Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Acha nimuachie tu kocha points zake maana yeye ndiyo anakaa na hiki kikosi mazoezini.
Ila Rashford hayupo clinical akikaa kama CF. Huyo McTominay lazima kuna kitu Casemiro hafanyi vizuri maana kama suala ni ku-settle Anthony kaingia moja kwa moja First XI.
Ila Rashford hayupo clinical akikaa kama CF. Huyo McTominay lazima kuna kitu Casemiro hafanyi vizuri maana kama suala ni ku-settle Anthony kaingia moja kwa moja First XI.