Mwanaume unafutalia epl harafu hujui fantasy premier league





Sasa msiwe mnawalaumu makocha ,maana hata kucheza fantasy hamuwezi ....
Kiufupi mkuu fantasy Premier league unapewa £100million unasajili wachezaji wa epl kutoka timu za epl 20 unazozijua wewe .... goalkeeper 2 ,beki 5 , midfielders 5, na forward 3 ...kwa hio pesa haitakiwi kuzidi hio Hela ..wachezaji wanakuwa sokon kwa bei zao kina salah ,kdb ,haaland ,mount ,Kane ,son .....wote...
Harafu weekend ikiwa inacheza epl unapanga kikosi ,then kuna rate na point unazopata kulingana na performance ya mchezaji ....!
Kuna fantasy Kila mwisho wa mwezi mshindi wa kwanza mwenye point nyingi anapata 400k,wa pili na tatu wanapata chochote ....
Kama unajua kupanga kikosi na upo vzuri unaweza kucheza kuanzia week ijayo epl ikirudi .....
Pia kuna fantasy kwenye uefa ...uefa inaanza kesho so ni wewe tu japo hii Haina watu wengi .....
Mfano hiki ni kikosi changu ,nasubili week ijayo kuvuna point
View attachment 2346768