Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,386
- 10,958
Dawa yake ni kuendelea kubaki hapo, halafu hakuna kupangwa mechi yoyote, ili aondoke bure mkataba wake ukiisha. Amejilipua ili United wavunje mkataba, ambapo ikiwa hivyo itabidi alipwe!Ronaldo kawachana aisee dah
JAMAA kajilipua hatari Sana
Huyu harudi Tena man u
Hii ndiyo dawa, mpaka mkataba uisheTen Hag awe na ujasiri wa kumuweka benchi.


| Cristiano Ronaldo: ‘In my opinion it will be hard to imagine #mufc at the top of the game in the next 2-3 years.’ [@PiersUncensored]