Acha kuongea makalio basi Ronaldo atabaki kuwa Legend kapike maandazi mtaani kwenuNi kwel kwenye uongozi kuna shida , hakuna asiejua,,,,
Ronaldo kaongea upupu Sana eti hamueshimu mwalimu,,,,
Alafu amevizia hakuna match hivi karibuni watu wanaenda world cup ndo akaongea ,,,,
Kingine anataka kutafuta huruma na support kwa Mashabiki waone kwamba ameonewa, mchezaji mkubwa wa caliber yake anakuwaje na vituko Namna hii,,, watoto/vijana Kama kina Alejandro/Anthony wanajifunza Nini toka kwake ?
Ni muendawazimu pekee ndiye atakaekuwa upande wake na kumtetea ,,,
Alianzia ujinga wake pre season, akaja Kuna match moja sikumbuki alitoka kabla muda , akaja ya Spurs, juzi aaambiwa match na Fulham hatoanza lakini atakuwa sehemu ya kikosi, yeye akadanganya anajisikia vibaya kwa hio hakusafiri na wenzie kwenda London,,,
Umri umemtupa, hawezi kufanya alichokuwa anafanya akiwa 20's ama early 30's ,!
Mwisho wa siku hakuna mchezaji aliemkubwa kuliko club never,,,, ! Watakuja wengi na wataondoka, that's all
Timu ipo Salama na kwenye right direction chini ya ETH, apewe muda aweke ideas zake pia apate players anaowahitaji, sio kitu Cha siku moja ,,,msimu huu hatuna Cha kupigania tushinde,,, sana sana tunahitaji kushiriki UEFA mwakani
Chief-Mkwawa Anahesabika Kama legend ? Kwangu Ni Big No, kaiexpose Sana club na dharau kwa mwalimu
Kijana Ronaldo ni Mkubwa kuliko Ten Hag kiuchumi,Makombe,pesa,kapitwa kila kitu na RonaldoMpumbavu huyu, dirisha kubwa alitaka kuondoka ila management ikamkazia ndio maana ameamua kuisagia kunguni kipindi hiki ili dirisha dogo likifunguliwa tu aruhusiwe asepe.
Shida inakuja ni timu gani inayo muhitaji kwa sasa?
Hao mashabiki wanaomtetea humu wakisikia timu yao inataka kumsajili wanaanza kupiga kelele kua hawataki kirusi ndani ya timu yao.


uzuri Sindano imewaingia heheheheheMkuu hauwezi kukomenti kwa staha .? Huwezi kukaa bila kutukana .??Acha kuongea makalio basi Ronaldo atabaki kuwa Legend kapike maandazi mtaani kwenu
Mkuu this is just the game,unaweza ukacoment kistaarabu na ukaeleweka vizuri tu,jenga hoja kistaarabu tu utaeleweka.Acha kuongea makalio basi Ronaldo atabaki kuwa Legend kapike maandazi mtaani kwenu
Watu wamekasirika kumtaja ETH. Kwamba hamuheshimu kocha.ETH Anapongezwa kwa sasa ila najua muda si mrefu utamgeuka.umeshaambiwa tatizo la united sio Ronaldo wala ETH tatizo ni viongozi wa hii club hawataki kuwajibu kwa ajili ya future ya club tangu aondoke sir Alex Ferguson mpk leo hakina transformation ndo maana timu inafanya vibaya wamekuja akina pogba, van gal, mourinho,lukaku wote wameondoka wanasema uongozi wa club ni tatizo ndo maana timu haiendi top level leo ameongea Ronaldo tena bado mnabisha mtaendelea kusindikiza watu wanabeba mataji miaka na miaka ndo maana mnaitwa united fans hili swala mlibebe msiweke chuki tu dhidi ya Ronaldo ameongea ukweli hata kama hakutakiwa kuongea
Kuna mtu anakwambia Ronaldo ni taasisi.Nilikuwa naitafuta hii Comment mkuu, Kumponda Glazzer ni kutafuta tu huruma ya kuungwa mkono.
Ronaldo amekataa Kuingia Sub vs Spurs ni mechi ambayo tumecheza mpira wa maana kuliko mechi yoyote ile chini ya ETH.
Ameomba kufanya hii interview na imetolewa Exactly wakati wenzake wanashabikia ushindi na Fulham.
Akishinda Man U yeye vinamuuma huyu mtu ana Uchungu na Club? Anataka ushindi wote wa Man U upitie kwake,
Msimu uliopita wakati timu inafanya vibaya yeye anafunga alikuwa fresh tu, aliwahi pia kuwapiga madongo wenzie kwamba Tactic zina mchango mdogo wanatakiwa wajitume, ila sasa hivi mambo yamegeuka anaona kama Amesalitiwa.
Ameondoka Madrid kwasababu ya ego.Hakuna anayebisha kuhusu uongozi mbovu wa united,shida ya Ronaldo ni kama anatafuta huruma kwa fans.
Kumbuka summer jinsi alivoforce kutafuta timu uefa,mara asihudhurie pre season,mara atoke kabla ya game kuisha,mbaya zaid perfomance is poor.
Ego yake ndo ilimfanya akagombana na Mourinho way back Madrid,kaenda juve hivo hivo ,ego ego ego.
Aache utoto,nakumbuka hata enzi za Fagason pia akifanyiwa sub alikua anazira zira kama mwanamke.
Akwendeeeee
Hayo yote hapo juu yanahusika vipi na kutomuheshimu kocha?Van Gaal: "United is a commercial club"
Di Maria: "They signed me to sell shirts"
Ibrahimovic: "The structure is so old school" i found a small mentality
Mourinho: "You don't know what happen behind the scene" becoming second with United is my best achievement"
Sanchez "I asked my agent to get me back to Arsenal after the first training"
Bailly " They should stop playing the English guys and give everyone a chance"
Raf " United needs to change the whole structure" They need more facilities"
You may hate Ronaldo's act but you should understand his concerns.
Ronaldo should move on but the fans should also not be stupid. We should open our eyes and stand against the ownership they are the cause of all the problems.
Lazima amkubali Scholes kwa sababu ndiye alikuwa anaendana na Mpira waliokuwa wacheza Barcelona.Guardiola: "Lampard, Scholes or Gerrard? Big respect for Frank [Lampard] and Steven [Gerrard], but Paul Scholes is my favourite. I love him. I think he had it all."
#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU
manutd View attachment 2416528
Atawavuruga sana huyu jamaaCristiano Ronaldo”I remember before one match, Ole Gunnar Solskjaer didn’t do a team talk in the dressing room. He just put on a video of his goal in the 1999 Champions League final. We lost 5-0.”


Hawana hela ya kumlipa.Sidhani kama kuna timu yo yote itakayokuwa kumchukua mtu anayejiona wa maana kuliko wenzake wote, na hata kuliko kocha.
Labda Sporting Lisbon alikoanzia!
Elon Musk ana hela kuliko Joe Biden.Kijana Ronaldo ni Mkubwa kuliko Ten Hag kiuchumi,Makombe,pesa,kapitwa kila kitu na Ronaldouzuri Sindano imewaingia hehehehehe
Wewe hata ukimchukia Ronaldo haumfikii kwa lolote so potezea tu Ronaldo ni Legend wa Manchester UnitedMkuu hauwezi kukomenti kwa staha .? Huwezi kukaa bila kutukana .??
Ndio maana arsenal wenzio wanakuona mamluki !
Nyie vijana sijui mna matatizo gani, kazi Ni kutukana tu kwenye mitandao au una stress za maisha ?
go get your life buddy, kenge Kama wewe unakula block tu