Ni kwel kwenye uongozi kuna shida , hakuna asiejua,,,,
Ronaldo kaongea upupu Sana eti hamueshimu mwalimu,,,,
Alafu amevizia hakuna match hivi karibuni watu wanaenda world cup ndo akaongea ,,,,
Kingine anataka kutafuta huruma na support kwa Mashabiki waone kwamba ameonewa, mchezaji mkubwa wa caliber yake anakuwaje na vituko Namna hii,,, watoto/vijana Kama kina Alejandro/Anthony wanajifunza Nini toka kwake ?
Ni muendawazimu pekee ndiye atakaekuwa upande wake na kumtetea ,,,
Alianzia ujinga wake pre season, akaja Kuna match moja sikumbuki alitoka kabla muda , akaja ya Spurs, juzi aaambiwa match na Fulham hatoanza lakini atakuwa sehemu ya kikosi, yeye akadanganya anajisikia vibaya kwa hio hakusafiri na wenzie kwenda London,,,
Umri umemtupa, hawezi kufanya alichokuwa anafanya akiwa 20's ama early 30's ,!
Mwisho wa siku hakuna mchezaji aliemkubwa kuliko club never,,,, ! Watakuja wengi na wataondoka, that's all
Timu ipo Salama na kwenye right direction chini ya ETH, apewe muda aweke ideas zake pia apate players anaowahitaji, sio kitu Cha siku moja ,,,msimu huu hatuna Cha kupigania tushinde,,, sana sana tunahitaji kushiriki UEFA mwakani
Chief-Mkwawa Anahesabika Kama legend ? Kwangu Ni Big No, kaiexpose Sana club na dharau kwa mwalimu