raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,503
- 35,686
Si unajua tena wanasema first impression matters 😀Game ya kwanza tu unataka umuone messi mkuu?? Ni Bora kuliko elangaa so far.
Si unajua tena wanasema first impression matters 😀Game ya kwanza tu unataka umuone messi mkuu?? Ni Bora kuliko elangaa so far.
Ndo wabongo tulivyoGame ya kwanza tu unataka umuone messi mkuu?? Ni Bora kuliko elangaa so far.
Dribbling tackling zake naona wa kawaidaNdio kwanza mechi yake ya kwanza. Ligi mpya timu mpya.
Judge him after mechi 10 au tano. Kwa leo mapema sana
Malacia wamemfanya uchochoro sana leoMalacia kapotea vibaya
Mechi ya kwanza unataka uone nini?Anton kafunga ila huyu jamaa kama hajatulia vileee thaman ya 100mil siioni hapa aiseeeee
Ahahahaha afu anajiita kocha mchezajiWaandishi wetu View attachment 2345701
Ngoja apewe muda 👍Mechi ya kwanza unataka uone nini?
Na amekupa na goli kabisa.
Si unajua tena wanasema first impression matters![]()

tumpe mda Epl ngumu.Aise!!!!Anton kafunga ila huyu jamaa kama hajatulia vileee thaman ya 100mil siioni hapa aiseeeee
Yah hata wakifungwa unaweza kutoka na kusema wamefungwa ila chenga twawala 😀Ukilinganisha na msimu ulipita, naona tunacheza mpira unaoeleweka.
Sina shida na ten hag, mabosi wampe wachezaji anaowataka uone balaa lake.
Sahivi unaenda kuangalia mpira na confidence.
Umeoziangalia hivyo vitu alipotoka? Haja adopt play style ya timu,na bado mgeni wa ligi halaf kwanza mechi ya kwanza.Dribbling tackling zake naona wa kawaida
Kitenge anadhihirisha kwamba yeye ni Kiazi na mtu wa kukurupuka aonekane wa kwanza kupost, matokeo yake ndo hayo maboko.Waandishi wetu View attachment 2345701
OkNyumbu asipokufa hii game siingii humu JF miezi mitatu....
Ana assists ngapi hivi?Rashford ni mzembe sana,hawezi hata kupambana ili kupata mpira
Hata kamaMbeleko fc