Sikudokoa Mboga yako
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 462
- 954
Ni bora Man U ikamuachia akaenda zake kuendelea kumlipa pesa ya bure ni ujinga. Real Madrid tulifanya hivyo kwa Gareth bale mpaka msimu ulioisha jambo ambalo halikuwa na faida yoyote ile.Dawa yake ni kuendelea kubaki hapo, halafu hakuna kupangwa mechi yoyote, ili aondoke bure mkataba wake ukiisha. Amejilipua ili United wavunje mkataba, ambapo ikiwa hivyo itabidi alipwe!
Hii ndiyo dawa, mpaka mkataba uishe



Erik ten Hag has informed Manchester United that he does not want Cristiano Ronaldo in the team.
x
x 