Hiyo yote tu imradi naye aonekane wakwanza kutoa updateWaandishi wetu View attachment 2345701
Yani kwa dk 45 hajafanya makosa na kafunga goli ila tayari umeona hana thamani?Anton kafunga ila huyu jamaa kama hajatulia vileee thaman ya 100mil siioni hapa aiseeeee
.Daaaah na jiran zetu wooote tumekula hasara 😄Yani kwa dk 45 hajafanya makosa na kafunga goli ila tayari umeona hana thamani?.
Waliomnunua Nunez waseme vipi?
Unajivunia ile Id yako nyingine.Nyumbu asipokufa hii game siingii humu JF miezi mitatu....
Dagaa haoKambaaaaaaaaa!!!!
Nilisema mapema.TEN HAG asipobadilisha kiungo hapo kati, hii game hatutoboi. Upande wa Malacia kunavuja balaa, Sancho kapotea hii game.
Unasikiliza kwenye radio nini?Kambaaaaaaaaa!!!!
Dogo asipotolewa tunapigwa za kutosha, Saka anavuma sana upande wake.Malacia kaziwa na Saka