Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,144
- 43,864
Huyu boya kaanza
Cristiano Ronaldo to @PiersMorgan: "Man United tried to force me out. Not only the manager, but also the other guys who are around the club. I felt betrayed”.Hii mbwa inatakiwa kuondoka january anatuvurugia utulivu kwmy timu... ni km aubameyang alivokua arsenal na arteta solution ilkua moja yy kuondoka so na ronado nae solution n aondoke tuuHuyu boya kaanza
View attachment 2415944
| Cristiano Ronaldo: “I think the fans should know the truth. I want the best for the club. This is why I come to Manchester United. But you have some things inside [the club] that don’t help us reach the top level as Man City, Liverpool & even now Arsenal.” [@PiersUncensored]
| Ronaldo: “A club with this dimension should be top of the tree in my opinion and they [Man United] are not unfortunately.”Man u tunaangushwa na forward kifupi hatuna forward I mean Rashford na Martial sio forward wakuwategemea wanapaswa kutokea sub. Mtu kama Grenwood na Gernacho wanapaswa kuanza ni vile tu Greenwood anamatatizo ila ile ni machine.Huwa nashangaa sana mtu akiweka matumaini kwa mpumbavu kama Rashford, hana akili ya mpira, ni mbahatishaji tu huyu.
Mkuu tuna academy bora tutawatoa huko warithi humuoni Gernacho?Endeleeni kudanganyana ,ametumia £252m kusajiri wazee wawili , yule belie average player malacia , Anthony mchezaji wakawaida tu, Martinez Ndiye kalamba dume
Hawa wazee wawili Eriksen na casemiro mtahitaji Tena warith wao sio muda
Kocha wenu mechi nyingi janja janja nyingi
Benzema ameanza kuonekana baada ya Ronaldo kuondoka.Kama unajua unajua tu mkuu hakuna cha kusema kaja flani cjui kaja nani, hakuna kitu kama hicho. Kuna watu walikuwa wansema kuja kwa Ronaldo kumemaliza kiwango cha Bruno, kiaje? Wewe leo unasema kuja kwa Ericksen, sio kweli kabisa.
Pale Madrid alikuwepo cr7, ilikuwa hata aje nani jamaa ndio alikuwa mwamba pale kwa misimu yote aliyokuwepo pale, na pale Barca alikuwepo Leonel, hata aje nani jamaa alikuwa juu tu, zaidi zaidi hao waliokuwa wanakuja ndiyo walikuwa wanapambana kutengeneza bond na hao viumbe ili wapate nafasi ya kuwa kwenye first eleven. So, ku flop kwa Bruno hakuhusiani na ujio wa yeyote yule zaidi ya yeye mwenyewe kushindwa kutunza kiwango chake.
Na hapo inawezekana huenda jamaa sifa zilimlevya au ameongeza sana starehe hasa mbususu kuliko kufanya mazoezi.
Huyu jamaa fala sana. Asipopata timu January ajiandae kutocheza club football mpaka August 2023.Ronaldo again.View attachment 2416025
I really wish Man Utd waingie hasara wavunje mkataba aondoke soon.Huyu boya kaanza
View attachment 2415944
Duh CR 7
"Since Sir Alex Ferguson left I saw no evolution in the club, the progress was zero."
Ten Hag awe na ujasiri wa kumuweka benchi.Huyu jamaa fala sana. Asipopata timu January ajiandae kutocheza club football mpaka August 2023.
Ila kuna vitu kaongea bora tu kapiga bomu maana ni dongo direct kwa Glazers wanaomkumbatia.Ten Hag awe na ujasiri wa kumuweka benchi.