Karibu theatre of dreamsNyie Kenge tukutane dakika 90
Misumali minne ya moto hapo hapo ukweni
Kama waarabu tunagongea ukweni na ni fresh
Mwakani (mwezi wa sita) kuna wimbi kubwa sana la wachezaji litakuwa linamaliza mikataba, hapo ndo kwenye mtihani mkubwa kwa TEN HAG (aina ya wachezaji atakaowatema na kusajili).United we stand. Tumpe muda Ten Hag atatuvusha naamini...GGMU
Bado kdg upatieArsenal kwa kifupi wame yakanyaga wanaingia kinyume nyume kwenye ghetto la OT, lazima arsenal awe wa mfano leo kujua tupo serious arsenal mje kabisa na jeneza.
Mmeya kanyaga wakina@Arone Ramsey leo lazima mdeki bahari leo lazima mpigwe dog style.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Man united 3 vs Arsenal 0
12:30 jioni
Mpapaso leo ni lazima
#GGMU
View attachment 2344990







Ndo kusema? Yani kama ilipigwa saa moja alafu ikawaje









Tena jike.Nyumbu mkishinda Leo mniite mbwa nimekaa pale![]()
Kumbe kuna man utd swahili?Ten Hag kuhusu Lisandro Martinez: "Nilimtaka kwa ajili ya kuanzisha mpira lakini pia ubora wake wa kukaba, ugumu wake, uzuri wa kujiweka mahali sahihi, akili yake, na upambanaji wake. Anafanya vizuri ila anatakiwa kufanya vyema zaidi.
====≈===
Imetafsiriwa na ukurasa wa man utd swahili
Mkubali Leo tumewafunga😁Ni aibu refa kukataa goli la Martinelli.. naona hapa wanaumbuliwa kwa goli lingine la namna ile lilivyokubalika.
United kabebwa.