computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,036
Kijana Ronaldo ni Mkubwa kuliko Ten Hag kiuchumi,Makombe,pesa,kapitwa kila kitu na RonaldoMpumbavu huyu, dirisha kubwa alitaka kuondoka ila management ikamkazia ndio maana ameamua kuisagia kunguni kipindi hiki ili dirisha dogo likifunguliwa tu aruhusiwe asepe.
Shida inakuja ni timu gani inayo muhitaji kwa sasa?
Hao mashabiki wanaomtetea humu wakisikia timu yao inataka kumsajili wanaanza kupiga kelele kua hawataki kirusi ndani ya timu yao.


uzuri Sindano imewaingia hehehehehe

”I remember before one match, Ole Gunnar Solskjaer didn’t do a team talk in the dressing room. He just put on a video of his goal in the 1999 Champions League final. We lost 5-0.”