Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukifukuza kocha ndio unaongeza faida? Unajua kiasi walicholipwa AVB,Scolari na Di Matteo baada ya kufukuzwa.Di Matteo hadi leo analipwa mshahara na Roman wakati yuko kijiweni


Sawa lkn hiyo ndio jeuri ya Fwedhaaa! Sasa nyinyi mkiendelea kuogopa kumlipa huyo kocha Km Mtamfukuza! Iatawagalimu sn! Yani mtapotea kabisa na kua watu Wa kuchungulia tu Na kurudi chini!
 
.....nilishasema huko nyuma......ManU hawawezi kushindana na timu nyingine kubwa kama Real, Chelsea, ManC endapo wote hao watakuwa wanamuhitaji mchezaji fulani......yaani hala ManU wakionyesha interest tu.......anakuja Pep, mara Jose...ooops mara Pellagrinni....basi hapo ManU kwisha kazi.......

....lets see this time......

Una uhakika chifu?

Kwa hiyo leo Shitty na Chelsea ni timu kubwa mbele ya #ManUnited

Mimi nakupa contrary to what you are saying:

RvP: Shitty walimtaka, lakini RvP akachagua success over money!

Sasa kutoka kwako, naomba:

1. Useme mchezaji aliyetakwa (officially, siyo kwa udaku) na #ManUnited kisha Real wakamchukua.

2. Useme mchezaji aliyetakwa na United, kisha Jose, Pep au Pellegrini akamchukua. Na zingatia matumizi yangu ya majina ya makocha, na siyo ya timu.
 
Sawa lkn hiyo ndio jeuri ya Fwedhaaa! Sasa nyinyi mkiendelea kuogopa kumlipa huyo kocha Km Mtamfukuza! Iatawagalimu sn! Yani mtapotea kabisa na kua watu Wa kuchungulia tu Na kurudi chini!
Kama sisi tunapotea mbona wewe unasikitika badala ya kushangilia? Kila klabu ina utamaduni wake,Chelsea utamaduni wenu ni kufukuza makocha so usilazimishe Man United iwe Chelsea
 
Kama sisi tunapotea mbona wewe unasikitika badala ya kushangilia? Kila klabu ina utamaduni wake,Chelsea utamaduni wenu ni kufukuza makocha so usilazimishe Man United iwe Chelsea


Mimi nakueleza sio Km nasitika! Komaeni!
 
View attachment 131656

....Dahhh?....
Maskini, wenye nyumba hii sijui limewafika lipi...!


Cc; BAK Wacha1 pierre.fm Balantanda Viper Sizinga Wandugu Masanja Rejao Mentor?

....kumetokea nini mtaa huu?

Hodi hodi wenyewe mpo?
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


[h=3]''SIMULATION SINNERS[/h]These are the bookings for diving in the Premier league this season.
Manure and Chelsick players are in bold:


September

Ashley Young – Man Utd 2 Crystal Palace 0


Marouane Chamakh – Soton 2 Palace 0


Andros Townsend – Spurs 1 Chelsea 1


October

Adnan Januzaj – Sunderland 1 Man Utd 2


Leighton Baines – Everton 2 Hull City 1


November

Ross Barkley – Everton 3 Liverpool 3


December

Michael Essien – Chelsea 3 Soton 1


Robbie Brady – Hull 3 Liverpool 1


Adnan Januzaj - Manchester United 3 West Ham 1


Jordon Mutch – Cardiff City 2 Sunderland 2

January​
Emanuele Giaccherini – Sunderland 0 Villa 1

Oscar – Southampton 0 Chelsea 3


Adnan Januzaj – Man Utd 1 Spurs 2''






article-2540644-1A624E7500000578-663_634x367.jpg

article-2540644-1A3CAD7900000578-749_634x405.jpg
icon_camera_90x68.png
+8

Reputation taking a dive: Adnan Januzaj was shown a yellow card for this 'simulation' against West Ham






article-2540644-1A608C9200000578-754_634x711.jpg
icon_camera_90x68.png
+8

Downward spiral: This fall against Tottenham on New Year's Day also earned Januzaj a booking






Tinachubiri mashindano ya diving .... .... ... khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-2540644-1BD0DCC6000005DC-747_634x420.jpg





Fall guy: Ashley Young (left) was cautioned for this dive against Crystal Palace

article-2540644-1AB7678500000578-530_636x419.jpg



Oooopssss nilimchahau Young Diver khe khe khe khe khe khekhe eeeeeeeeeeeeeeee

 
After our win against Fulham I want Yanited to take some points off Chelsea tomorrow, since they aint threat to Arsenal's title ambitions . Let's make it two horse race Arsenal and Citey. Come on Yanited.
 
After our win against Fulham I want Yanited to take some points off Chelsea tomorrow, since they aint threat to Arsenal's title ambitions . Let's make it two horse race Arsenal and Citey. Come on Yanited.


Acha zako Hizo Wewe!
 
(Essien, Obi),



(David Villa)


(kwa nini unakimbia category ya timu na unani-limit kwa makocha pekee?)

Chifu, unakumbuka umafia uliofanyika hadi Mikel akatinga London? Dogo alikuwa keshasajiliwa na United, hadi akapiga picha na jezi ya United, kama nakumbuka vizuri ilikuwa namba 21. Badae kasemekana kapotea; mara kuja kupatikana yupo London, anasema United hawakumshirikisha wakala wake na yeye anapenda kucheza Chelsea zaidi. Unakumbuka United na ile timu yake ya zamani waliifungulia kesi Chelsea, na hadi kwenda Chelsea, Chelsea ilibidi wafanye makubaliano na United na ile timu. Ina maana kuna pesa hapo ziliwatoka tena.

Kuhusu, Essien na Villa, United hawakuwahi kuweka ombi rasmi (na maana kuweka mezani ombi na pesa ya usajili), zaidi ya maneno ya vyombo vya habari.

Nimeweka makocha kwa vile katika post yako, awali ulisema timu na kisha ukasema makocha. Sasa, tunaelewa timu alizopita Jose, alizopita Pellegrini na hata Pep. Sasa yawezekana United ishashindana na Barcelona katika kusajili wakati Pep hayupo Barca. Vivyo hivyo kwa Pellegrini, pengine Shitty washashindana na United kipindi Pellegrini hayupo. Hata Jose, katika timu alizopita (Porto, Inter na Real), pengine timu hizo zilishashindina na United wakati Jose hayupo.

Sasa mimi nikasisitiza kwa makocha ili kuweza kueleza kwa muktadha huo.
 
After our win against Fulham I want Yanited to take some points off Chelsea tomorrow, since they aint threat to Arsenal's title ambitions . Let's make it two horse race Arsenal and Citey. Come on Yanited.

Ok EPL Chumps.....
 
Ok EPL Chumps.....

Doh. Matusi ya nini tena? Nawaombea mpate matokeo mazuri (at least a draw) kesho, wewe unaanza kutu-insults. Wapenzi wa Man Utd mna jazba kinoma. Mmekuwa kama Simba aliyenyang'anywa mnofu na hana la kufanya.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Doh. Matusi ya nini tena? Nawaombea mpate matokeo mazuri (at least a draw) kesho, wewe unaanza kutu-insults. Wapenzi wa Man Utd mna jazba kinoma. Mmekuwa kama Simba aliyenyang'anywa mnofu na hana la kufanya.

Matusi yepi? Si nimekubaliana na kile ulichokisema ama?
 
Ningeomba kwa leo niwe Shabiki wa hii timu japo kwa muda!


Wewe kua muwazi tu! Usijifiche!

Leo Lazima unyingwe na huyo Moyes wenu wanamfukuza Leo!

Wewe huoni mpk saizi wenye Uzi wamejificha Darini?

Pole Yao mashetani weupe!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
....LET THE BEST "DIVER" WIN THE MATCH TODAY!

funny-diver-face-8.jpg


...and the best diver's title goes to....Jumanji/Young/Oscar/E'too...?

....hehehehehhh

#Gademu!!! ..leo uaneni, mchinjane, mlane nyama, ....matokeo yoyote kwangu ni kicheko tu!
 
Doh. Matusi ya nini tena? Nawaombea mpate matokeo mazuri (at least a draw) kesho, wewe unaanza kutu-insults. Wapenzi wa Man Utd mna jazba kinoma. Mmekuwa kama Simba aliyenyang'anywa mnofu na hana la kufanya.

....Heheheehhh, tena Simba Kibogoyo!


Man United.jpg

kabakia kuunguruma tu hata Big G hawezi kula.
Hebu kazeni buti na leo basi angalau mcheze Inter Toto Cup!​
 
Back
Top Bottom