Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni kwel kwenye uongozi kuna shida , hakuna asiejua,,,,

Ronaldo kaongea upupu Sana eti hamueshimu mwalimu,,,,

Alafu amevizia hakuna match hivi karibuni watu wanaenda world cup ndo akaongea ,,,,

Kingine anataka kutafuta huruma na support kwa Mashabiki waone kwamba ameonewa, mchezaji mkubwa wa caliber yake anakuwaje na vituko Namna hii,,, watoto/vijana Kama kina Alejandro/Anthony wanajifunza Nini toka kwake ?

Ni muendawazimu pekee ndiye atakaekuwa upande wake na kumtetea ,,,

Alianzia ujinga wake pre season, akaja Kuna match moja sikumbuki alitoka kabla muda , akaja ya Spurs, juzi aaambiwa match na Fulham hatoanza lakini atakuwa sehemu ya kikosi, yeye akadanganya anajisikia vibaya kwa hio hakusafiri na wenzie kwenda London,,,

Umri umemtupa, hawezi kufanya alichokuwa anafanya akiwa 20's ama early 30's ,!

Mwisho wa siku hakuna mchezaji aliemkubwa kuliko club never,,,, ! Watakuja wengi na wataondoka, that's all

Timu ipo Salama na kwenye right direction chini ya ETH, apewe muda aweke ideas zake pia apate players anaowahitaji, sio kitu Cha siku moja ,,,msimu huu hatuna Cha kupigania tushinde,,, sana sana tunahitaji kushiriki UEFA mwakani

Chief-Mkwawa Anahesabika Kama legend ? Kwangu Ni Big No, kaiexpose Sana club na dharau kwa mwalimu
Mkuu shida ya United ipo ndani wewe ukimuangalia Ronaldo huhisi kwamba anareact kutokana na anavyotreatiwa United?
 
Time to let him go
20221114_114733.jpg
 
CR7 ni binadamu mbinafsi aliyewahi kutokea ulimwenguni

Kwake kila kitu ni kuhusu yeye, hajali klabu, hajali wachezaji wenzake

Anaamini yeye ni mkubwa kuliko klabu, anaamini anaweza kuishurutisha klabu

Alilazimisha kuondoka kwenye dirisha lililopita, leo anakuja na stori klabuni hawamtaki

Kwa kauli zake anaonesha hakumuheshimu Ragnick, na sasa ana mu undermine Ten Hag kocha anayeijenga timu

Cr7, ni adui namba wa United kwa sasa
 
Man u ina matatizo na watu hawataki kuambiwa ukweli
Mwisho wa cku CR7 kasema ukweli ili timu ipone matokeo yake watu wanamshambulia CR 7
Cjui vichwan mwa watu kuna nn? Mtu anajifanya kuijua man u kuliko CR7 mwenyewe
Hata kama aliyo yaongea ni sawa ila alichoboronga ni hapo kwenye kumlalamikia kocha wake kua hamuheshimu na yeye pia hawezi kumheshimu.
Ngoja tusubirie hio full Interview, maana kipindi cha pre-season aliwalalamikia waandishi wa habari wa Uingereza kua wanamzulia uongo.
 
ETH Anapongezwa kwa sasa ila najua muda si mrefu utamgeuka.umeshaambiwa tatizo la united sio Ronaldo wala ETH tatizo ni viongozi wa hii club hawataki kuwajibu kwa ajili ya future ya club tangu aondoke sir Alex Ferguson mpk leo hakina transformation ndo maana timu inafanya vibaya wamekuja akina pogba, van gal, mourinho,lukaku wote wameondoka wanasema uongozi wa club ni tatizo ndo maana timu haiendi top level leo ameongea Ronaldo tena bado mnabisha mtaendelea kusindikiza watu wanabeba mataji miaka na miaka ndo maana mnaitwa united fans hili swala mlibebe msiweke chuki tu dhidi ya Ronaldo ameongea ukweli hata kama hakutakiwa kuongea
Nimempongeza EtH kwa kuhakikisha nidhamu inakuwepo kwenye timu na timu inakuwa moja bila kujali ukubwa wa mchezaji. Ronaldo alitaka awe mkubwa kuliko Kocha na hilo sio sahihi.

Tatizo la uongozi wa club lipo na linajulikana lakini halihalalishi mchezaji kutokuwa na nidhamu kwa Kocha,wachezaji na timu nzima.

Ronaldo ana mkataba pale kama mchezaji, angetimiza wajibu wake kwanza ndio aanze kiherehere.

Yani kocha yupo huko anajenga nidhamu na roho ya kujituma kwa wachezaji, yeye anahaha kwenye media kumvunja kocha moyo pamoja na wachezaji wenzake? Halafu unasema tatizo la club?

Ronaldo ni mbinafsi, anaangalia Records zake binafsi, hizo ni hasira za kuwekwa bench. Yeye hata kama anajua ni mzigo kwa timu hajali, anataka apangwe tu Records zake zitimie.

Mtu analalamika hata aibu hana, amekuja Cavan anajituma kuliko yeye ila kwa heshìma akavuliwa jezi aķapewa yeye, anataka heshima gani tena?
 
Nimempongeza EtH kwa kuhakikisha nidhamu inakuwepo kwenye timu na timu inakuwa moja bila kujali ukubwa wa mchezaji. Ronaldo alitaka awe mkubwa kuliko Kocha na hilo sio sahihi.

Tatizo la uongozi wa club lipo na linajulikana lakini halihalalishi mchezaji kutokuwa na nidhamu kwa Kocha,wachezaji na timu nzima.

Ronaldo ana mkataba pale kama mchezaji, angetimiza wajibu wake kwanza ndio aanze kiherehere.

Yani kocha yupo huko anajenga nidhamu na roho ya kujituma kwa wachezaji, yeye anahaha kwenye media kumvunja kocha moyo pamoja na wachezaji wenzake? Halafu unasema tatizo la club?

Ronaldo ni mbinafsi, anaangalia Records zake binafsi, hizo ni hasira za kuwekwa bench. Yeye hata kama anajua ni mzigo kwa timu hajali, anataka apangwe tu Records zake zitimie.

Mtu analalamika hata aibu hana, amekuja Cavan anajituma kuliko yeye ila kwa heshìma akavuliwa jezi aķapewa yeye, anataka heshima gani tena?
Mpumbavu huyu, dirisha kubwa alitaka kuondoka ila management ikamkazia ndio maana ameamua kuisagia kunguni kipindi hiki ili dirisha dogo likifunguliwa tu aruhusiwe asepe.
Shida inakuja ni timu gani inayo muhitaji kwa sasa?
Hao mashabiki wanaomtetea humu wakisikia timu yao inataka kumsajili wanaanza kupiga kelele kua hawataki kirusi ndani ya timu yao.
 
Ni kwel kwenye uongozi kuna shida , hakuna asiejua,,,,

Ronaldo kaongea upupu Sana eti hamueshimu mwalimu,,,,

Alafu amevizia hakuna match hivi karibuni watu wanaenda world cup ndo akaongea ,,,,

Kingine anataka kutafuta huruma na support kwa Mashabiki waone kwamba ameonewa, mchezaji mkubwa wa caliber yake anakuwaje na vituko Namna hii,,, watoto/vijana Kama kina Alejandro/Anthony wanajifunza Nini toka kwake ?

Ni muendawazimu pekee ndiye atakaekuwa upande wake na kumtetea ,,,

Alianzia ujinga wake pre season, akaja Kuna match moja sikumbuki alitoka kabla muda , akaja ya Spurs, juzi aaambiwa match na Fulham hatoanza lakini atakuwa sehemu ya kikosi, yeye akadanganya anajisikia vibaya kwa hio hakusafiri na wenzie kwenda London,,,

Umri umemtupa, hawezi kufanya alichokuwa anafanya akiwa 20's ama early 30's ,!

Mwisho wa siku hakuna mchezaji aliemkubwa kuliko club never,,,, ! Watakuja wengi na wataondoka, that's all

Timu ipo Salama na kwenye right direction chini ya ETH, apewe muda aweke ideas zake pia apate players anaowahitaji, sio kitu Cha siku moja ,,,msimu huu hatuna Cha kupigania tushinde,,, sana sana tunahitaji kushiriki UEFA mwakani

Chief-Mkwawa Anahesabika Kama legend ? Kwangu Ni Big No, kaiexpose Sana club na dharau kwa mwalimu
Acha kuongea makalio basi Ronaldo atabaki kuwa Legend kapike maandazi mtaani kwenu
 
Mpumbavu huyu, dirisha kubwa alitaka kuondoka ila management ikamkazia ndio maana ameamua kuisagia kunguni kipindi hiki ili dirisha dogo likifunguliwa tu aruhusiwe asepe.
Shida inakuja ni timu gani inayo muhitaji kwa sasa?
Hao mashabiki wanaomtetea humu wakisikia timu yao inataka kumsajili wanaanza kupiga kelele kua hawataki kirusi ndani ya timu yao.
Kijana Ronaldo ni Mkubwa kuliko Ten Hag kiuchumi,Makombe,pesa,kapitwa kila kitu na Ronaldo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] uzuri Sindano imewaingia hehehehehe
 
Acha kuongea makalio basi Ronaldo atabaki kuwa Legend kapike maandazi mtaani kwenu
Mkuu hauwezi kukomenti kwa staha .? Huwezi kukaa bila kutukana .??

Ndio maana arsenal wenzio wanakuona mamluki !

Nyie vijana sijui mna matatizo gani, kazi Ni kutukana tu kwenye mitandao au una stress za maisha ?

go get your life buddy, kenge Kama wewe unakula block tu
 
ETH Anapongezwa kwa sasa ila najua muda si mrefu utamgeuka.umeshaambiwa tatizo la united sio Ronaldo wala ETH tatizo ni viongozi wa hii club hawataki kuwajibu kwa ajili ya future ya club tangu aondoke sir Alex Ferguson mpk leo hakina transformation ndo maana timu inafanya vibaya wamekuja akina pogba, van gal, mourinho,lukaku wote wameondoka wanasema uongozi wa club ni tatizo ndo maana timu haiendi top level leo ameongea Ronaldo tena bado mnabisha mtaendelea kusindikiza watu wanabeba mataji miaka na miaka ndo maana mnaitwa united fans hili swala mlibebe msiweke chuki tu dhidi ya Ronaldo ameongea ukweli hata kama hakutakiwa kuongea
Watu wamekasirika kumtaja ETH. Kwamba hamuheshimu kocha.

The rest hakuna mtu mwenye shida nae.
 
Nilikuwa naitafuta hii Comment mkuu, Kumponda Glazzer ni kutafuta tu huruma ya kuungwa mkono.

Ronaldo amekataa Kuingia Sub vs Spurs ni mechi ambayo tumecheza mpira wa maana kuliko mechi yoyote ile chini ya ETH.

Ameomba kufanya hii interview na imetolewa Exactly wakati wenzake wanashabikia ushindi na Fulham.

Akishinda Man U yeye vinamuuma huyu mtu ana Uchungu na Club? Anataka ushindi wote wa Man U upitie kwake,

Msimu uliopita wakati timu inafanya vibaya yeye anafunga alikuwa fresh tu, aliwahi pia kuwapiga madongo wenzie kwamba Tactic zina mchango mdogo wanatakiwa wajitume, ila sasa hivi mambo yamegeuka anaona kama Amesalitiwa.
Kuna mtu anakwambia Ronaldo ni taasisi.

Siku aondoke Man Utd uone kama kuna timu ya maana itamtaka.
 
Back
Top Bottom