Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna anayebisha kuhusu uongozi mbovu wa united,shida ya Ronaldo ni kama anatafuta huruma kwa fans.

Kumbuka summer jinsi alivoforce kutafuta timu uefa,mara asihudhurie pre season,mara atoke kabla ya game kuisha,mbaya zaid perfomance is poor.

Ego yake ndo ilimfanya akagombana na Mourinho way back Madrid,kaenda juve hivo hivo ,ego ego ego.

Aache utoto,nakumbuka hata enzi za Fagason pia akifanyiwa sub alikua anazira zira kama mwanamke.

Akwendeeeee
Ameondoka Madrid kwasababu ya ego.

Ataondoka United na hakuna atakaetamani kufanya nae kazi.
 
Van Gaal: "United is a commercial club"

Di Maria: "They signed me to sell shirts"

Ibrahimovic: "The structure is so old school" i found a small mentality

Mourinho: "You don't know what happen behind the scene" becoming second with United is my best achievement"

Sanchez "I asked my agent to get me back to Arsenal after the first training"

Bailly " They should stop playing the English guys and give everyone a chance"

Raf " United needs to change the whole structure" They need more facilities"

You may hate Ronaldo's act but you should understand his concerns.

Ronaldo should move on but the fans should also not be stupid. We should open our eyes and stand against the ownership they are the cause of all the problems.
Hayo yote hapo juu yanahusika vipi na kutomuheshimu kocha?

Kabla ya Ronaldo kuja United mashabiki walishaanza movement ya kuwatoa kina Glazers.

Kuna lipi la ajabu?
 
Guardiola: "Lampard, Scholes or Gerrard? Big respect for Frank [Lampard] and Steven [Gerrard], but Paul Scholes is my favourite. I love him. I think he had it all."

#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd View attachment 2416528
Lazima amkubali Scholes kwa sababu ndiye alikuwa anaendana na Mpira waliokuwa wacheza Barcelona.
 
Sidhani kama kuna timu yo yote itakayokuwa kumchukua mtu anayejiona wa maana kuliko wenzake wote, na hata kuliko kocha.

Labda Sporting Lisbon alikoanzia!
Hawana hela ya kumlipa.

Labda afanye kama pro bono.
 
Kijana Ronaldo ni Mkubwa kuliko Ten Hag kiuchumi,Makombe,pesa,kapitwa kila kitu na Ronaldo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] uzuri Sindano imewaingia hehehehehe
Elon Musk ana hela kuliko Joe Biden.

Ila anamuheshimu kama baba ake.

Ten Hag ni kocha, haijalishi ana pesa kiasi gani, ila anaweza kumuweka benchi msimu mzima na asimfanye kitu.
 
"Mimi leo kuja kucheza na vitoto havina vipaji kama Sancho na Elanga? Ndugu mwandishi natamani Ningekuwa Pembeni ya Vijana kama Odegaard, Saka au Martnelli Ningefanya Makubwa sana"
Ronaldo akihojiwa
 
Mkuu hauwezi kukomenti kwa staha .? Huwezi kukaa bila kutukana .??

Ndio maana arsenal wenzio wanakuona mamluki !

Nyie vijana sijui mna matatizo gani, kazi Ni kutukana tu kwenye mitandao au una stress za maisha ?

go get your life buddy, kenge Kama wewe unakula block tu
Wewe hata ukimchukia Ronaldo haumfikii kwa lolote so potezea tu Ronaldo ni Legend wa Manchester United
 
Kitendo cha PENDU kumsema vibaya ETH
Naona january asepe tu ETH kamvumilia sana alikataa kuingia sub dhid ya spurs
Akapewa ukapteni bado mpira wake mbovu juzi dhid ya villa tukafungwa 3 yeye akuwepo ndani bila msaada sasa naelewa kwanini florentino perez aliuza hii flop kwa juve
Wakati anaenda Juve hakua flop nakupinga kwa hilo
 
Kuna mtu anakwambia Ronaldo ni taasisi.

Siku aondoke Man Utd uone kama kuna timu ya maana itamtaka.
Utd ndio imemtengeneza Ronaldo, angekuwa Chelsea ama Arsenal angekuwa tu kama kina Saka.

kuanzia enzi za Kina Charlton, Law, Best, Cantona, Beckham etc united imetengeneza Global superstar,

United Pekee mtu kama Depay, Bastian, Martial etc anaingia top 3 ya mauzo ya Jezi.

Hata leo ukiangalia Fanboy wengi wa Ronaldo wanatoka Man U.
 
Lazima amkubali Scholes kwa sababu ndiye alikuwa anaendana na Mpira waliokuwa wacheza Barcelona.
Scholes Mpira wake ni vice versa ya Barcelona, kifupi timu zinazo posses zinapata tabu kucheza na Midfield Design ya kina Scholes (Mzee) , Pirlo, Alonso etc wachezaji ambao wanahamisha uwanja na hawana time na kuminyana kuminyana.
 
"Mimi leo kuja kucheza na vitoto havina vipaji kama Sancho na Elanga? Ndugu mwandishi natamani Ningekuwa Pembeni ya Vijana kama Odegaard, Saka au Martnelli Ningefanya Makubwa sana"
Ronaldo akihojiwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cristiano Ronaldo [emoji2788]”I remember before one match, Ole Gunnar Solskjaer didn’t do a team talk in the dressing room. He just put on a video of his goal in the 1999 Champions League final. We lost 5-0.”
Kabla ya Ole Ronaldo alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, tuliomuona Ronaldo 2003-2006 tunajua, hakua akijua kupiga vichwa, mashuti na skills nyingi za Striker, ole anastaafu na kupewa Ukocha wa Maforward ndio akaanza kuwafua Forward wetu mpaka tunaona 2006-2009 tuna fluid front line,

Ole kamfundisha Haaland ambaye watu kibao walisema hawezi toboa kama Mchezaji, Ole amewafanya Martial, Rashford na Greenword kufunga Goli nyingi kuliko Salah, Mane na Firminho,

Hivyo Ole ameprove talent yake ya kufundisha striker,
 
Ronaldo " Haiwezekani Magwaya anaye ongoza kutumalizia chakula kwa kula matonge makubwa kwa kasi, mmempa unahodha mimi nisiyeshiba mkaninyima"
 
Kabla ya Ole Ronaldo alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, tuliomuona Ronaldo 2003-2006 tunajua, hakua akijua kupiga vichwa, mashuti na skills nyingi za Striker, ole anastaafu na kupewa Ukocha wa Maforward ndio akaanza kuwafua Forward wetu mpaka tunaona 2006-2009 tuna fluid front line,

Ole kamfundisha Haaland ambaye watu kibao walisema hawezi toboa kama Mchezaji, Ole amewafanya Martial, Rashford na Greenword kufunga Goli nyingi kuliko Salah, Mane na Firminho,

Hivyo Ole ameprove talent yake ya kufundisha striker,
Alafu anamdiss duh
 
Back
Top Bottom