Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,294
Heee maiti gani tena? Si tulishakubaliana nyie ni unbeatenNyie nyumbu msijisifu sana mmeipiga bomu maiti
Heee maiti gani tena? Si tulishakubaliana nyie ni unbeatenNyie nyumbu msijisifu sana mmeipiga bomu maiti
Kwani Man u kaanza kumfunga Arsenal leo?Mbeleko
Ule mpira wanaocheza aseno tungeucheza sie bao 8 zingejirudiaIla hawa watoto wanacheza mpira walah
sema mwisho wa siku point 3 ndo mpango mzima...tutafika tu
GGMU![]()
Si official account, nimeiona twitterKumbe kuna man utd swahili?
Mchezaji anaitwaga Bukayo? Ulisikia wapi











Unaweza kuiombea mkopo CRDBIle pasi ya brunoooo hatari
Unajisikiaje?Tunawakanda Tena ,hamna timu ya kucheza na Arsenal
Hivi Kuna mchezaji wa nyumbu anaingia kwenye kikos Cha Arsenal kwasasa?
Kesho tunawapigia samba
Na vile mnarukaruka pale Kati ,Xhaka lazima amsalimie degea










Vipi unahali gani hukoIla Rashford kama ndo mchezo wake huu ni Bora aingie Ronaldo tu sioni nini anafanya huko mbele hawezi hata kukaa na mpira.
Leo Rashford ni Man of the match, amempokonya Anton hiyo heshima. Goli zote 3 anahusika.
kwangu mimi MOTM ni ni Eriksen, goli zote 3 ametengeneza yeye akitoa mpira kwenye wakati mgumu na kupeleka mbele, anafanya kazi ya Bruno na Attacker wengine kuwa rahisi sana.Hata kama sijui soka lakini Erickson anawakaba wenzake.
Eriksen 🔥Tuwajudge wachezaji kwa perfomance zao..McTominay is on fire..amekuwa na few shaky moments lakini amelimiliki dimba vizuri..nilikuwa sana na wasiwasi.
Jamaa kama hayupo vile ila anafanya mambo makubwa sana..Eriksen![]()