaona 2006-2009 tuna fluid front line,

Ole kamfundisha Haaland ambaye watu kibao walisema hawezi toboa kama Mchezaji, Ole amewafanya Martial, Rashford na Greenword kufunga Goli nyingi kuliko Salah, Mane na Firminho,

Hivyo Ole ameprove talent yake ya kufundisha striker,
You know nothing about football kaa kimya utachekwa
 
Cristiano Ronaldo: "Kuna siku niko zangu nimelala kuja kushtuka namkuta kocha ananilazimisha kunywa MO Energy ulikuwa ugomvi mkubwa mno mpaka Babu Ferguson aliingilia kati. Mimi huwa nakunywa maji tu"
 
Wewe ni takataka huna akili kenge wewe
Wewe ndio mjinga ,unahisi mafanikio ya furgson yalikuja Kama makalio Kila mtu anayo ,yey mwenyewe alichezea vichapo mbali mbali ,mpka kuja kutengeneza system yake iliyompa mafanikio .....saizi mmekalia kutimua timua tu makocha kwa vile wewe ni mamruki na shabiki wa 2006 huwezi elewa
 
Man u ina matatizo na watu hawataki kuambiwa ukweli
Mwisho wa cku CR7 kasema ukweli ili timu ipone matokeo yake watu wanamshambulia CR 7
Cjui vichwan mwa watu kuna nn? Mtu anajifanya kuijua man u kuliko CR7 mwenyewe
Yani MTU anamdharau kocha hadharani unasema anaonewa ?


Pumbavu kabisa wewe
 
Back
Top Bottom