goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 806
- 886
Watu mko BUZA uko mnajifanya mnajua sana kuliko Ronaldo ambae yupo pale pale manchester acheni ujinga
Mda wa lunch huu , chawa wa man U wametoka ofsini wamepata mda wa kushika simu , angalia watakushukia kama mwewe 😁😁😁Ronaldo : " vyoo na mabafu yote pale OT ni ya zamani , uwanja unavuja ,Mimi sinyi soda lakin walikuwa wananilazimaisha kunywa mo energy "
Yani kuna watu humu washajimilikisha hii timu, wajuaji balaa, 😁😁😁Watu mko BUZA uko mnajifanya mnajua sana kuliko Ronaldo ambae yupo pale pale manchester acheni ujinga
Nilikuwa naitafuta hii Comment mkuu, Kumponda Glazzer ni kutafuta tu huruma ya kuungwa mkono.True..
Na mambo ya Glazer kila mtu anayajua kuyaongea ni kutafuta tu sympath..
Yaani anasema waziwazi kuwa hamweshimu EtH..
Mshenzi kabisa huyu jamaa.
Hakuna timu pale , full siasa , hata huyo ETH ni suala la mda tuu,United fans wenye akili kubwa tu ndo wanaweza kuanza kuelewa huu mchezo wengine wanamdiscuss Ronaldo discuss alichosema Ronaldo kimeshasemwa na watu wa ngapi ambao walikuwepo united ndo maana hii timu tangua aondoke fergie hakuna tena cha maana kinachoendelea
Sawa mkuu lakini sasa hivi tupo kwenye Right direction,ETH Anapongezwa kwa sasa ila najua muda si mrefu utamgeuka.umeshaambiwa tatizo la united sio Ronaldo wala ETH tatizo ni viongozi wa hii club hawataki kuwajibu kwa ajili ya future ya club tangu aondoke sir Alex Ferguson mpk leo hakina transformation ndo maana timu inafanya vibaya wamekuja akina pogba, van gal, mourinho,lukaku wote wameondoka wanasema uongozi wa club ni tatizo ndo maana timu haiendi top level leo ameongea Ronaldo tena bado mnabisha mtaendelea kusindikiza watu wanabeba mataji miaka na miaka ndo maana mnaitwa united fans hili swala mlibebe msiweke chuki tu dhidi ya Ronaldo ameongea ukweli hata kama hakutakiwa kuongea




Hakuna anayebisha kuhusu uongozi mbovu wa united,shida ya Ronaldo ni kama anatafuta huruma kwa fans.ETH Anapongezwa kwa sasa ila najua muda si mrefu utamgeuka.umeshaambiwa tatizo la united sio Ronaldo wala ETH tatizo ni viongozi wa hii club hawataki kuwajibu kwa ajili ya future ya club tangu aondoke sir Alex Ferguson mpk leo hakina transformation ndo maana timu inafanya vibaya wamekuja akina pogba, van gal, mourinho,lukaku wote wameondoka wanasema uongozi wa club ni tatizo ndo maana timu haiendi top level leo ameongea Ronaldo tena bado mnabisha mtaendelea kusindikiza watu wanabeba mataji miaka na miaka ndo maana mnaitwa united fans hili swala mlibebe msiweke chuki tu dhidi ya Ronaldo ameongea ukweli hata kama hakutakiwa kuongea








Mimi niliumia sana ile game ya Spurs..Tulipiga mpira mkubwa sana..lakini badala ya kusubiri mpira uishe hata awapongeze vijana yeye akaondoka kabla ya mpira kuisha..Hili linaonyesha how selfish he is.Nilikuwa naitafuta hii Comment mkuu, Kumponda Glazzer ni kutafuta tu huruma ya kuungwa mkono.
Ronaldo amekataa Kuingia Sub vs Spurs ni mechi ambayo tumecheza mpira wa maana kuliko mechi yoyote ile chini ya ETH.
Ameomba kufanya hii interview na imetolewa Exactly wakati wenzake wanashabikia ushindi na Fulham.
Akishinda Man U yeye vinamuuma huyu mtu ana Uchungu na Club? Anataka ushindi wote wa Man U upitie kwake,
Msimu uliopita wakati timu inafanya vibaya yeye anafunga alikuwa fresh tu, aliwahi pia kuwapiga madongo wenzie kwamba Tactic zina mchango mdogo wanatakiwa wajitume, ila sasa hivi mambo yamegeuka anaona kama Amesalitiwa.
Manchester United's prep for the season, formative months of Erik ten Hag's reign, the new culture being created, their most complete display (v Spurs) in ages, the high of a future star scoring a late winner, the collective... all undercut by Cristiano Ronaldo. That's betrayal......Mimi niliumia sana ile game ya Spurs..Tulipiga mpira mkubwa sana..lakini badala ya kusubiri mpira uishe hata awapongeze vijana yeye akaondoka kabla ya mpira kuisha..Hili linaonyesha how selfish he is.
Sidhani kama kuna Shabiki wa United mwenye akili timamu ata-side na Ronaldo.
Team Ronaldo tupoMimi niliumia sana ile game ya Spurs..Tulipiga mpira mkubwa sana..lakini badala ya kusubiri mpira uishe hata awapongeze vijana yeye akaondoka kabla ya mpira kuisha..Hili linaonyesha how selfish he is.
Sidhani kama kuna Shabiki wa United mwenye akili timamu ata-side na Ronaldo.


Anakuja hapMtu analipwa £500k p/w..summer hii pia meneja wake alikuwa anapiga simu kwa kila sporting director anayemjua ili amtoe Ronaldo United..Yet Ronaldo anasema anahisi kusalitiwa ..
Achilia mbali drama nyingine alizotufanyia..
I hope ameshapata timu ya kwenda January hii.