ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Wa hovyo sana huyu kochaEti anaanza na takataka elanga
Wa hovyo sana huyu kochaEti anaanza na takataka elanga
Kikosi kiko vizuri sana. Shida yake hajui nani yuko on-fire aanze. Wachezaji wana msimu, kuna wakati mchezaji anakuwa wa-moto sana inatakiwa wakati huo aanza kila mechi. Wiki tatu zilizopita Fred alikuwa moto wa kuotea mbali, lakini akaamua kumuweka benchi mazima. Kweli unamuweka bench Garnacho unaanza na Elanga!!!Mkuu mbona unamponda sn kocha wkt yuko poa tu kulinganisha na waliopita. Unajua sikuelewi kabisa.
MUFC akicheza na timu zinazocheza mpira wa wazi mara nyingi anafanya vizuri.Hata sisi tulikua na uwezo wa kuwapiga nne maana wanacheza sana mpira wa wazi....


Sure.Elanga ni kama Welbeck tu.
Lishakuwa takataka linakera sanaFernandez ameshaanza kuwa mzigo pale OT, anapoteza mipira na hata kukaba hakabi


Kikosi kiko vizuri sana. Shida yake hajui nani yuko on-fire aanze. Wachezaji wana msimu, kuna wakati mchezaji anakuwa wa-moto sana inatakiwa wakati huo aanza kila mechi. Wiki tatu zilizopita Fred alikuwa moto wa kuotea mbali, lakini akaamua kumuweka benchi mazima. Kweli unamuweka bench Garnacho unaanza na Elanga!!!
Elanga ni kama Welbeck tu.
Martinez hapondeki, ni kichaa pekee anayeweza kumponda mchezaji anayefanya kosa moja lkn mazuri mia moja.Ila kiukweli mie kuna vitu MARTINEZ ananikera sana. Anatoa pasi mbovu sana wakati timu ikiwa imepanda juu.
Ukitaka kuelewa aina ya mipira ninayoongelea angalia Match ya EPL vs Aston Villa goli la 3 MUFC wanafungwa.
Pia leo kafanya uzembe kama huo tukakoswa.
Ana makosa mengi mno siku hz, sijui kawaje aisee, sio Bruno yule wa Sosha.Fernandez ameshaanza kuwa mzigo pale OT, anapoteza mipira na hata kukaba hakabi
Walipigwa 1-2 na city alie wapiga 4 ni NewcastleWamesave sana aisew sasa naelewa Fulham walimfungaje liverpool vijana wanasakata boli hasa wakiwa home ila kwa city walipigwa 4+ nachukiaga sana
Endeleeni kudanganyana ,ametumia £252m kusajiri wazee wawili , yule belie average player malacia , Anthony mchezaji wakawaida tu, Martinez Ndiye kalamba dumeKwa kikosi bado tumepata ushindi bas kocha akipata wachezaji anaowahitaji msimu ujao timu itatisha hii
Duh!Lishakuwa takataka linakera sana![]()
Kushinda mechi ni janja janja lazima ziwepoEndeleeni kudanganyana ,ametumia £252m kusajiri wazee wawili , yule belie average player malacia , Anthony mchezaji wakawaida tu, Martinez Ndiye kalamba dume
Hawa wazee wawili Eriksen na casemiro mtahitaji Tena warith wao sio muda
Kocha wenu mechi nyingi janja janja nyingi
Kuna mawili. Moja, wachezaji wengi wameshaweka akili zao Qatar; jinamizi la majeruhi kwa baadhi ya wachezaji limewafanya wawe waangalifu. Pili, kwa kuwepo kwa Eriksen ile 'shine' ya Bruno huwezi ona, maana kuna mtu mwingine mwenye kufanana naye. Players go through some small dips occasionally; that doesn't mean ati "amekuwa wa hovyo" kabisa!!Ana makosa mengi mno siku hz, sijui kawaje aisee, sio Bruno yule wa Sosha.