Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu mbona unamponda sn kocha wkt yuko poa tu kulinganisha na waliopita. Unajua sikuelewi kabisa.
Kikosi kiko vizuri sana. Shida yake hajui nani yuko on-fire aanze. Wachezaji wana msimu, kuna wakati mchezaji anakuwa wa-moto sana inatakiwa wakati huo aanza kila mechi. Wiki tatu zilizopita Fred alikuwa moto wa kuotea mbali, lakini akaamua kumuweka benchi mazima. Kweli unamuweka bench Garnacho unaanza na Elanga!!!
 
Ila kiukweli mie kuna vitu MARTINEZ ananikera sana. Anatoa pasi mbovu sana wakati timu ikiwa imepanda juu.

Ukitaka kuelewa aina ya mipira ninayoongelea angalia Match ya EPL vs Aston Villa goli la 3 MUFC wanafungwa.

Pia leo kafanya uzembe kama huo tukakoswa.
 
IMG_2340.jpg

Huyu jamaa ni mnyama sana
 
Kikosi kiko vizuri sana. Shida yake hajui nani yuko on-fire aanze. Wachezaji wana msimu, kuna wakati mchezaji anakuwa wa-moto sana inatakiwa wakati huo aanza kila mechi. Wiki tatu zilizopita Fred alikuwa moto wa kuotea mbali, lakini akaamua kumuweka benchi mazima. Kweli unamuweka bench Garnacho unaanza na Elanga!!!

Hata elanga hakuwa vibaya hakukuwa vizur kwenye umaliziaji kipind cha kwanza kama kungekuwa na umakini si chini ya goli 3 zingepatikana hapo tayar timu pinzan inatoka mchezon pia shida bruno hakuwa kwenye kiwango kizur leo halafu hata kukosekana kwa dalot ni shida
 
Ila kiukweli mie kuna vitu MARTINEZ ananikera sana. Anatoa pasi mbovu sana wakati timu ikiwa imepanda juu.

Ukitaka kuelewa aina ya mipira ninayoongelea angalia Match ya EPL vs Aston Villa goli la 3 MUFC wanafungwa.

Pia leo kafanya uzembe kama huo tukakoswa.
Martinez hapondeki, ni kichaa pekee anayeweza kumponda mchezaji anayefanya kosa moja lkn mazuri mia moja.
 
Wamesave sana aisew sasa naelewa Fulham walimfungaje liverpool vijana wanasakata boli hasa wakiwa home ila kwa city walipigwa 4+ nachukiaga sana
Walipigwa 1-2 na city alie wapiga 4 ni Newcastle
 
Kwa kikosi bado tumepata ushindi bas kocha akipata wachezaji anaowahitaji msimu ujao timu itatisha hii
Endeleeni kudanganyana ,ametumia £252m kusajiri wazee wawili , yule belie average player malacia , Anthony mchezaji wakawaida tu, Martinez Ndiye kalamba dume

Hawa wazee wawili Eriksen na casemiro mtahitaji Tena warith wao sio muda

Kocha wenu mechi nyingi janja janja nyingi
 
Endeleeni kudanganyana ,ametumia £252m kusajiri wazee wawili , yule belie average player malacia , Anthony mchezaji wakawaida tu, Martinez Ndiye kalamba dume

Hawa wazee wawili Eriksen na casemiro mtahitaji Tena warith wao sio muda

Kocha wenu mechi nyingi janja janja nyingi
Kushinda mechi ni janja janja lazima ziwepo
Ila huyu kocha kama watu wa usajili wakikaa vizuri na kupata wachezaji wanaostahili atafikisha timu mbali
 
Ana makosa mengi mno siku hz, sijui kawaje aisee, sio Bruno yule wa Sosha.
Kuna mawili. Moja, wachezaji wengi wameshaweka akili zao Qatar; jinamizi la majeruhi kwa baadhi ya wachezaji limewafanya wawe waangalifu. Pili, kwa kuwepo kwa Eriksen ile 'shine' ya Bruno huwezi ona, maana kuna mtu mwingine mwenye kufanana naye. Players go through some small dips occasionally; that doesn't mean ati "amekuwa wa hovyo" kabisa!!
 
Back
Top Bottom