Vp Leo katika mihangaiko yako, hujakutana na watu wenye furaha?Kosi la ushindi kabisa aise.View attachment 2345637


Naona Antony kaanza mazima.Kosi la ushindi kabisa aise.View attachment 2345637
Cjajua ana shida gani. Naona Antony ameingia dorect kwenye 1st elevenCasemiro kwa nini kocha hampangi..he is not fit au nini hasa..
Hapo katikati sijapaelewa..
Anyway,GGMU
Wanatokaje arse8Kosi la ushindi kabisa aise.View attachment 2345637
Mechi haijaanza mkuu pengine wamekosea.Hapa sijaelewa yani bruno yupo juu ya antony Chief-Mkwawa hebu nitoe tongo tongo hapaView attachment 2345646
Wako vizur sana msimu huuHawa BHA mbona kama wamekiwasha hivi.
Mpaka sasa dakika ya 78 anaongoza bao 4 kwa 2.
Rashford anacheza Role ya Tadic, ana fight na kulink up, kufunga sio priority ya kwanza kwake. Martial akipona atakuwa ndio striker wetu link up play yake ni 2nd to none Epl pale, ila kwa Sasa Rashford ni bora kuliko Ronaldo kwa huo mfumo.Acha nimuachie tu kocha points zake maana yeye ndiyo anakaa na hiki kikosi mazoezini.
Ila Rashford hayupo clinical akikaa kama CF. Huyo McTominay lazima kuna kitu Casemiro hafanyi vizuri maana kama suala ni ku-settle Anthony kaingia moja kwa moja First XI.
Nilitamani kuona combination ya Casamiro na Fred.Kosi la ushindi kabisa aise.View attachment 2345637
Huu mwaka wa world cup mkuu, Wachezaji wote hawa watacheza mechi 30+ kama tutafika mbali cup competition.Nilitamani kuona combination ya Casamiro na Fred.
Ni kweli lakini mechi ya leo ni ya kupambana na vitoto visumbufu vinavyocheza pasi fupi fupi, wasipokuwa makini itakuwa shida mid field.Huu mwaka wa world cup mkuu, Wachezaji wote hawa watacheza mechi 30+ kama tutafika mbali cup competition.
Leicester kafa 5-2 mkuu