Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kosi la ushindi kabisa aise.
1662301917554.jpg
 
Acha nimuachie tu kocha points zake maana yeye ndiyo anakaa na hiki kikosi mazoezini.

Ila Rashford hayupo clinical akikaa kama CF. Huyo McTominay lazima kuna kitu Casemiro hafanyi vizuri maana kama suala ni ku-settle Anthony kaingia moja kwa moja First XI.
 
Acha nimuachie tu kocha points zake maana yeye ndiyo anakaa na hiki kikosi mazoezini.

Ila Rashford hayupo clinical akikaa kama CF. Huyo McTominay lazima kuna kitu Casemiro hafanyi vizuri maana kama suala ni ku-settle Anthony kaingia moja kwa moja First XI.
Rashford anacheza Role ya Tadic, ana fight na kulink up, kufunga sio priority ya kwanza kwake. Martial akipona atakuwa ndio striker wetu link up play yake ni 2nd to none Epl pale, ila kwa Sasa Rashford ni bora kuliko Ronaldo kwa huo mfumo.
 
Back
Top Bottom