Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe ndio mjinga ,unahisi mafanikio ya furgson yalikuja Kama makalio Kila mtu anayo ,yey mwenyewe alichezea vichapo mbali mbali ,mpka kuja kutengeneza system yake iliyompa mafanikio .....saizi mmekalia kutimua timua tu makocha kwa vile wewe ni mamruki na shabiki wa 2006 huwezi elewa
Kunya tawaza ulale
 
Hebu niambie kocha hana mbinu anawaonyesha goli ya 1997 alafu ana waacha mdiscuss
Kesho yake 5 bila
Ronaldo kasema ukweli

Yaani unaondoka man u unarudi baada ya miaka 10 naa unakuta watu wale wale alafu utegemee maendeleo yale yale
 
We jamaa kichwa yako kwenye mpira
imejaa madini tupu.
Nikinunua timu daraja la pili nakuchukua uwe DOF, naimani baada ya misimu miwili timu yetu itapanda daraja, ndani ya miaka 5 nikiwa na wewe ninauhakika tunachukua kombe ligi kuu.
Kuongea na kutenda ni vitu viwili tofauti.
 
Ronaldo kawachana aisee dah

JAMAA kajilipua hatari Sana

Huyu harudi Tena man u
Dawa yake ni kuendelea kubaki hapo, halafu hakuna kupangwa mechi yoyote, ili aondoke bure mkataba wake ukiisha. Amejilipua ili United wavunje mkataba, ambapo ikiwa hivyo itabidi alipwe!
Ten Hag awe na ujasiri wa kumuweka benchi.
Hii ndiyo dawa, mpaka mkataba uishe
 
Ronaldo anawaza Balon dor ijayo anachukua MESSI,ana argentina ipo vizuri,Psg yaweza chukua ufaransa,pengine hata uefa..

Sasa yy akijicheki yupo kwenye timu inayojengwa aah bora amwage ugali tuu
 
Ila kuna vitu kaongea bora tu kapiga bomu maana ni dongo direct kwa Glazers wanaomkumbatia.
Hakuna jipya ambalo kaongea kuhusu hili. Kwani toka Glazers wamechukua timu, wamekuwa wakipingwa. Hilo la kutokuwa na progress nalo limeongelewa sana. Kumbuka habari za United kutokuwa na technical director katika modern football! Kuhusu kivuli cha SAF kubaki nalo limesemwa sana.

Naamini chini ya ETH mambo mengi yatabadilika kuanzia Carrington.
 
Ronaldo " uwanja wa OT unavuja ,umejaa madimbwi ya maji mpaka kuna mazalia ya mbu ,mbu zilikuwa zinaning'ata utafikili nyoka "
 
Utd ndio imemtengeneza Ronaldo, angekuwa Chelsea ama Arsenal angekuwa tu kama kina Saka.

kuanzia enzi za Kina Charlton, Law, Best, Cantona, Beckham etc united imetengeneza Global superstar,

United Pekee mtu kama Depay, Bastian, Martial etc anaingia top 3 ya mauzo ya Jezi.

Hata leo ukiangalia Fanboy wengi wa Ronaldo wanatoka Man U.
Pogba yupo wapi? Lukaku?

Eti ronaldo ni taasisi. Mbwa yule aende Aston Villa kama atafahamika tena.

Fan base ya Man Utd inambeba kila mtu hata Manula akacheze huko. Kesho ni brand ya kimataifa.
 
Hakuna jipya ambalo kaongea kuhusu hili. Kwani toka Glazers wamechukua timu, wamekuwa wakipingwa. Hilo la kutokuwa na progress nalo limeongelewa sana. Kumbuka habari za United kutokuwa na technical director katika modern football! Kuhusu kivuli cha SAF kubaki nalo limesemwa sana.

Naamini chini ya ETH mambo mengi yatabadilika kuanzia Carrington.
Hata Glazers wanazidi kupewa presha ya kuachia timu. Na wataiachia tu.

Ronaldo anachoongea hakina jipya zaidi ya kumtukana Kocha.

Msenge sana yule jamaa.
 
| Cristiano Ronaldo: ‘In my opinion it will be hard to imagine #mufc at the top of the game in the next 2-3 years.’ [@PiersUncensored]
 
Back
Top Bottom