Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

De Gea checking if Xhaka is in the Arsenal squad🥶
IMG_20220904_132802.jpg
 
My Starting XI vs Arsenal

=======

De Gea

Dalot Varane Martinez Malacia

Casemiro --------McTominay

---------------Eriksen------------

Rashford Fernandes Sancho

========

Rashford kama namba 9 hamna kitu kabisa ni bora ale flank moja then Fernandes acheze false 9.

McTominay amecheza vizuri kiasi recently..nitamwanzisha afanye kazi chafu na Casemiro pale kati..Eriksen juu akitengeneza chances..

=====

GGMU
 
Maguire will be back!!

Hii game inamuhitaji Maguire ingawa hana kasi za kukabiliana na Jesus ila ana uwezo mkubwa wa ku anticipate na kublock penetration passes kutoka kwa viungo wa Arsenal. Pacha yake na Martinez itasaidia.

10hag bring him back.
 
Arsenal kwa kifupi wame yakanyaga wanaingia kinyume nyume kwenye ghetto la OT, lazima arsenal awe wa mfano leo kujua tupo serious arsenal mje kabisa na jeneza.

Mmeya kanyaga wakina@Arone Ramsey leo lazima mdeki bahari leo lazima mpigwe dog style.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha


Prediction

Man united 3 vs Arsenal 0

12:30 jioni

Mpapaso leo ni lazima

#GGMU
View attachment 2344990
Nakubali mzee baba.
Ushindi leo ni lazima, kama kifo.
Leo tunaenda kuwafanya tulicho wafanya 2004.

Msimu wa 2003, walichukua ubingwa (wa mwisho ktk ligi) bila kufungwa.

Walipo kutana na sisi msimu ulio fuata, tukawachafulia lekodi yao hiyo kwa kuwachapa goli mbili bila kama sikosei.

Magoli yalifungwa na Van Nestrowey na Roony.


Roony ndio ilikua mechi yake ya kwanza kucheza dhidi ya Man utd & Arsenal.

Tangu hapo Arsenal haikuwahi kua vizuri tena mpaka leo.
 
Nyumbu nipigieni arsenyeto hao wafunge mabakuli yao...we are manchester
 
Jurrien Timber: "Mambo mengi yaliyosemwa hayana ukweli. Kama watu waliposema kuwa Van Gaal aliniambia kuwa nisiende Manchester United, tena yeye aliniambia kuwa pale nitapata namba. Hajawahi kunionya kuhusu hii wala klabu ile."
Mkuu ungekua unafanya hivi kila siku (kutohoa kwa kimatumbi) ungekua unatutendea haki mpaka sisi ambao mapumziko tulikua tunapitia madirishani badala kutokea mlangoni.
 
Maguire will be back!!

Hii game inamuhitaji Maguire ingawa hana kasi za kukabiliana na Jesus ila ana uwezo mkubwa wa ku anticipate na kublock penetration passes kutoka kwa viungo wa Arsenal. Pacha yake na Martinez itasaidia.

10hag bring him back.
Are u serious🙄
 
Dear Man United fans

please lower your voices, you're making noise for the Mighty Gunners on top of the table
Juu kuna baridi kali.
Kwakua mumepanda na hicho ki singlendi chenu naamini mutashuka tu bila kupenda.

Ngoja leo tuwachojoeni hicho ki ngendi, tuone kama mutakua na uwezo wa kuukazi upepo.
 
My Starting XI vs Arsenal

=======

De Gea

Dalot Varane Martinez Malacia

Casemiro --------McTominay

---------------Eriksen------------

Rashford Fernandes Sancho

========

Rashford kama namba 9 hamna kitu kabisa ni bora ale flank moja then Fernandes acheze false 9.

McTominay amecheza vizuri kiasi recently..nitamwanzisha afanye kazi chafu na Casemiro pale kati..Eriksen juu akitengeneza chances..

=====

GGMU
Hapo kwa Mctomney napendekeza aanze Fredy.

Tomney anatumia nguvu nyingi akili kidogo.
Nahisi ana upepo na kocha tu, ila kiuhalisia hamuweki nje Freddy.
 
Maguire will be back!!

Hii game inamuhitaji Maguire ingawa hana kasi za kukabiliana na Jesus ila ana uwezo mkubwa wa ku anticipate na kublock penetration passes kutoka kwa viungo wa Arsenal. Pacha yake na Martinez itasaidia.

10hag bring him back.
Wenzako wana wanga usiku, wewe unawanga mchana kweupe kabisa.

Ndio maana maisha yamekua magumu kama chuma, kwa ajili ya wachawi kama nyinyi.
 
manjestaa Leo muna Jambo leenu ..wale watoto mchele mchele arse8 kandamiza bao mbili za nguvu kesho waamke na maumivu ya kutosha.hahaaha
Mchizi boti usiogope.
Nimejipanga kuwapasua hao viazi mpaka muhogo wauite muhoho.

Nitahakikisha leo wanalala mapema sana, na lile jukwaa lao la mipasho litaanza poa kama uji wa chekechea.
 
Back
Top Bottom