Ujasiri upi wakati kaongea FACTS bila kupapasa machoTen Hag awe na ujasiri wa kumuweka benchi.




Ronaldo kasema wanamtenga analala kitanda kimoja na Martinez ni mfupi chakula hapewi anadai mishahara ya miezi 6
Buggati yake mpka Leo ipo garage
Ten hag anamuonea wivu kisa yy ana nywele Kocha ana upara![]()

we jamaa fala sanaTen hag kashaonesha ujasiri long time wa kutompanga kikosini,huo ndo ujasiri na mwanaume ni vitendo sio kubwabwaja,Ten hag kaonesha kwa vitendo kwamba hamhitaji Ronaldo.Ujasiri upi wakati kaongea FACTS bila kupapasa macho
Kasema Man u bado zero progressRonaldo anasepa January, Ila lazima awachane ukweli , mnaendelea kujitumainisha matumaini hewa


Hakuna mwanadam anaweza kuwa sahihi asilimia mia lakini Martinez ni karata dume,anafanya kazi utafikiri timu ya baba yake.Ila kiukweli mie kuna vitu MARTINEZ ananikera sana. Anatoa pasi mbovu sana wakati timu ikiwa imepanda juu.
Ukitaka kuelewa aina ya mipira ninayoongelea angalia Match ya EPL vs Aston Villa goli la 3 MUFC wanafungwa.
Pia leo kafanya uzembe kama huo tukakoswa.
Aliyechangamka 😂😂😂Elanga ni kama Welbeck tu.
Progress is Zero!ni ukweli tangia 2013 Manchester United ipo ipo tu nothing new Ronaldo anaijua United na ana uchungu nayo for example Fergie alimpigia simu na akaamua kufuata moyo wake wa kurudi nyumbani but since hakuna mapya kabisaTen hag kashaonesha ujasiri long time wa kutompanga kikosini,huo ndo ujasiri na mwanaume ni vitendo sio kubwabwaja,Ten hag kaonesha kwa vitendo kwamba hamhitaji Ronaldo.
Ronaldo nae angekua kidume angeperfom uwanjani ili aweze kutetewa na wengi.
Japo kwa upande wa viongozi kuna baadh ya vitu kaongea vina ukweli,Glazer wapo kibiashara na nna wasiwas wanaweza kumuangusha Ten hag
We ni mjinga Tu hata kupoteza mipira ericksen ndio anamsababishia ?Sasa boss, unataka kusema Bruno hajui ama? Nimesema kuja kwa Eriksen kumemaliza kiwango cha Bruno? Eriksen kapunguza kuonekana kwa Bruno. Cheki stats hizi, na hapa wote wana games sawa 13 za EPL.
View attachment 2415912
Hizi ni za League cup:
View attachment 2415914
Hizi ni za Europa:
View attachment 2415915
Sasa hapo huoni jinsi Eriksen alicholeta kwenye timu, ambacho Bruno alikuwa akifanya?
As long as wote wanachangia kwenye timu, kama shabiki unataka ni zaidi?
Hao watu wanaosema Ronaldo kammaliza Bruno wanatumia stats zipi?
Sasa hayo ya sifa na wanawake siyo ya kisoka, ni yako tu.
Bangi mbichi ni mbaya.Ronaldo kasema wanamtenga analala kitanda kimoja na Martinez ni mfupi chakula hapewi anadai mishahara ya miezi 6
Buggati yake mpka Leo ipo garage
Ten hag anamuonea wivu kisa yy ana nywele Kocha ana upara![]()

HaichekeshiRonado kasema watu mule ndani walikuwa wanamtenga ,walimnyima kitanda Cha kulala alikuwa analala na Sancho ,walimuahidi swimming pool nzuri ya kuogelea lakin alikuwa anaenda kuoga Stamford bridge ,mshahara hawajamlipa mwezi wa tatu huu ,chakula Cha kulisha familia hawampi ,Kila siku wafanya kazi wa mule OT wanamlisha makande ,hakuna soft drinks na maji wakati wa HT kupozo Koo ,watu wote pale OT walikuwa wanamchukia ,kasema ETH anawivu sana ,na hamheshimu ,ilifika hatua Hadi nguo za mazoezi hapewi inabid afue zile alizotumia game iliyoisha wakati wengine wamepewa mpya ....kasema mengi sana Ronaldo
Kasema hata kanyaga Tena kwenye uwanja wa OT ....
Unatoa wapi muda wa kuandika upupu ?Ronado kasema watu mule ndani walikuwa wanamtenga ,walimnyima kitanda Cha kulala alikuwa analala na Sancho ,walimuahidi swimming pool nzuri ya kuogelea lakin alikuwa anaenda kuoga Stamford bridge ,mshahara hawajamlipa mwezi wa tatu huu ,chakula Cha kulisha familia hawampi ,Kila siku wafanya kazi wa mule OT wanamlisha makande ,hakuna soft drinks na maji wakati wa HT kupozo Koo ,watu wote pale OT walikuwa wanamchukia ,kasema ETH anawivu sana ,na hamheshimu ,ilifika hatua Hadi nguo za mazoezi hapewi inabid afue zile alizotumia game iliyoisha wakati wengine wamepewa mpya ....kasema mengi sana Ronaldo
Kasema hata kanyaga Tena kwenye uwanja wa OT ....
Kwenye suala la kocha kumkataa, EtH yupo sawa 100% wala hajawa betrayed. Kama hafai mifumo ya kocha asiambiwe?Ujasiri upi wakati kaongea FACTS bila kupapasa macho
Waambie tuu ukweli huyo tenhag wanayemsifia , msimu ujao mwez wa 12 watakuwa wamemtimua, 😁😁😁 sa hv anasingizia fungu la usajili , watampa fungu dirisha dogo na watamuongezea fungu dirisha kubwa , zen atakula kichapo mfulululizo mwez wa 12 next year wanamfungashia vilagoProgress is Zero!ni ukweli tangia 2013 Manchester United ipo ipo tu nothing new Ronaldo anaijua United na ana uchungu nayo for example Fergie alimpigia simu na akaamua kufuata moyo wake wa kurudi nyumbani but since hakuna mapya kabisa
Ronaldo kasema wanamtenga analala kitanda kimoja na Martinez ni mfupi chakula hapewi anadai mishahara ya miezi 6
Buggati yake mpka Leo ipo garage
Ten hag anamuonea wivu kisa yy ana nywele Kocha ana upara![]()




wewe jamaa una laana sio bure.