Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo Rashford ni Man of the match, amempokonya Anton hiyo heshima. Goli zote 3 anahusika.
Hata kama sijui soka lakini Erickson anawakaba wenzake.
kwangu mimi MOTM ni ni Eriksen, goli zote 3 ametengeneza yeye akitoa mpira kwenye wakati mgumu na kupeleka mbele, anafanya kazi ya Bruno na Attacker wengine kuwa rahisi sana.
 
Back
Top Bottom