Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Scot namuitaga MJEDA, namkubali sana huyu chalii, sio kama anajua mpira sana hapana! Huyu ni aina ya mchezaji all the time United inatakiwa kuwa nae. Hana mambo mengi ni kupambana kwa ajili ya timu.
Respect nyingi sana kwakeView attachment 2347600
Huyu jamaa katoka kutukanwa na kukejeliwa saana, kapindua meza ndani ya wiki moja tu sasa hivi kila mtu anamsifia.
Huyu mwamba mimi hua nnayakubali yale mashuti yake ya nje ya 18 kwenye goli la mpinzani.
 
Huyu jamaa katoka kutukanwa na kukejeliwa saana, kapindua meza ndani ya wiki moja tu sasa hivi kila mtu anamsifia.
Huyu mwamba mimi hua nnayakubali yale mashuti yake ya nje ya 18 kwenye goli la mpinzani.
Timu ikiwa out of form, hata mchezaji mzuri ataonekana mbovu. Ila timu ikiwa vizuri, hata yule mbovu ataonekana mzuri, wachezaji wanahitaji confidence ili waperform
 
Muda huu Habari ya tuchel kufukuzwa imenishitua ila haijanishangaza sana kwani nilijua itatokezea ila sikutegemea kama itakua mapema.

  1. Wiki mbili zilizopita niliandika humu ndani, hadithi ya tuchel inafanana kabisa na hadithi ya mourinho
  2. Wote walilalamikia vikosi vyao wakati wa preseason
  3. Wote hawakuridhishwa na sajili zilizofanyika
  4. Wote waliwabwatukia wachezaji hadharani
  5. Wote walifanya vibaya mechi za maandalizi
  6. Wote walitofautiana mawazo na mabosi japokuwa haijawekwa wazi
  7. Jose alifukuzwa na tuchel naye atafukuzwa
  8. Wachezaji wa mpira wanaweza kumgeuza guardiola aonekane ni nsajigwa mbele ya hadhira ikiwa atapoteza nguvu na ushawishi katika viwanja vya mazoezi
  9. Waliokuwa hawajacheza na chelsea wajiandae kuanzia wiki ijayo, wiki hii watajikaza kidogo ila wiki ijayo watawasha moto
 
Amesababisha tumemsahau Pogba mapema sana.
Mkuu utaniwia radhi binafsi sijawahi ona umuhimu wa Pogba Man u. Tena kuna wakati alipokuwa majeruhi tulicheza vyema aliporudi tukaanza kufungwa na sababu ni yeye kupokonywa mpira pale anapolazimisha chenga. Alipoondoka Pogba nilifurahi sana nasubiri Maguire naye asepe.
 
Muda huu Habari ya tuchel kufukuzwa imenishitua ila haijanishangaza sana kwani nilijua itatokezea ila sikutegemea kama itakua mapema.

  1. Wiki mbili zilizopita niliandika humu ndani, hadithi ya tuchel inafanana kabisa na hadithi ya mourinho
  2. Wote walilalamikia vikosi vyao wakati wa preseason
  3. Wote hawakuridhishwa na sajili zilizofanyika
  4. Wote waliwabwatukia wachezaji hadharani
  5. Wote walifanya vibaya mechi za maandalizi
  6. Wote walitofautiana mawazo na mabosi japokuwa haijawekwa wazi
  7. Jose alifukuzwa na tuchel naye atafukuzwa
  8. Wachezaji wa mpira wanaweza kumgeuza guardiola aonekane ni nsajigwa mbele ya hadhira ikiwa atapoteza nguvu na ushawishi katika viwanja vya mazoezi
  9. Waliokuwa hawajacheza na chelsea wajiandae kuanzia wiki ijayo, wiki hii watajikaza kidogo ila wiki ijayo watawasha moto
Inaonekana wachezaji wa sasa wana nguvu sana kuliko makocha wao.

Yani wanaweza wakaamua kucheza vibaya kisa hawampendi kocha.

Wachezaji wa Man Utd waliwatimulisha kina Ole, Mou kisa wameamua tu. Sijui kama Ten Hag atakuja kusalimika.

Hii tabia ikomeshwe. Wachezaji wapunguziwe nguvu na ushawishi.
 
Inaonekana wachezaji wa sasa wana nguvu sana kuliko makocha wao.

Yani wanaweza wakaamua kucheza vibaya kisa hawampendi kocha.

Wachezaji wa Man Utd waliwatimulisha kina Ole, Mou kisa wameamua tu. Sijui kama Ten Hag atakuja kusalimika.

Hii tabia ikomeshwe. Wachezaji wapunguziwe nguvu na ushawishi.
Ten hag kaonyesha mwanga. Kwenye kugoma kuna ring leaders. Alisha wa identify hao ndio maana wanaanzia bench.
Kuwavua power, and take control of dress room.
Hata hivyo ana wachezaj wake aliokuja nao. You can see results
 
Inaonekana wachezaji wa sasa wana nguvu sana kuliko makocha wao.

Yani wanaweza wakaamua kucheza vibaya kisa hawampendi kocha.

Wachezaji wa Man Utd waliwatimulisha kina Ole, Mou kisa wameamua tu. Sijui kama Ten Hag atakuja kusalimika.

Hii tabia ikomeshwe. Wachezaji wapunguziwe nguvu na ushawishi.
Uzuri wa Ten Hag hana mambo mengi, haangalii sura kumuweka mchezaji bench na bado analeta watu wake ambao ni vigumu sana kumgeuka.

Wachezaji wa United wakiangalia mechi za PL Ronaldo na captain la dunia wamekaa bench wanakosa nguvu ya kuleta ujinga wao.

Pia kaja kipindi kizuri wachezaji wote wanajituma waitwe timu zao za taifa.
 
Back
Top Bottom