Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna mawili. Moja, wachezaji wengi wameshaweka akili zao Qatar; jinamizi la majeruhi kwa baadhi ya wachezaji limewafanya wawe waangalifu. Pili, kwa kuwepo kwa Eriksen ile 'shine' ya Bruno huwezi ona, maana kuna mtu mwingine mwenye kufanana naye. Players go through some small dips occasionally; that doesn't mean ati "amekuwa wa hovyo" kabisa!!
Kama unajua unajua tu mkuu hakuna cha kusema kaja flani cjui kaja nani, hakuna kitu kama hicho. Kuna watu walikuwa wansema kuja kwa Ronaldo kumemaliza kiwango cha Bruno, kiaje? Wewe leo unasema kuja kwa Ericksen, sio kweli kabisa.

Pale Madrid alikuwepo cr7, ilikuwa hata aje nani jamaa ndio alikuwa mwamba pale kwa misimu yote aliyokuwepo pale, na pale Barca alikuwepo Leonel, hata aje nani jamaa alikuwa juu tu, zaidi zaidi hao waliokuwa wanakuja ndiyo walikuwa wanapambana kutengeneza bond na hao viumbe ili wapate nafasi ya kuwa kwenye first eleven. So, ku flop kwa Bruno hakuhusiani na ujio wa yeyote yule zaidi ya yeye mwenyewe kushindwa kutunza kiwango chake.

Na hapo inawezekana huenda jamaa sifa zilimlevya au ameongeza sana starehe hasa mbususu kuliko kufanya mazoezi.
 
To all Red Devils,

Let us be realistic a bit. Do we expect to be at Man Shitty's form this soon?
I believe it is a process; ETH is doing a fantastic job so far. He needs time and to get more players of his like.
Then the Red Army will be matching to its glory days as it should be.

Yes, we get frustrated as fans with lineups, results, performances etc.. But, calling the boss and players as shit, isn't right.
 
Kama unajua unajua tu mkuu hakuna cha kusema kaja flani cjui kaja nani, hakuna kitu kama hicho. Kuna watu walikuwa wansema kuja kwa Ronaldo kumemaliza kiwango cha Bruno, kiaje? Wewe leo unasema kuja kwa Ericksen, sio kweli kabisa.

Pale Madrid alikuwepo cr7, ilikuwa hata aje nani jamaa ndio alikuwa mwamba pale kwa misimu yote aliyokuwepo pale, na pale Barca alikuwepo Leonel, hata aje nani jamaa alikuwa juu tu, zaidi zaidi hao waliokuwa wanakuja ndiyo walikuwa wanapambana kutengeneza bond na hao viumbe ili wapate nafasi ya kuwa kwenye first eleven. So, ku flop kwa Bruno hakuhusiani na ujio wa yeyote yule zaidi ya yeye mwenyewe kushindwa kutunza kiwango chake.

Na hapo inawezekana huenda jamaa sifa zilimlevya au ameongeza sana starehe hasa mbususu kuliko kufanya mazoezi.
Sasa boss, unataka kusema Bruno hajui ama? Nimesema kuja kwa Eriksen kumemaliza kiwango cha Bruno? Eriksen kapunguza kuonekana kwa Bruno. Cheki stats hizi, na hapa wote wana games sawa 13 za EPL.

Screen Shot 2022-11-13 at 21.03.52.png


Hizi ni za League cup:
Screen Shot 2022-11-13 at 21.10.42.png


Hizi ni za Europa:
Screen Shot 2022-11-13 at 21.11.48.png


Sasa hapo huoni jinsi Eriksen alicholeta kwenye timu, ambacho Bruno alikuwa akifanya?
As long as wote wanachangia kwenye timu, kama shabiki unataka ni zaidi?

Hao watu wanaosema Ronaldo kammaliza Bruno wanatumia stats zipi?

Sasa hayo ya sifa na wanawake siyo ya kisoka, ni yako tu.
 
Cristiano Ronaldo to @PiersMorgan: "Man United tried to force me out. Not only the manager, but also the other guys who are around the club. I felt betrayed”.

"I feel that some people didn’t want me at Manchester United, not only this year but last season too". #MUFC
 
Oya Flano CR 7 kawachanachana

| Cristiano Ronaldo: “I think the fans should know the truth. I want the best for the club. This is why I come to Manchester United. But you have some things inside [the club] that don’t help us reach the top level as Man City, Liverpool & even now Arsenal.” [@PiersUncensored]


| Ronaldo: “A club with this dimension should be top of the tree in my opinion and they [Man United] are not unfortunately.”
 
Huwa nashangaa sana mtu akiweka matumaini kwa mpumbavu kama Rashford, hana akili ya mpira, ni mbahatishaji tu huyu.
Man u tunaangushwa na forward kifupi hatuna forward I mean Rashford na Martial sio forward wakuwategemea wanapaswa kutokea sub. Mtu kama Grenwood na Gernacho wanapaswa kuanza ni vile tu Greenwood anamatatizo ila ile ni machine.
 
Endeleeni kudanganyana ,ametumia £252m kusajiri wazee wawili , yule belie average player malacia , Anthony mchezaji wakawaida tu, Martinez Ndiye kalamba dume

Hawa wazee wawili Eriksen na casemiro mtahitaji Tena warith wao sio muda

Kocha wenu mechi nyingi janja janja nyingi
Mkuu tuna academy bora tutawatoa huko warithi humuoni Gernacho?
 
Kama unajua unajua tu mkuu hakuna cha kusema kaja flani cjui kaja nani, hakuna kitu kama hicho. Kuna watu walikuwa wansema kuja kwa Ronaldo kumemaliza kiwango cha Bruno, kiaje? Wewe leo unasema kuja kwa Ericksen, sio kweli kabisa.

Pale Madrid alikuwepo cr7, ilikuwa hata aje nani jamaa ndio alikuwa mwamba pale kwa misimu yote aliyokuwepo pale, na pale Barca alikuwepo Leonel, hata aje nani jamaa alikuwa juu tu, zaidi zaidi hao waliokuwa wanakuja ndiyo walikuwa wanapambana kutengeneza bond na hao viumbe ili wapate nafasi ya kuwa kwenye first eleven. So, ku flop kwa Bruno hakuhusiani na ujio wa yeyote yule zaidi ya yeye mwenyewe kushindwa kutunza kiwango chake.

Na hapo inawezekana huenda jamaa sifa zilimlevya au ameongeza sana starehe hasa mbususu kuliko kufanya mazoezi.
Benzema ameanza kuonekana baada ya Ronaldo kuondoka.
 
Back
Top Bottom