Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,638
- 47,685
Timu ikiwa out of form, hata mchezaji mzuri ataonekana mbovu. Ila timu ikiwa vizuri, hata yule mbovu ataonekana mzuri, wachezaji wanahitaji confidence ili waperformHuyu jamaa katoka kutukanwa na kukejeliwa saana, kapindua meza ndani ya wiki moja tu sasa hivi kila mtu anamsifia.
Huyu mwamba mimi hua nnayakubali yale mashuti yake ya nje ya 18 kwenye goli la mpinzani.

UEFA Europa League
Old Trafford
Saa 4:00 usiku
Real Sociedad!! 

