Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu soma hiyo link. Inaelekea hukuisoma hiyo habari. Moyes ndo kasema ni re-occurrence. Sijazungumzia RVP kama atarudi lini, nilichokuwa nadokeza ni jinsi inavyokuwa vigumu kwa mchezaji kurudi katika hali yake ya mwanzo ya kiuchezaji baada ya majeruhi na ukizingatiwa ana umri wa miaka 28 na kuendelea. Sina maana ya ku-Wum
The guy is 30 now....bt whatever it is I dont care on his return!!
 
Mkuu nina sherehekea Mapinduzi (MTUKUFU) macho yangu bado yana mninginio sioni vizuri unamanisha Arsenal ya Wenger?.
Hahahaaa pole kwa kula viroba..!! Najua wengi hamjaiamini Arsenal bt they deserve!! Wanacheza kitimu sana hawa mbwana...they don't depend on individual players
 
Hahahaaa pole kwa kula viroba..!! Najua wengi hamjaiamini Arsenal bt they deserve!! Wanacheza kitimu sana hawa mbwana...they don't depend on individual players

Haya Bwana weka matumaini, jiandae kukubali matokeo hasi pia hatupendi misiba ya ghafla.
 
The guy is 30 now....bt whatever it is I dont care on his return!!

Nyie goons uwa mnafurahisha kweli. RvP alipoumia mkashangilia kweli, lakini Walcot alivyoumia, washabiki wa Spurs walivyoshangilia mkaanza kusema eti hawana utu.

Sasa ebu ona huyu Walcot a.k.a the new Titi alivyo na mikosi....mwaka 2018 yawezekana akawa amedanji.... ImageUploadedByJamiiForums1389602730.307450.jpg
 
''Manchester United manager David Moyes sees tenure marked by £220m being wiped off stock market valuation

Manchester United manager David Moyes' failure to chase down Premier League's top four has seen the club's worth tumble by £220m in a month ..... ...... ....... ........ ......''




Get me out of here mourns Mo No .... ....



1555372_884773344896216_1268286490_n.jpg



Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


kny Mentor i n g I d i o t s ..... ...... ......



Nachubiri Nzi aje kujibu hii hoja khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hawezi akijibu nitam-credit £1.00 kwenye account yake khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

The news is only found in the Telegraph. Just as the Mirror, the newspaper is a rigid anti-Man Utd...

So I am a bit sceptical on the news...as it is found no where else apart from the Telegraph....



Nachikia Glazers menyewe kubali hiyo hasara chacha Nzi aje hapa akanushe. khe khe khe khe khe khe khe Hata NSE katangaza patamu hapo! kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Manchester United scouts remind me of a child in a sweet shop; they look at everything but don't actually know what they want.
 
Inasemekana alienda kumuangalia Claudio Marchisio,na jamaa alifunga bonge la goli

Ila inabidi kustep up hiyo game ya kusajili....

.....nilishasema huko nyuma......ManU hawawezi kushindana na timu nyingine kubwa kama Real, Chelsea, ManC endapo wote hao watakuwa wanamuhitaji mchezaji fulani......yaani hala ManU wakionyesha interest tu.......anakuja Pep, mara Jose...ooops mara Pellagrinni....basi hapo ManU kwisha kazi.......

....lets see this time......
 
Hii timu kwishney kabisa! Na j2 tunawafunga ndio wachukue maamuzi magumu ya kumfukuza Moyes!
 
------- manchester ni bonge la timu mtaongea mwisho mtakunya na hatimae mtalala ------- zenu
 
Rooney is back from personal training in a warm-weather Dubai. RvP will be training with the team in few days to come.

Sadly, they won't be available for selection at the pensioners.
 
Mtamfukuza tu huyo Kocha wenu! Hamuoni ameanza kuingiza hasara?

Ukifukuza kocha ndio unaongeza faida? Unajua kiasi walicholipwa AVB,Scolari na Di Matteo baada ya kufukuzwa.Di Matteo hadi leo analipwa mshahara na Roman wakati yuko kijiweni
 
Back
Top Bottom