Dear Man United fans
please lower your voices, you're making noise for the Mighty Gunners on top of the table![]()



Umetumwa nini wewMaguire will be back!!
Hii game inamuhitaji Maguire ingawa hana kasi za kukabiliana na Jesus ila ana uwezo mkubwa wa ku anticipate na kublock penetration passes kutoka kwa viungo wa Arsenal. Pacha yake na Martinez itasaidia.
10hag bring him back.
Mpaka Sasa wewe Ni mbwa hahahaha😂😂😂😂🤣🤣Nyumbu mkishinda Leo mniite mbwa nimekaa pale![]()
Timu kubwa ipi? Mpaka Sasa sijaona timu kubwa inayoongoza ligi.Una shobo kali sana dogo kwa timu kubwakubwa zinazoongoza ligi,
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Nakubali mzee baba.Arsenal kwa kifupi wame yakanyaga wanaingia kinyume nyume kwenye ghetto la OT, lazima arsenal awe wa mfano leo kujua tupo serious arsenal mje kabisa na jeneza.
Mmeya kanyaga wakina@Arone Ramsey leo lazima mdeki bahari leo lazima mpigwe dog style.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Man united 3 vs Arsenal 0
12:30 jioni
Mpapaso leo ni lazima
#GGMU
View attachment 2344990
Mkuu ungekua unafanya hivi kila siku (kutohoa kwa kimatumbi) ungekua unatutendea haki mpaka sisi ambao mapumziko tulikua tunapitia madirishani badala kutokea mlangoni.Jurrien Timber: "Mambo mengi yaliyosemwa hayana ukweli. Kama watu waliposema kuwa Van Gaal aliniambia kuwa nisiende Manchester United, tena yeye aliniambia kuwa pale nitapata namba. Hajawahi kunionya kuhusu hii wala klabu ile."
Are u serious🙄Maguire will be back!!
Hii game inamuhitaji Maguire ingawa hana kasi za kukabiliana na Jesus ila ana uwezo mkubwa wa ku anticipate na kublock penetration passes kutoka kwa viungo wa Arsenal. Pacha yake na Martinez itasaidia.
10hag bring him back.
Juu kuna baridi kali.Dear Man United fans
please lower your voices, you're making noise for the Mighty Gunners on top of the table![]()
Hapo kwa Mctomney napendekeza aanze Fredy.My Starting XI vs Arsenal
=======
De Gea
Dalot Varane Martinez Malacia
Casemiro --------McTominay
---------------Eriksen------------
Rashford Fernandes Sancho
========
Rashford kama namba 9 hamna kitu kabisa ni bora ale flank moja then Fernandes acheze false 9.
McTominay amecheza vizuri kiasi recently..nitamwanzisha afanye kazi chafu na Casemiro pale kati..Eriksen juu akitengeneza chances..
=====
GGMU
Wenzako wana wanga usiku, wewe unawanga mchana kweupe kabisa.Maguire will be back!!
Hii game inamuhitaji Maguire ingawa hana kasi za kukabiliana na Jesus ila ana uwezo mkubwa wa ku anticipate na kublock penetration passes kutoka kwa viungo wa Arsenal. Pacha yake na Martinez itasaidia.
10hag bring him back.
Mchizi boti usiogope.manjestaa Leo muna Jambo leenu ..wale watoto mchele mchele arse8 kandamiza bao mbili za nguvu kesho waamke na maumivu ya kutosha.hahaaha