Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Huyu jamaa fala sana. Asipopata timu January ajiandae kutocheza club football mpaka August 2023.Ronaldo again.View attachment 2416025
Huyu jamaa fala sana. Asipopata timu January ajiandae kutocheza club football mpaka August 2023.Ronaldo again.View attachment 2416025
I really wish Man Utd waingie hasara wavunje mkataba aondoke soon.Huyu boya kaanza
View attachment 2415944
Duh CR 7
"Since Sir Alex Ferguson left I saw no evolution in the club, the progress was zero."
Ten Hag awe na ujasiri wa kumuweka benchi.Huyu jamaa fala sana. Asipopata timu January ajiandae kutocheza club football mpaka August 2023.
Ila kuna vitu kaongea bora tu kapiga bomu maana ni dongo direct kwa Glazers wanaomkumbatia.Ten Hag awe na ujasiri wa kumuweka benchi.
Ujasiri upi wakati kaongea FACTS bila kupapasa machoTen Hag awe na ujasiri wa kumuweka benchi.




Ronaldo kasema wanamtenga analala kitanda kimoja na Martinez ni mfupi chakula hapewi anadai mishahara ya miezi 6
Buggati yake mpka Leo ipo garage
Ten hag anamuonea wivu kisa yy ana nywele Kocha ana upara![]()

we jamaa fala sanaTen hag kashaonesha ujasiri long time wa kutompanga kikosini,huo ndo ujasiri na mwanaume ni vitendo sio kubwabwaja,Ten hag kaonesha kwa vitendo kwamba hamhitaji Ronaldo.Ujasiri upi wakati kaongea FACTS bila kupapasa macho
Kasema Man u bado zero progressRonaldo anasepa January, Ila lazima awachane ukweli , mnaendelea kujitumainisha matumaini hewa


Hakuna mwanadam anaweza kuwa sahihi asilimia mia lakini Martinez ni karata dume,anafanya kazi utafikiri timu ya baba yake.Ila kiukweli mie kuna vitu MARTINEZ ananikera sana. Anatoa pasi mbovu sana wakati timu ikiwa imepanda juu.
Ukitaka kuelewa aina ya mipira ninayoongelea angalia Match ya EPL vs Aston Villa goli la 3 MUFC wanafungwa.
Pia leo kafanya uzembe kama huo tukakoswa.
Aliyechangamka 😂😂😂Elanga ni kama Welbeck tu.
Progress is Zero!ni ukweli tangia 2013 Manchester United ipo ipo tu nothing new Ronaldo anaijua United na ana uchungu nayo for example Fergie alimpigia simu na akaamua kufuata moyo wake wa kurudi nyumbani but since hakuna mapya kabisaTen hag kashaonesha ujasiri long time wa kutompanga kikosini,huo ndo ujasiri na mwanaume ni vitendo sio kubwabwaja,Ten hag kaonesha kwa vitendo kwamba hamhitaji Ronaldo.
Ronaldo nae angekua kidume angeperfom uwanjani ili aweze kutetewa na wengi.
Japo kwa upande wa viongozi kuna baadh ya vitu kaongea vina ukweli,Glazer wapo kibiashara na nna wasiwas wanaweza kumuangusha Ten hag
We ni mjinga Tu hata kupoteza mipira ericksen ndio anamsababishia ?Sasa boss, unataka kusema Bruno hajui ama? Nimesema kuja kwa Eriksen kumemaliza kiwango cha Bruno? Eriksen kapunguza kuonekana kwa Bruno. Cheki stats hizi, na hapa wote wana games sawa 13 za EPL.
View attachment 2415912
Hizi ni za League cup:
View attachment 2415914
Hizi ni za Europa:
View attachment 2415915
Sasa hapo huoni jinsi Eriksen alicholeta kwenye timu, ambacho Bruno alikuwa akifanya?
As long as wote wanachangia kwenye timu, kama shabiki unataka ni zaidi?
Hao watu wanaosema Ronaldo kammaliza Bruno wanatumia stats zipi?
Sasa hayo ya sifa na wanawake siyo ya kisoka, ni yako tu.
Bangi mbichi ni mbaya.Ronaldo kasema wanamtenga analala kitanda kimoja na Martinez ni mfupi chakula hapewi anadai mishahara ya miezi 6
Buggati yake mpka Leo ipo garage
Ten hag anamuonea wivu kisa yy ana nywele Kocha ana upara![]()
