Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ronaldo : " vyoo na mabafu yote pale OT ni ya zamani , uwanja unavuja ,Mimi sinyi soda lakin walikuwa wananilazimaisha kunywa mo energy "
Mda wa lunch huu , chawa wa man U wametoka ofsini wamepata mda wa kushika simu , angalia watakushukia kama mwewe 😁😁😁
 
True..

Na mambo ya Glazer kila mtu anayajua kuyaongea ni kutafuta tu sympath..

Yaani anasema waziwazi kuwa hamweshimu EtH..

Mshenzi kabisa huyu jamaa.
Nilikuwa naitafuta hii Comment mkuu, Kumponda Glazzer ni kutafuta tu huruma ya kuungwa mkono.

Ronaldo amekataa Kuingia Sub vs Spurs ni mechi ambayo tumecheza mpira wa maana kuliko mechi yoyote ile chini ya ETH.

Ameomba kufanya hii interview na imetolewa Exactly wakati wenzake wanashabikia ushindi na Fulham.

Akishinda Man U yeye vinamuuma huyu mtu ana Uchungu na Club? Anataka ushindi wote wa Man U upitie kwake,

Msimu uliopita wakati timu inafanya vibaya yeye anafunga alikuwa fresh tu, aliwahi pia kuwapiga madongo wenzie kwamba Tactic zina mchango mdogo wanatakiwa wajitume, ila sasa hivi mambo yamegeuka anaona kama Amesalitiwa.
 
United fans wenye akili kubwa tu ndo wanaweza kuanza kuelewa huu mchezo wengine wanamdiscuss Ronaldo discuss alichosema Ronaldo kimeshasemwa na watu wa ngapi ambao walikuwepo united ndo maana hii timu tangua aondoke fergie hakuna tena cha maana kinachoendelea
Hakuna timu pale , full siasa , hata huyo ETH ni suala la mda tuu,
 
ETH Anapongezwa kwa sasa ila najua muda si mrefu utamgeuka.umeshaambiwa tatizo la united sio Ronaldo wala ETH tatizo ni viongozi wa hii club hawataki kuwajibu kwa ajili ya future ya club tangu aondoke sir Alex Ferguson mpk leo hakina transformation ndo maana timu inafanya vibaya wamekuja akina pogba, van gal, mourinho,lukaku wote wameondoka wanasema uongozi wa club ni tatizo ndo maana timu haiendi top level leo ameongea Ronaldo tena bado mnabisha mtaendelea kusindikiza watu wanabeba mataji miaka na miaka ndo maana mnaitwa united fans hili swala mlibebe msiweke chuki tu dhidi ya Ronaldo ameongea ukweli hata kama hakutakiwa kuongea
Sawa mkuu lakini sasa hivi tupo kwenye Right direction,

Kama una mtoto anafanya vibaya darasani, ila kipindi cha karibuni anaanza kufanya vizuri, utam Encourage aongeze bidii ama utaanza kumfokea kwa makosa ya miaka iliopita?

Woodward kaondoka, tumesajili kwa ajili ya Kocha kuna wachezaji kama Antony wamesajiliwa kwa pesa ndefu ilimradi kumridhisha kocha, Wachezaji wote wapya wana mchango mkubwa sana, na wa zamani kama kina Dalot, Martial na Rashford wameongezeka viwango, watoto hao kina Garnacho wanakiwasha timu ipo kwenye njia nzuri, unaangalia mechi bila pressure, furaha imerudi vyote hivi ni vitu vya kupongezwa. Hatuwezi kuwajudge vibaya kama hii trend inaendelea, tutaongea vibaya kama huko mbeleni matatizo yatatokea tena.
 
Ronaldo " unasema kuhusu Sacho ,anawahi kwenda kutweet baada ya timu kupoteza ,anawahi kuja mazoezi lakin anakuwa na radio kubwa inalia muziki kwa sauti kubwa ,utafikili tupo disco ,ni Mambo ya ajabu kabisa "
 
ETH Anapongezwa kwa sasa ila najua muda si mrefu utamgeuka.umeshaambiwa tatizo la united sio Ronaldo wala ETH tatizo ni viongozi wa hii club hawataki kuwajibu kwa ajili ya future ya club tangu aondoke sir Alex Ferguson mpk leo hakina transformation ndo maana timu inafanya vibaya wamekuja akina pogba, van gal, mourinho,lukaku wote wameondoka wanasema uongozi wa club ni tatizo ndo maana timu haiendi top level leo ameongea Ronaldo tena bado mnabisha mtaendelea kusindikiza watu wanabeba mataji miaka na miaka ndo maana mnaitwa united fans hili swala mlibebe msiweke chuki tu dhidi ya Ronaldo ameongea ukweli hata kama hakutakiwa kuongea
Hakuna anayebisha kuhusu uongozi mbovu wa united,shida ya Ronaldo ni kama anatafuta huruma kwa fans.

Kumbuka summer jinsi alivoforce kutafuta timu uefa,mara asihudhurie pre season,mara atoke kabla ya game kuisha,mbaya zaid perfomance is poor.

Ego yake ndo ilimfanya akagombana na Mourinho way back Madrid,kaenda juve hivo hivo ,ego ego ego.

Aache utoto,nakumbuka hata enzi za Fagason pia akifanyiwa sub alikua anazira zira kama mwanamke.

Akwendeeeee
 
Ronaldo " siku moja nimetoka nje ya nyumban yangu usiku nilimuona Pogba anakimbia uchi kuzunguka nyumban yangu ,na ndio ulikuwa mwisho wangu kufunga tap in goal , ilikuwa ni uchawi wazi wazi "
 
Ronaldo " nakumbuka ilikuwa mechi ya mhimu kabisa lakin OLS hakuweza kuja kuhamasisha wachezaji kwenye vyumba vyetu,aliweka video kuonesha goli lake alilofunga kwenye UCL final mwaka 1999 kisha akasema tutumie ile mbinu ,lakin tuligongwa 5-0 hiyo siku ,ni Mambo ya kudhalilisha kabisa "
 
Nilikuwa naitafuta hii Comment mkuu, Kumponda Glazzer ni kutafuta tu huruma ya kuungwa mkono.

Ronaldo amekataa Kuingia Sub vs Spurs ni mechi ambayo tumecheza mpira wa maana kuliko mechi yoyote ile chini ya ETH.

Ameomba kufanya hii interview na imetolewa Exactly wakati wenzake wanashabikia ushindi na Fulham.

Akishinda Man U yeye vinamuuma huyu mtu ana Uchungu na Club? Anataka ushindi wote wa Man U upitie kwake,

Msimu uliopita wakati timu inafanya vibaya yeye anafunga alikuwa fresh tu, aliwahi pia kuwapiga madongo wenzie kwamba Tactic zina mchango mdogo wanatakiwa wajitume, ila sasa hivi mambo yamegeuka anaona kama Amesalitiwa.
Mimi niliumia sana ile game ya Spurs..Tulipiga mpira mkubwa sana..lakini badala ya kusubiri mpira uishe hata awapongeze vijana yeye akaondoka kabla ya mpira kuisha..Hili linaonyesha how selfish he is.

Sidhani kama kuna Shabiki wa United mwenye akili timamu ata-side na Ronaldo.
 
Mimi niliumia sana ile game ya Spurs..Tulipiga mpira mkubwa sana..lakini badala ya kusubiri mpira uishe hata awapongeze vijana yeye akaondoka kabla ya mpira kuisha..Hili linaonyesha how selfish he is.

Sidhani kama kuna Shabiki wa United mwenye akili timamu ata-side na Ronaldo.
Manchester United's prep for the season, formative months of Erik ten Hag's reign, the new culture being created, their most complete display (v Spurs) in ages, the high of a future star scoring a late winner, the collective... all undercut by Cristiano Ronaldo. That's betrayal......
 
Mtu analipwa £500k p/w..summer hii pia meneja wake alikuwa anapiga simu kwa kila sporting director anayemjua ili amtoe Ronaldo United..Yet Ronaldo anasema anahisi kusalitiwa ..

Achilia mbali drama nyingine alizotufanyia..

I hope ameshapata timu ya kwenda January hii.
 
Mimi niliumia sana ile game ya Spurs..Tulipiga mpira mkubwa sana..lakini badala ya kusubiri mpira uishe hata awapongeze vijana yeye akaondoka kabla ya mpira kuisha..Hili linaonyesha how selfish he is.

Sidhani kama kuna Shabiki wa United mwenye akili timamu ata-side na Ronaldo.
Team Ronaldo tupo
 
Van Gaal: "United is a commercial club"

Di Maria: "They signed me to sell shirts"

Ibrahimovic: "The structure is so old school" i found a small mentality

Mourinho: "You don't know what happen behind the scene" becoming second with United is my best achievement"

Sanchez "I asked my agent to get me back to Arsenal after the first training"

Bailly " They should stop playing the English guys and give everyone a chance"

Raf " United needs to change the whole structure" They need more facilities"

You may hate Ronaldo's act but you should understand his concerns.

Ronaldo should move on but the fans should also not be stupid. We should open our eyes and stand against the ownership they are the cause of all the problems.
 
Ni kwel kwenye uongozi kuna shida , hakuna asiejua,,,,

Ronaldo kaongea upupu Sana eti hamueshimu mwalimu,,,,

Alafu amevizia hakuna match hivi karibuni watu wanaenda world cup ndo akaongea ,,,,

Kingine anataka kutafuta huruma na support kwa Mashabiki waone kwamba ameonewa, mchezaji mkubwa wa caliber yake anakuwaje na vituko Namna hii,,, watoto/vijana Kama kina Alejandro/Anthony wanajifunza Nini toka kwake ?

Ni muendawazimu pekee ndiye atakaekuwa upande wake na kumtetea ,,,

Alianzia ujinga wake pre season, akaja Kuna match moja sikumbuki alitoka kabla muda , akaja ya Spurs, juzi aaambiwa match na Fulham hatoanza lakini atakuwa sehemu ya kikosi, yeye akadanganya anajisikia vibaya kwa hio hakusafiri na wenzie kwenda London,,,

Umri umemtupa, hawezi kufanya alichokuwa anafanya akiwa 20's ama early 30's ,!

Mwisho wa siku hakuna mchezaji aliemkubwa kuliko club never,,,, ! Watakuja wengi na wataondoka, that's all

Timu ipo Salama na kwenye right direction chini ya ETH, apewe muda aweke ideas zake pia apate players anaowahitaji, sio kitu Cha siku moja ,,,msimu huu hatuna Cha kupigania tushinde,,, sana sana tunahitaji kushiriki UEFA mwakani

Chief-Mkwawa Anahesabika Kama legend ? Kwangu Ni Big No, kaiexpose Sana club na dharau kwa mwalimu
 
Mtu analipwa £500k p/w..summer hii pia meneja wake alikuwa anapiga simu kwa kila sporting director anayemjua ili amtoe Ronaldo United..Yet Ronaldo anasema anahisi kusalitiwa ..

Achilia mbali drama nyingine alizotufanyia..

I hope ameshapata timu ya kwenda January hii.
Anakuja hap
20220827_123637.jpg
 
Back
Top Bottom